Maboresho ya JF - 2019

Maboresho ya JF - 2019

Mkuu ili lina ukweli ndani?
Mbona mimi napata notifications kwa new threads na post kwenye majukwaa mengi, mtu akikoti au akilike lazima nipate notifications na ni ki klick nakuwa directed kwenye hiyo QUOTE au like. Pengine sijakuelewa mantiki yako
I stand to be corrected
 

Attachments

  • Screenshot_2019-03-29 Alerts.png
    Screenshot_2019-03-29 Alerts.png
    29.8 KB · Views: 25
  • Screenshot_2019-03-29 What's new.png
    Screenshot_2019-03-29 What's new.png
    22.8 KB · Views: 31
Basi ina maana ulipaswa kuwa mmoja wa waboreshaji siyo kuja humu kulalamika. Sisi tusio na hisa tunaomba ila hatutumii nguvu. Nina wasi wasi na hizo hisa zako, ngoja nimuuliza Melo.
Akikujibu unitag isiwe jamaa anatupa breakfast
 
Mkuu ili lina ukweli ndani?
Mbona mimi napata notifications kwa new threads na post kwenye majukwaa mengi, mtu akikoti au akilike lazima nipate notifications na ni ki klick nakuwa directed kwenye hiyo QUOTE au like. Pengine sijakuelewa mantiki yako
I stand to be corrected
Hata kwangu mimi sijawahi pata tatizo la notifications
 
Mimi katika kitu ambacho ningependa kukiona kimerudi ni ile inayoonyesha "Malcom Lumumba visited your profile" Yaani mtu uje kutembelea Profile yangu halafu mhusika nisijue kweli ??

Ni sawa na mtu kuingia nyumbani kwangu bila ruhusa halafu ukaondoka hivihivi tu. Haiwezekani kabisaaa
 
Notifications ni tatizo...yaani hadi ukatafute uzi ulipo ndo uone nani ammecoment, nani amekuquote, nani amekutag n.k

Tunaendelea kusubiri mabadiliko


Maxence Melo
 
Kama lipi? Notifications tu wameshindwa
Hii app naona kama inawashinda sijui, huwa ina mapungufu mengi sana. Hilo suala la notifications kwa upande wa app lishalalamikiwa kwa muda sana sasa na wameshindwa kulifanyia kazi.
 
Huyu ana lake au katumwa na wasiojulikana. Atafute forum itakayomridhisha. JF forever.
Naona hili umelivalia njuga as if ni mod, anyway anacholalamikia sio tatizo kwake tu na kwangu pia ni tatizo na si kwangu tu kuna wengine pia, haswa kwa Jf app. Hivyo badala ya kumsimanga acha asikilizwe na kama itawafaa walifanyiw kazi.

Mteja kutoa malalamiko yake kwa mtoa huduma kwa huduma anayopata ni haki yake. Hakuna jf bila jf users, hivyo acha kila mtu atoe malalamiko yake then wao ndio watachuja yepi wafanyie kazi.
 
Back
Top Bottom