Maboresho ya JF - 2019

Maboresho ya JF - 2019

Mimi katika kitu ambacho ningependa kukiona kimerudi ni ile inayoonyesha "Malcom Lumumba visited your profile" Yaani mtu uje kutembelea Profile yangu halafu mhusika nisijue kweli ??

Ni sawa na mtu kuingia nyumbani kwangu bila ruhusa halafu ukaondoka hivihivi tu. Haiwezekani kabisaaa

My kaka ktk hilo ushindwe
 
Naona hili umelivalia njuga as if ni mod, anyway anacholalamikia sio tatizo kwake tu na kwangu pia ni tatizo na si kwangu tu kuna wengine pia, haswa kwa Jf app. Hivyo badala ya kumsimanga acha asikilizwe na kama itawafaa walifanyiw kazi.

Mteja kutoa malalamiko yake kwa mtoa huduma kwa huduma anayopata ni haki yake. Hakuna jf bila jf users, hivyo acha kila mtu atoe malalamiko yake then wao ndio watachuja yepi wafanyie kazi.
Hata mimi nilitoa malalamiko yangu kwa JF lakini presentation yake haikuwa ya kiungwana.
 
Hapo nashukuru maana wengine bila JF ni sawa na kuwa kwenye msiba. Siwezi ishi bila hii kitu. By the way badala ya ignore unaonaje mkaweka block? Mkiblock watu hapa itapendeza. Wengine vikongwe tunatukanwa na vijukuu bila sababu.
Yeeees nilitaka wakuanzisha hili discipline ni jambo muhimu kuna vi Serengeti boyz vinaleta nyuzi za ajabu.eti demu wangu kaniacha nifanyaje? Mara matusi makubwa apo naona T&C visipofatwa jf itakuja kuwa Fb

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitufe cha ku dislike mchango was mtu bado ni muhimu sana tena sana napingana na wote kuwa kinashusha morali ya mtoa mada au mchangiaji hii sio sahihi kabisa.

Ifahamike kuwa mtu humu anatakiwa kuthaminiwa kwa mchango wake wenye manufaa kwa wana jamvi na sio kwa pumba zake anazokoment hivyo vice versa should be true"Km watu wana LIKE point yako" basi pia wapewe ujuru wa "KU DISLIKE pumba zako" na hiyo italeta tija kwa watu kuchangia POSITIVELY.

HAYO YA KUWA WATU WATAJIFHURU,KUVUNJIKA MOYO NA MENGINEYO YA KINEGATIVE nadhani sio kweli tena SIO KWELI KABISA mbona bado kuna watu wanakomenti PUMBA tena zenye kukera ktk hizohizo thread za maana lakini hatujasikia mtu aliyejidhuru kwa kujibiwa pumba????
Maxence Melo please DISLIKE BUTTON IWEPO CHIEF itasaidia watu kufikirisha vichwa zaidi badala ya kufikirisha Matumbo na Makalio(I'm sorry)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngumu kuona mabadiliko katika servers. Labda pale utapoona website iko na speed nzuri na imara zaidi.

Ya mwonekano utayaelewa tu, tupe muda mchache
Je kuna haja ya ku reinstall app? I mean JF app?

Jr
 
Kitufe cha ku dislike mchango was mtu bado ni muhimu sana tena sana napingana na wote kuwa kinashusha morali ya mtoa mada au mchangiaji hii sio sahihi kabisa.

Ifahamike kuwa mtu humu anatakiwa kuthaminiwa kwa mchango wake wenye manufaa kwa wana jamvi na sio kwa pumba zake anazokoment hivyo vice versa should be true"Km watu wana LIKE point yako" basi pia wapewe ujuru wa "KU DISLIKE pumba zako" na hiyo italeta tija kwa watu kuchangia POSITIVELY.

HAYO YA KUWA WATU WATAJIFHURU,KUVUNJIKA MOYO NA MENGINEYO YA KINEGATIVE nadhani sio kweli tena SIO KWELI KABISA mbona bado kuna watu wanakomenti PUMBA tena zenye kukera ktk hizohizo thread za maana lakini hatujasikia mtu aliyejidhuru kwa kujibiwa pumba????
Maxence Melo please DISLIKE BUTTON IWEPO CHIEF itasaidia watu kufikirisha vichwa zaidi badala ya kufikirisha Matumbo na Makalio(I'm sorry)

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani kwa mtu kukosa tu LIKE tayari inamaanisha kuwa alichochangia hakina manufaa kwa jamii.... Vilevile nimeupenda msimamo huo wa kuwa na kitufe cha dislike kwakuwa ni kama vile forum imekwepa mazoea ya kuwa na kitu kinachofanana na wengine
Na kwakuwa tayari kuna emoji ya thumb down ambayo nimeona maranyingi ikitumika basi naona inatosha

Jr
 
Kwangu natumia browser " opera min" mbona kitufe cha kunirusu niandike Uzi sikioni?
Na nimeupdate Juzi tu!
 
Mkuu itakuwa vyema sana kama na kitufe cha "dislike" kikiwepo maana muda mwingine huwa tunapoteza muda wetu ambao una thamani sana kwa kupitia mada za wanafunzi wa Sekondari.

ᴳᵒᵈ ᵇˡᵉˢˢ ᵀᵃⁿᶻᵃⁿⁱᵃ ⁿᵒᵗʰⁱⁿᵍ ᵉˡˢᵉ
 
Back
Top Bottom