Dear, that's your fate learn to accept it. Kuna watu sijui nini kipo ndani yao huwa wanakutana na vikwazo vingi sana no matter how good they are, unakuta hana kiburi hana dharau si mbea mbea, hana tabia zozote zile zinazoweza kuathiri mwingine negatively still anapigwa vita kubwa sana. Binafsi huwa naamini watu wa namna yako ni threat popote walipo ndio maana hukutana na mashambulizi, huwa nairelate hii hali kuwa ni hali ya kiroho hata kama unaweza usiwe warohoni sana. Unavyoishi ndiyo namna sahihi yakuishi sehemu yoyote ile, as long as huwanyimi salamu, huwanyimi stori mbili tatu you are right sweetheart. Ishi maisha yako wakikufanyia zengwe ukaachishwa kazi your destiny was not there..... wasikutie stress, Poa moto, piga kazi mdada.
Bottom jaribu kujifanyia self assessment toka ulivyoanza kuishi katika makundi ya watu mfano shuleni O&A level ama chuoni hali ya kukutana na mashambulizi ilikuwa kama ya sasa au hiyo imekukuta kazini tu? Kama ni kazini tu jua kuna namna unagusa/zuia maslahi ya watu (yanaweza kuwa material or non materia), lakini kama hali hiyo ilikuwa ikikukuta toka zamani jua ni kitu kipo ndani yako hasa kinachohusiana na mambo ya rohoni, inakuwa kama sehemu ulipo watu hawashine mpaka uondoke. Halafu unakuta wala si mzuri wa kutisha, elimu kawaida, au kama ni darasani unakuta uwezo wa kawaida, kipato ulipotokea unakuta kawaida basi tu unaandamwa.