Hamna kitu hicho. Whether ukibonyeza Mara moja, mbili au tatu hakuna dislike. Zote ni like tu.
Ok sawaKukosekana kwa like kwenye hii comment, pia ina maana aijakubalika na jamii.
Sent using Jamii Forums mobile app

Hili tulishawahakikishia tangu mwaka janaNinadhani usalama wetu watumiaji utaboreshwa pia, mfumo kuvamiwa wakati wa uchaguzi kama ilivyokuwa 2015 itakuwa mwisho?
Mmeshawahi kujaribu kufanya testing (kwa upande wa miundombinu) kama third part anaweza kufanya haya anayosema huyu member?Hili tulishawahakikishia tangu mwaka jana
Mwongo mkubwa na tapeli tuMmeshawahi kujaribu kufanya testing (kwa upande wa miundombinu) kama third part anaweza kufanya haya anayosema huyu member?
View attachment 1058626
Mbona sijaona mabadiliko mkuu! au mpaka ni-uninstall App?Mwongo mkubwa na tapeli tu
Nashukuru mkuu.Mwongo mkubwa na tapeli tu
Ningeshauri, mruhusu uwezo wa kuedit title ya post endapo unakuwa umekoseaWakuu,
Naomba kuwafahamisha kuwa siku si nyingi tutafanya maboresho kidogo kwenye mwonekano na matumizi ya JF.
Lengo ni kuzingatia mahitaji ya wadau (ambayo yamekuwa yakiombwa), kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia na kuimarisha zaidi uimara wa platform.
Aidha, maboresho hayo yataenda hadi kwenye kuimarisha miundombinu (infrastructure) ili kuongeza uimara wa kukabiliana na hali yoyote.
Mabadiliko mengine ya aina hii yanaweza kufanyika 2021 au 2022.
Maboresho ya Miundombinu yamepangwa kufanyika usiku wa manane wa tarehe 26/03/2019. Ni nyongeza ya servers kuongeza ufanisi zaidi.
Maboresho upande wa mwonekano (UI) yatafanyika Machi 30, 2019.
Asante kwa ushirikiano mnaoendelea kutupa.
=====
Edit:
Maboresho yote yamekamilika 100%.
Asanteni kwa uvumilivu
Mkuu ombi letu la muda mrefu la kuwa na jukwaa maalum la ushirikina na mambo ya giza mlikumbuke tafadhali
Jr![]()







Cc Maxence MeloMkuu Maxence Melo kuna changamoto moja huwa nakutana nayo kuangalia nyuzi za baadhi ya member waloweka accounts zao private. Unakuta kuna uzi niliosoma kipindi cha nyuma lakini nikitaka tena kwenda kuusoma mara nyingine inashindikana sababu nikiingia kwenye profile ya member siwezi pata option ya ku view threads zake sababu account iko private. Naomba iwepo option ya kuziona thread peke yake huku mambo mengine yabakie private as member alivyokusudia.
Mfano madini ya huyu member barafu nashindwa kuyaona sababu hiyo
Nawasilisha