Maboresho ya JF - 2019

Maboresho ya JF - 2019

Kabisaa wameshindwa mpaka uamue kuutafuta uzi husika kisha ndio uangalie nani kakuQUOTE
Mkuu ili lina ukweli ndani?
Mbona mimi napata notifications kwa new threads na post kwenye majukwaa mengi, mtu akikoti au akilike lazima nipate notifications na ni ki klick nakuwa directed kwenye hiyo QUOTE au like. Pengine sijakuelewa mantiki yako
I stand to be corrected
 
Mkuu ili lina ukweli ndani?
Mbona mimi napata notifications kwa new threads na post kwenye majukwaa mengi, mtu akikoti au akilike lazima nipate notifications na ni ki klick nakuwa directed kwenye hiyo QUOTE au like. Pengine sijakuelewa mantiki yako
I stand to be corrected
Mimi hiyo kwangu haipo mpaka niutafute uzi husika
 
Basi ina maana ulipaswa kuwa mmoja wa waboreshaji siyo kuja humu kulalamika. Sisi tusio na hisa tunaomba ila hatutumii nguvu. Nina wasi wasi na hizo hisa zako, ngoja nimuuliza Melo.
wewe ni nani yake?
 
Mkuu ili lina ukweli ndani?
Mbona mimi napata notifications kwa new threads na post kwenye majukwaa mengi, mtu akikoti au akilike lazima nipate notifications na ni ki klick nakuwa directed kwenye hiyo QUOTE au like. Pengine sijakuelewa mantiki yako
I stand to be corrected
Huyu ana lake au katumwa na wasiojulikana. Atafute forum itakayomridhisha. JF forever.
 
Mkuu ili lina ukweli ndani?
Mbona mimi napata notifications kwa new threads na post kwenye majukwaa mengi, mtu akikoti au akilike lazima nipate notifications na ni ki klick nakuwa directed kwenye hiyo QUOTE au like. Pengine sijakuelewa mantiki yako
I stand to be corrected
Ata mimi ndio nashangaa

😀ont folo folo me wizout ene bikoz:
 
Back
Top Bottom