Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Ahsante nawe mkuu, wengine huwa hatulali tukiikosaAsanteni kwa uvumilivu wenu
Mkuu tumekuomba jukwaa la hadithi lakini wapi.Ulikuwa umelala, ambao walikuwa macho wali-notice.
Asante
Kukosekana kwa like kwenye hii comment, pia ina maana aijakubalika na jamii.Nadhani kwa mtu kukosa tu LIKE tayari inamaanisha kuwa alichochangia hakina manufaa kwa jamii.... Vilevile nimeupenda msimamo huo wa kuwa na kitufe cha dislike kwakuwa ni kama vile forum imekwepa mazoea ya kuwa na kitu kinachofanana na wengine
Na kwakuwa tayari kuna emoji ya thumb downambayo nimeona maranyingi ikitumika basi naona inatosha
Jr![]()

Samahani mkuu nilisahau kukwambia kumbe niliondoka nacho nitakuletea keshoKwangu natumia browser " opera min" mbona kitufe cha kunirusu niandike Uzi sikioni?
Na nimeupdate Juzi tu!
Siku CHACHE zijazo 🙂
Kwenye app peke yake ama??Naona kuna dislike pia. Ntaziokota za kutosha aiseee
Kwenye app peke yake ama??
Mbona mie natumia browser sizioni
Hamna kitu hicho. Whether ukibonyeza Mara moja, mbili au tatu hakuna dislike. Zote ni like tu.Hata kwenye browser zipo hapo kwenye neno like,bonyeza mara mbili zitatokea emoji uchague uitakayo ndo emotion yenyewe
Ulikuwa umelala, ambao walikuwa macho wali-notice.
Asante
Hamna kitu hicho. Whether ukibonyeza Mara moja, mbili au tatu hakuna dislike. Zote ni like tu.
Hamna kitu hicho. Whether ukibonyeza Mara moja, mbili au tatu hakuna dislike. Zote ni like tu.
Tuko pamoja kiongozi.Asanteni kwa uvumilivu wenu