Mabosi zangu wananiandama bila sababu

Mabosi zangu wananiandama bila sababu

Shida yako umejitenga sana na umeshajiona ni bora. Sasa wanakuona kama hauko pamoja nao pambana tu huku ukiomba kwa imani yako .
Sijajiona bora
Ila nimeweka barrier ya ishu zangu especially personal kutojulikana
Sehemu ya kazi si sehemu ya kudiscuss maisha binafc ya mtu
Niko normal sana na natimiza majukumu yangu simple
Hayo mengine siyajui
 
Nakushauri dance with the tune. Wambie wanachotaka kusikia lakini kwa akili sana
Siongei lolote
Naongea yale ya kiofisi tu tena very proffessionally
Apart from that sina story
I used to be the charmer ,wakanichafua sana so since then nikajifunza kuact prodfessional tu
 
Ndio uachage shobo mkuu....
Ukiwa roma ishi kama warumi...

Umekuta watu wapo kiboosi... We unajikuta piriiiiika kibaaao.
Unakitafuta nin??
Sina pilika na mtu
Naperform duties zangu simple
Sifatilii ishu zao wala sijal kwani hayanihusu
Am doing me,
Yangu wanayajua, yao siyajui kind of scenario
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukitaka ulr na wakubwa vizuri Bhasi siti mezani na wakubwa...kula nao...piga nao story...badilishana nao mawazo!

Ukijitenga tu na kujidai una majukumu Mengi kuliko hata Boss utachukiwaa lazimaa so waafrika ndo tulivyo
Jamen mie mtu mdogo sana siwez kuwa na majukumu mengi kushinda boss
Isitoshe kwa cheo changu hiki sina hata uwezo wa kukaa na wakubwa meza moja
Mie ni salamu,then najikataa
Wakinipa jukumu natekeleza
Ila mengineyo sina position ya kuwa nao
Mie mfagiz tu jamen
Sasa boss unapambana na mfagizi wa ofisi si kichekesho hiki?
 
Kuwa mfanyakazi sio kujitengaa na Wakubwa zakooo... Kwani hizo meza wanazokula na kupiga story sometimes wanakuwa maboss tu???? Jichanganye mkuu...
Jamen mie mtu mdogo sana siwez kuwa na majukumu mengi kushinda boss
Isitoshe kwa cheo changu hiki sina hata uwezo wa kukaa na wakubwa meza moja
Mie ni salamu,then najikataa
Wakinipa jukumu natekeleza
Ila mengineyo sina position ya kuwa nao
Mie mfagiz tu jamen
Sasa boss unapambana na mfagizi wa ofisi si kichekesho hiki?
 
Jaman kama umewah fanya kazi halmashauri utalijua hili
Mkuu wa idara anakaa na kula na maboss wenzie
Labda kama kuna sherehe ya pamoja,zaman tulikuwa na chai ya idara tulikuwa tunakunywa wote fresh,siku hizi haipo
So maswala ya chai na lunch ni binafsi kwa muda wako,mie sina hela za hizo mambo so muda wako zao huko migahawan mie nabak kwenye desk langu naclear vimeo vyangu, manake hakuna atakayenilipia na huenda sina hiyo hela
Je ni kosa?niende mgahawan nikakope supu ili kuonyesha tuko pamoja?please
Kuwa mfanyakazi sio kujitengaa na Wakubwa zakooo... Kwani hizo meza wanazokula na kupiga story sometimes wanakuwa maboss tu???? Jichanganye mkuu...
 
Jaman kama umewah fanya kazi halmashauri utalijua hili
Mkuu wa idara anakaa na kula na maboss wenzie
Labda kama kuna sherehe ya pamoja,zaman tulikuwa na chai ya idara tulikuwa tunakunywa wote fresh,siku hizi haipo
So maswala ya chai na lunch ni binafsi kwa muda wako,mie sina hela za hizo mambo so muda wako zao huko migahawan mie nabak kwenye desk langu naclear vimeo vyangu, manake hakuna atakayenilipia na huenda sina hiyo hela
Je ni kosa?niende mgahawan nikakope supu ili kuonyesha tuko pamoja?please
Bhasi hapo sawa mkuu... Nikajua kuna kuwa na chai ya pamoja na lunch labda wewe unajitenga! Fanya yakoo mkuu... Waafrika tuna laana eti
 
Bhasi hapo sawa mkuu... Nikajua kuna kuwa na chai ya pamoja na lunch labda wewe unajitenga! Fanya yakoo mkuu... Waafrika tuna laana eti
Hakuna ni ya binafsi,kwenye migahawa ya jiran na ofis
Tulikuwa na chai ya idara zaman
Baada ya mzee magu kubana haipo,so chai na lunch ni juu ya mtumishi
Sasa nijiumize kisa kufurahisha watu?kweli
 
Hakuna ni ya binafsi,kwenye migahawa ya jiran na ofis
Tulikuwa na chai ya idara zaman
Baada ya mzee magu kubana haipo,so chai na lunch ni juu ya mtumishi
Sasa nijiumize kisa kufurahisha watu?kweli
Wapotezee kaka... wewe fanya yakoo!! Ukute unasifiwa na wafanyakazi hasa wa kike kuwa unafanya kazi vizuri na unamind mambo yako sio kama wengine.. So wivu lazimaa
 
