Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Hiyo ya kutoonana ebu watusaidie iwe kama WhatsApp au instaWazo nilotaka kulitoa pia, hili linatakiwa walifanyie kazi. Yaani ukimblock mtu asikuone wala usimuone kabisaa ndani ya hili jukwaa.
Block ya jf uliyemblock anakulike na kukuquote


