The iron batterfly
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 1,952
- 2,527
- Thread starter
- #101
Siwezi hali ishakuwa tete
Anyway... Ila jichanganye humohumo ndo life
Anyway... Ila jichanganye humohumo ndo life
....Una mpenzi?Simtaki kwani lazima kudate ofcn?
Sijaja kufanya mapenzi kwenye ofc za serikali
Nimekuja kufanya kazi
Kibao....Una mpenzi?
Unajua kwenye kazi mambo ya figisu ni kawaida.anyway.. Uko idara gani?
Thread closed.Hata kwenye lunch zao siendi.
Sina stori nao.
Sina maswala ya udaku, soka wala nini.
Naona kosa lako ni hilo la kuishi kama vile uko peke yako.
Yaani watu wa udaku wakisema unaringa, hakuna watu wa soka wa kuwaambia jamani hua tunakutana naye kwenye soka.
Yani wewe kwa muandiko wako dizain hata kazi yenyewe huna i mean you are jobless living in illussion, na hata bwana huna na umejaa stress kibao, eti hukosoma kufuatilia maisha ya mtu ofisini nani kasema kusocialize ni kufuatilia maisha ya watu? even anti socials have their social club jifunze kubalance shobo!Am living my life man
Sina time na mtu isipokuwa ikiwa ya kikazi ok,ila personal sina time
Sikusoma kuja kufatilia maisha ya mtu ofcn am sorry
....'Mwanamke', 'Unawapenzi kibao', 'Muaminifu kazini', 'Humtaki bosi wako' Naona kuna sehemu husemi ukweli.Kibao
Ok si waniacheee basiYani wewe kwa muandiko wako dizain hata kazi yenyewe huna i mean you jobless living in illussion, na hata bwana huna na umejaa stress kibao, eti hukosoma kufuatilia maisha ya mtu ofisini nani kasema kusocialize ni kufuatilia maisha ya watu? even anti socials have their social club jifunze kubalance shobo!
....'Mwanamke', 'Unawapenzi kibao', 'Muaminifu kazini', 'Humtaki bosi wako' Naona kuna sehemu husemi ukweli.
Yes am doing me
Sijawah tukana mtu,kwamisha mtu kwenye kazi yake,jadili mtu
Mnafatilia hadi personal life ya mtu kazin?really?
.....Frustrations zikiisha uje uangalie ulicho andikaSijasema am perfect au mwaminifu
But I do me
Am human ,sinakamilika
Acha kazi upate kazi kupata kaziNo inachosha aiseeh
Kama nimeomba ruhusa ya kula sikukuu,nimenyimwa wakati wengine kibao wamepewa
Na muda mwingi hata ofisini hawaonekan
Sitak hata hizo zawadi zao kwani wananinyanyasa kisaikolojia
Niambie nimshauri nini?Devil at work!