Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,638
Mkuu ili lina ukweli ndani?
Mbona mimi napata notifications kwa new threads na post kwenye majukwaa mengi, mtu akikoti au akilike lazima nipate notifications na ni ki klick nakuwa directed kwenye hiyo QUOTE au like. Pengine sijakuelewa mantiki yako
I stand to be corrected