ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,728
- 34,851
When ignorance is bliss...to be wise is foolish
When in Rome, do as the Romans do.
(a.k.a usiwe tofauti, wana wanakuona kama unajifanya "mzungu")
Isitoshe kuwa busy na kazi kumefanya nipate loyal clients wengi sana,akipata huduma atakuletea na nduguye manake anajua hutamzungusha
Kuwa rafiki yake tu , Kama Mungu makejujaliwa kuwa bosi utakuwa tu wala usipapalike na nafasi yake.Story napiga sana ila sio utanikuta loose kwenye makorido never
Naongea na kila mtu
Tatizo maza anahisi nataka cheo chake wakat hata sifa sina
Kumbe unamjua vizuri humuKwa namna ulivyokua unawajibu watu kwenye baadhi ya threads humu JF inaonekana hujui namna ya kuishi na watu regardless ya uwezo wako wa kufanya kazi ni mkubwa au la.
"When in Rome, do as the Romans do".
Nyie ndio wale much know ofisini mnajifanya kujua sana kazi, acha hizo jichanganye na wenzie jihusishe na shughuri za kijamii hapo ofisini, mimi ofisi nzima inajua navuta bangi na hata muda wa kazi nikiona mambo hayaendi najiendea kwenye gari nanyonga moja narudi, naenda sawa na kila mmoja hadi mkuu wa idara ambaye ambaye ni mlokole kupitiliza hata nikichelewa ofisini hunitania kuwa niliyovuta siku hiyo imenizidia, acha kujifanya serious maisha mafupi simaanishi uwe na shobo ila ila jaribu kusocialize kazi zipo tu utakufa utaziacha.
Kiimani ukoje?
Devil at work!Nakushauri kiroho safi acha kazi uwakomoe,wakoromije hao!
Kuwa rafiki yake tu , Kama Mungu makejujaliwa kuwa bosi utakuwa tu wala usipapalike na nafasi yake.
Yani hapo unaonesha kiasi gani ulivomtu wa ajabu kwa hiyo hao staff wenzio unahisi hawana michongo ya hela? eti nakua busy na laptop sasa kaa na hiyo laptop yako uendelee kufanya ishu zakukuingizia hela acha wenzio wakale bata holidayAcha ujinga nakuwa busy na ishu za kuniingizia hela kama hujui,so wanakasirika
Ukiniona niko busy na laptop ujue nshavuta mpunga hahahahahah mie siyo boya
Siwazibii manake yeye boss ila najua machafu yake yote na wenzie na naweza muumiza nikiyamwagaInaonekana unawazibia ulaji, i mean rushwa.
Hapo sio kingine maana inaonekana unafanya kazi inavyotakiwa.
Sasa unawafingia mlo wapenda rushwa
Wewe wasikubadili ingawa hujagusia au labda sio hili
Yani hapo unaonesha kiasi gani ulivomtu wa ajabu kwa hiyo hao staff wenzio unahisi hawana michongo ya hela? eti nakua busy na laptop sasa kaa na hiyo laptop yako uendelee kufanya ishu zakukuingizia hela acha wenzio wakale bata holiday
Tatizo umeshajionesha ni mchapa kazi hodari sasa hao wenzako wanaotega hawaulizwi kwa kuwa hawana impact kazini, sasa jembe wewe ukitega bila sababu lazima uanzishiwe zengwe, hii kitu ipo maofisi mengi sana usione inatokea kwako tu, ukionekana mchapa kazi na mwenye kiherehere basi ujue unajichimbia kaburi mzee utasakamwa mpaka, halafu mzee baba na hivi hujichanganyi utakoma, na hapa ndipo unapokosea kwanini hujichanganyi mzee hata stori za mpira huna mkuu kweli we kiboko, wewe nawe umezidi mzee, piga story japo hata za migegedo kidogo na vijana wenzakoHabari za jioni wana jf.
Niende kwenye mada. Ni hivi nafanya kazi ofisi ya serikali.Ni kijana kwenye late 20's. Ni Afisa flani niliyeajiriwa like 5 years ago.Nina kadegree.
Ishu iliyofanya nilete uzi huu,boss wangu kwa maana ya Mkuu wa idara,mkuu wa kitengo na wazee flani wananiandama sana ofisini.
Niko vizuri kwenye kutimiza majukumu yangu.Nikifika job sina muda wa kupoteza kwenye machai wala soga za siasa,mpira,udaku ama lolote.Nikifika after salamu za hapa na pale na kusaini naket kwenye meza yangu napiga kazi kwa malengo niliyojiwekea.Nikiri uwezo wa kazi ninao na ni mwepesi kuelewa mambo.
Kwenye chai ama lunch zao siendi. Nashukuru Mungu nimepata wigo wa kufahamiana na watu wengi sana ambao kifupi wananiletea kazi za hela si haba.Yani nikikubaliana na mtu,njoo kesho uchukue kazi yako ujue itakuwa hivo.Napenda sana kukeep promise na kuitimiza.Hiyo imefanya nipendwe na wateja wengi na hata maboss wa idara nyingine ni rafiki zangu sana ingawa ni watu wazima.wakiwa na ishu kwenye field yangu lazima wanitafute.
Wafanyakazi wenzangu kwenye idara wanawahi job 12 kamili wapo ila ikifika saa 4 asubuh hawapo,ama wakiwepo ni kuzunguka kwenye korido na maofisini wakipiga soga.
Wanachukua ruhusa kila mwezi na wanapewa,ila nikiomba mie nitawekewa mizengwe hadi nijute. Wengine wanakuja j3 na j4 then hawaonekani hadi j3 inayofata na inakuwa siyo kesi.
Ila itokee nisionekane hata siku moja inageuka kesi,najadiliwa hadi kwenye vikao vya idara.Nimechoka kusakamwa na hawa maboss.Najiuliza why me.Sina dharau wala shobo na mtu.Nawaheshimu kama maboss zangu Sema tu nimejiweka mbali na hao maboss kwani sina tabia ya kujikombakomba bila sababu kwa mtu.
Wananichafua kila sehemu.hata kama jambo sijafanya wala kusema nitatajwa tu.imagine boss wako anamwita mtu anayehisi ni mpenzi wako anamwambia kaa mbali na flani hafai.
Naombeni ushauri nifanyeje? Ama nihame halmashauri manake imekuwa too much.
Mie mwanamke story za mpira wapi na wapi?am the performerTatizo umeshajionesha ni mchapa kazi hodari sasa hao wenzako wanaotega hawaulizwi kwa kuwa hawana impact kazini, sasa jembe wewe ukitega bila sababu lazima uanzishiwe zengwe, hii kitu ipo maofisi mengi sana usione inatokea kwako tu, ukionekana mchapa kazi na mwenye kiherehere basi ujue unajichimbia kaburi mzee utasakamwa mpaka, halafu mzee baba na hivi hujichanganyi utakoma, na hapa ndipo unapokosea kwanini hujichanganyi mzee hata stori za mpira huna mkuu kweli we kiboko, wewe nawe umezidi mzee, piga story japo hata za migegedo kidogo na vijana wenzako