Mabosi zangu wananiandama bila sababu

Mabosi zangu wananiandama bila sababu

Nataka mwakan nikachukue masters ila kwahali ilivyo huenda wakaninyima kibali
Wamejipanga kunikwamisha
fanya maamuzi magumu hao mwisho wa Sikh watakuroga au kukutilia sumu kwenye hizo chai zenu za ofcin unajua sisi wabongo mtu akiwa mchapakazi sana anachukiwa waziwazi
 
Imewahi Nikita hii kwenye flan ya kiselikali, mpk nikaachishwa kazi kwa zengwe kubwa mmmno!. Iko hivi, no matter what, baada ya kujua kasoro za mabosi wako, tenga muda wa kutafuta kasoro within yourself and be super honest, firm and fair. Nilipojitafakari, nilikuja kugundua Nina kasoro kadhaa;
1. Nilikua mkweri kupita kiasi, japo nilimweshimu kila mtu
2. Nilikuja namzidi bosi wangu elimu na utendaji. So nilikuja napiga kazi mpk zinaomba poo, bosi anaonekana yy ndie anakasoro wazi kbs
3. Nilikuja kikazi kweri kweri, yaan kama ww mkuu. Maisha kazini hayapo ivo,

Kama upo vzr unajiamini kwa kazi zako, jiajiri mkuu, ukigonga 30 hapo, itakua issue sn. Kuajiriwa ni kwa ajili ya generation kumi zilizopita kwa mtu anaejitambua vyema!
 
Ndugu miongoni mwa wanaowahi ama kuchelewa sipo
Sina time na mtu
Salamu natoa na nikikabidhiwa jukumu hata kama la sherehe ntalikamilisha vizuri tu
Naingia muda wa serikali na kutoka muda wa serikali
Ila Huwezi nikuta napiga soga muda wa kazi
Natoka kwangu nishajua nitafanya nini mwanzo hadi time ya kuondoka
Afu Huwezi nihukumu eti kisa siendi kunywa nao supu au sipigi story ofcn,sio hobby zangu
Nathamini muda wa magu
Labda wenzio wakienda kwenye supu wanawapa ofa mabosi na kukusema vibaya. Jingine uko mkoa gani , wilaya gani? Je ni sehemu ambayo kabila moja wengi? Kuna sehemu zina matatizo hayo.
 
That's y nikaacha kujichanganya kitambo
Nikila chochote hawajui
I don't trust nobody ila pia sijui kumdaharau mtu kamwe Mungu wangu ni shahidi
Nimepunguza mikusanyiko yao ya bata wasinidhuru,imegeuka ugomvi na kuchaguliwa kila kona
fanya maamuzi magumu hao mwisho wa Sikh watakuroga au kukutilia sumu kwenye hizo chai zenu za ofcin unajua sisi wabongo mtu akiwa mchapakazi sana anachukiwa waziwazi
 
Yes am like that
Halafu sina muda wa kumfatilia mtu
Hata nijue ishu zake sifatilii wala kuziongelea kwani sikuja dunian kudiscuss binadamu mwenzangu, tena kwa mabaya
hayo mambo makazini yapo sana, hasa wakiona una mind your own business na upo confortable na maisha yako, sijajua shida ni nini hasa...
 
Mie sitoki nitapambana hadi tone la mwisho la damu
Boss wangu namzid sana
Nilipogundua anashindana nikaanza jipa majukumu mapya kwenye job description yangu
Mengine nikamwachia kabisaa
Tatizo hata kwenye yangu nayofanya ananifatilia sana,wanaweza wasije wote kazin hata wiki na asijal ila nikikosekana tu mie fasta anaenda niripot kwa mkuu wa idara,nilimgundua anataka mashindano nikampotezea manake ningesema tushindane ningemwaibisha vibaya mno. Tatizo bado anafatilia nyendo zangu, ananitolea hadi maneno ya kashfa kunidhalilisha utu wangu kama mwanamke,ila nimekaa kimya kwan am my own race .Sikuja halmashauri kushindana na yeyote.Natafuta ugali wangu siku ziende period.
Imewahi Nikita hii kwenye flan ya kiselikali, mpk nikaachishwa kazi kwa zengwe kubwa mmmno!. Iko hivi, no matter what, baada ya kujua kasoro za mabosi wako, tenga muda wa kutafuta kasoro within yourself and be super honest, firm and fair. Nilipojitafakari, nilikuja kugundua Nina kasoro kadhaa;
1. Nilikua mkweri kupita kiasi, japo nilimweshimu kila mtu
2. Nilikuja namzidi bosi wangu elimu na utendaji. So nilikuja napiga kazi mpk zinaomba poo, bosi anaonekana yy ndie anakasoro wazi kbs
3. Nilikuja kikazi kweri kweri, yaan kama ww mkuu. Maisha kazini hayapo ivo,

Kama upo vzr unajiamini kwa kazi zako, jiajiri mkuu, ukigonga 30 hapo, itakua issue sn. Kuajiriwa ni kwa ajili ya generation kumi zilizopita kwa mtu anaejitambua vyema!
 
