Maboresho ya JF - 2019

Maboresho ya JF - 2019

Hili tulishawahakikishia tangu mwaka jana
Mmeshawahi kujaribu kufanya testing (kwa upande wa miundombinu) kama third part anaweza kufanya haya anayosema huyu member?
Screenshot_2019-01-31-10-35-20.png
 
Jukwaa la entertainment si ndio jukwaa la riwaya na hadithi zote zinapopatikana? Halaf we karim uache kusumbua watu.
 
Mkuu Maxence Melo kuna changamoto moja huwa nakutana nayo kuangalia nyuzi za baadhi ya member waloweka accounts zao private. Unakuta kuna uzi niliosoma kipindi cha nyuma lakini nikitaka tena kwenda kuusoma mara nyingine inashindikana sababu nikiingia kwenye profile ya member siwezi pata option ya ku view threads zake sababu account iko private. Naomba iwepo option ya kuziona thread peke yake huku mambo mengine yabakie private as member alivyokusudia.
Mfano madini ya huyu member barafu nashindwa kuyaona sababu hiyo
Nawasilisha
 
Wakuu,

Naomba kuwafahamisha kuwa siku si nyingi tutafanya maboresho kidogo kwenye mwonekano na matumizi ya JF.

Lengo ni kuzingatia mahitaji ya wadau (ambayo yamekuwa yakiombwa), kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia na kuimarisha zaidi uimara wa platform.

Aidha, maboresho hayo yataenda hadi kwenye kuimarisha miundombinu (infrastructure) ili kuongeza uimara wa kukabiliana na hali yoyote.

Mabadiliko mengine ya aina hii yanaweza kufanyika 2021 au 2022.

Maboresho ya Miundombinu yamepangwa kufanyika usiku wa manane wa tarehe 26/03/2019. Ni nyongeza ya servers kuongeza ufanisi zaidi.

Maboresho upande wa mwonekano (UI) yatafanyika Machi 30, 2019.

Asante kwa ushirikiano mnaoendelea kutupa.

=====
Edit:
Maboresho yote yamekamilika 100%.

Asanteni kwa uvumilivu
Ningeshauri, mruhusu uwezo wa kuedit title ya post endapo unakuwa umekosea
 
Mkuu Maxence Melo kuna changamoto moja huwa nakutana nayo kuangalia nyuzi za baadhi ya member waloweka accounts zao private. Unakuta kuna uzi niliosoma kipindi cha nyuma lakini nikitaka tena kwenda kuusoma mara nyingine inashindikana sababu nikiingia kwenye profile ya member siwezi pata option ya ku view threads zake sababu account iko private. Naomba iwepo option ya kuziona thread peke yake huku mambo mengine yabakie private as member alivyokusudia.
Mfano madini ya huyu member barafu nashindwa kuyaona sababu hiyo
Nawasilisha
Cc Maxence Melo
 
Back
Top Bottom