Umeshindwa kula na kipofu mkuu....nenda nao sawa tu bab
 
Umeshindwa kula na kipofu mkuu....nenda nao sawa tu bab
Mkuu wa idara ana watu wake anaowasikiliza na kuwaamini
Hata wakimaliza wiki hawapo ofisini sio shida
Hata kutimiza majukumu hawafanyi na inakuwa sawa
Sasa ni uongozi gani wa kugawa watumishi ndani ya idara?
Sie wengine kwakuwa hatuna mishe za kumwezesha kupata hela anatufanya kama watoto wakambo
Ubaya anaonyesha chuki waziwazi
Namshauri waziri wangu lukuvi apite halmashauri za pwani atauona uozo huu
 
Dogo unaumuchknow kama ushajua kila kitu..utachelewa sana kugrow lazima ujue mtu anayekurecomend ni huyohuyo boss wako unaomuona koro..huna socializing skills,mjuaji jitathmini
Hakuna ni ya binafsi,kwenye migahawa ya jiran na ofis
Tulikuwa na chai ya idara zaman
Baada ya mzee magu kubana haipo,so chai na lunch ni juu ya mtumishi
Sasa nijiumize kisa kufurahisha watu?kweli
 
Dogo unaumuchknow kama ushajua kila kitu..utachelewa sana kugrow lazima ujue mtu anayekurecomend ni huyohuyo boss wako unaomuona koro..huna socializing skills,mjuaji jitathmini
Ok nimekubali
Suala si aachane nami madhali simtukan wala kumdharau
Na akinipa majukumu natekeleza
Awe busy na wateule wake
Simple request,kwann kila akilala,akila,akitembea akiwaanaduiwa ananiwaza mie mpuuz?why?
 
Mambo kama hayo yapo kila sehemu. Unaweza fanya kitu kizuri (kufanya kazi zaidi ya muda bila malipo ukaonekana mbaya) yawezekana hao wenzako kazi unayoifanya tena kwa wakati (au kabla) ilikuwa na maslahi yao na wewe unaimudu vizuri. Achana nao waongee wewe hata usiwajibu wala kubadilika katika utendaji wako (unaoamini unapiga kazi vizuri na weledi wa hali ya juu)
Kazi nafanya
Sema siigi mtu
Nadhan kuwa tofauti kiutendaj imegeuka mwiba kwangu
Kama nasema uongo Mungu wa mbinguni atanishuhudia haya
Yanafanyika kwenye halmashauri moja hapa Tanzania,ila muda ni mwalimu mzuri
 
Kama kazi ina maslah nao kwanini wanipe?siwaifanye wao wenyewe?
Siongei hata tone ,zaid ya salamu na vicheko vya hapa na pale nimekuwa bubu
Manake hawakawii kugeuza kauli uliyoongea ikaitwa tusi ama kashfa ukaenda shtakiwa kwa wenye halmashauri yao
My main point waniache wafanye yao mie ni kajitu kadogo sana kenye mshahara mdogo sana usiofika hata wiki 2.
Mambo kama hayo yapo kila sehemu. Unaweza fanya kitu kizuri (kufanya kazi zaidi ya muda bila malipo ukaonekana mbaya) yawezekana hao wenzako kazi unayoifanya tena kwa wakati (au kabla) ilikuwa na maslahi yao na wewe unaimudu vizuri. Achana nao waongee wewe hata usiwajibu wala kubadilika katika utendaji wako (unaoamini unapiga kazi vizuri na weledi wa hali ya juu)
 
Moja kati ya law of power inasema "kamwe usijinyanyue ukaonekana una uwezo mkubwa na tushio kwa walio juu yako kicheo" maana hutofika mbali na utashindwa kutimiza ndoto zako, kwa maana lazima wakufanyie figisu tu....

Binadamu naturally tumeumbwa na wivu kwa maana tumeumbwa kwa mfano wake yule aliye mkuu na mwenye wivu, sasa wewe umejinyanyua na umeonekana tishio kwa walio juu yako, kwa mantiki hiyo umeshavunjwa law moja wapo ya power, hivyo lazima ukose power katika sehemu yako ya kazi....! Siku zote sehemu za kazi jitahidi usiwe na kundi wala usiwe mbinafsi kuwa mtu wa watu.....!

Act like a friend but ur a spy..! Jifanye mjinga usiejua kitu ila kumbe unakamata maboya hapo utadumu....! Usiruhusu adui yako ajue nguvu zako zilipo atakumaliza...

Then be humble man, usiwe mnoko, mjuaji, mjivuni na mbinafsi hata kama ni mchapa kazi kiasi gani utachemka tu
 
48 laws of power deep sana...hivi ni sawa unafika hom humsalimii mdingi dbarau kibao af bado unataka kula chakula cha baba
Moja kati ya law of power inasema "kamwe usijinyanyue ukaonekana una uwezo mkubwa na tushio kwa walio juu yako kicheo" maana hutofika mbali na utashindwa kutimiza ndoto zako, kwa maana lazima wakufanyie figisu tu....

Binadamu naturally tumeumbwa na wivu kwa maana tumeumbwa kwa mfano wake yule aliye mkuu na mwenye wivu, sasa wewe umejinyanyua na umeonekana tishio kwa walio juu yako, kwa mantiki hiyo umeshavunjwa law moja wapo ya power, hivyo lazima ukose power katika sehemu yako ya kazi....! Siku zote sehemu za kazi jitahidi usiwe na kundi wala usiwe mbinafsi kuwa mtu wa watu.....!

Act like a friend but ur a spy..! Jifanye mjinga usiejua kitu ila kumbe unakamata maboya hapo utadumu....! Usiruhusu adui yako ajue nguvu zako zilipo atakumaliza...

Then be humble man, usiwe mnoko, mjuaji, mjivuni na mbinafsi hata kama ni mchapa kazi kiasi gani utachemka tu
 
Back
Top Bottom