Pole sana...

Uende wapi sasa wakati wewe ndiyo mfanyakazi wao... wakuhurumie ili kazi zao zilale...


Cc: mahondaw
 
Weeeh idara ina watu 24
Unamsakama mtumishi mmoja ?
Why?huku wengine wakila bata na kukiachia, kweli?
Chuki binafsi hazijengi
Mimi kuwa mwanamke sipaswi kunyanyaswa
Kwenye utendaji wa kazi hakuna jinsia,nihukumu kwa kazi zangu siyo jinsia yangu.
Ningekuwa siwezi tume ya utumishi wa umma isingeniajiri nije hapa .. . Kutoa huduma kama afisa ....
Nilideserve na ninaweza
That's y wakanileta hapa
Pole sana...

Uende wapi sasa wakati wewe ndiyo mfanyakazi wao... wakuhurumie ili kazi zao zilale...


Cc: mahondaw
 
Habari za jioni wana jf.
Niende kwenye mada. Ni hivi nafanya kazi ofisi ya serikali.Ni kijana kwenye late 20's. Ni Afisa flani niliyeajiriwa like 5 years ago.Nina kadegree.

Ishu iliyofanya nilete uzi huu,boss wangu kwa maana ya Mkuu wa idara,mkuu wa kitengo na wazee flani wananiandama sana ofisini.

Niko vizuri kwenye kutimiza majukumu yangu.Nikifika job sina muda wa kupoteza kwenye machai wala soga za siasa,mpira,udaku ama lolote.Nikifika after salamu za hapa na pale na kusaini naket kwenye meza yangu napiga kazi kwa malengo niliyojiwekea.Nikiri uwezo wa kazi ninao na ni mwepesi kuelewa mambo.

Kwenye chai ama lunch zao siendi. Nashukuru Mungu nimepata wigo wa kufahamiana na watu wengi sana ambao kifupi wananiletea kazi za hela si haba.Yani nikikubaliana na mtu,njoo kesho uchukue kazi yako ujue itakuwa hivo.Napenda sana kukeep promise na kuitimiza.Hiyo imefanya nipendwe na wateja wengi na hata maboss wa idara nyingine ni rafiki zangu sana ingawa ni watu wazima.wakiwa na ishu kwenye field yangu lazima wanitafute.

Wafanyakazi wenzangu kwenye idara wanawahi job 12 kamili wapo ila ikifika saa 4 asubuh hawapo,ama wakiwepo ni kuzunguka kwenye korido na maofisini wakipiga soga.
Wanachukua ruhusa kila mwezi na wanapewa,ila nikiomba mie nitawekewa mizengwe hadi nijute. Wengine wanakuja j3 na j4 then hawaonekani hadi j3 inayofata na inakuwa siyo kesi.

Ila itokee nisionekane hata siku moja inageuka kesi,najadiliwa hadi kwenye vikao vya idara.Nimechoka kusakamwa na hawa maboss.Najiuliza why me.Sina dharau wala shobo na mtu.Nawaheshimu kama maboss zangu Sema tu nimejiweka mbali na hao maboss kwani sina tabia ya kujikombakomba bila sababu kwa mtu.

Wananichafua kila sehemu.hata kama jambo sijafanya wala kusema nitatajwa tu.imagine boss wako anamwita mtu anayehisi ni mpenzi wako anamwambia kaa mbali na flani hafai.

Naombeni ushauri nifanyeje? Ama nihame halmashauri manake imekuwa too much.
Pole sana. Kiutaratubu uko sawa. Ila hapa Tanzania tunaishi kwa mazoea. We kama unajitenga na hao wakubwa na wamezoea kunyenyekewa pole sana na jiunge na wenzako yaani fuata mfumo jinsi ulivyo. OVER!
 
Weeeh idara ina watu 24
Unamsakama mtumishi mmoja ?
Why?huku wengine wakila bata na kukiachia, kweli?
Chuki binafsi hazijengi
Mimi kuwa mwanamke sipaswi kunyanyaswa
Kwenye utendaji wa kazi hakuna jinsia,nihukumu kwa kazi zangu siyo jinsia yangu.
Ningekuwa siwezi tume ya utumishi wa umma isingeniajiri nije hapa .. . Kutoa huduma kama afisa ....
Nilideserve na ninaweza
That's y wakanileta hapa

Kumbe wewe ni mwanamke, ndiyo maana unalalamika...

Piga kazi...


Cc: mahondaw
 
Mkuu alishaonyesha ana watu wake kwenye idara
So baada ya kumsoma nikakaa naye mbali
Wajua kunguru mwoga
Huwezi kuwa na watoto halafu unawatenga
Sasa mie kujikalia kimya pembeni ni kosa?
Pole sana. Kiutaratubu uko sawa. Ila hapa Tanzania tunaishi kwa mazoea. We kama unajitenga na hao wakubwa na wamezoea kunyenyekewa pole sana na jiunge na wenzako yaani fuata mfumo jinsi ulivyo. OVER!
 
Back
Top Bottom