jossey1979
Senior Member
- Apr 28, 2008
- 172
- 41
Mwenye Mobile No. ya Makamba naiomba Tafadhali. Hujab yafaa kuheshimiwa!!! Tuta deal na yeye!
mkuu kama GDP ya tanzania ni 24BN na tunatumia Billion 40 kufyatua picha tunazobandika kwenye miti maeneo ya simanjiro na kongwa ... na bado tunaomba ridhaa ya wananchi then we have a serious problemHivi GDP inaingia wapi hapa? Hii message ni ABSOLUTELY STUPID. Ujue na huyo mdada kasema haki ya Mungu kwamba CHADEMA ni mafisadi...
Kuna watu wamezidiwa sasa.
mkuu kama GDP ya tanzania ni 24BN na tunatumia Billion 40 kufyatua picha tunazobandika kwenye miti maeneo ya simanjiro na kongwa ... na bado tunaomba ridhaa ya wananchi then we have a serious problem
hapo bado tunaachia exemption ya 700BN
bado pesa ya radar tunasubiri cycle yake iishe tuseme hatukuichukua mda umepita
iaaaiiiiichh
Wazee hao watu waliotengeneza hiyo ADVERT HAWANA DATA ni wahuni tu flani GDP ya Tanzania sio 24billion ni kama ifuatavyo according to CIA FACT BOOK GDP (purchasing power parity):
$57.69 billion (2009 est.)
country comparison to the world: 85 $54.43 billion (2008 est.)
$50.66 billion (2007 est.)
note: data are in 2009 US dollars
Nimeiangalia hii video..it's just a crap! Na walioitengeza ni vilaza waliopitiliza..
Wakuu Kuna Members wengi sana Wamejiunga humu Last week!! Big %ge wanakitetea chama tawala.
hii imetulia
maana imewajeruhi kinoma
Kama ni hivyo its good kwamba Jamiiforums inakuwa imejaa wapiga debe wa CCM kama ilivyo wa CHADEMA na CUF...
Mabinti tu mnaanza kupiga makelele,je wakija dada zao sasa ....duh kumbe Mbowe anakunja fungu kubwa hivyo
CHADEMA haina wapiga debe; haihitaji wapiga debe. CHADEMA ina wanachama, wazalendo, wanaoujua ukweli. CCM inahitaji wapiga debe kwa kuwa inasimiamia mfumo mbovu wa serikali, unaofanana kabisa na daladala. Daladala inasimama popote, haina vituo maalum; sera nyingi za CCM hazitekelezeki, zinapelekwa huku na huko, kama majaribio, kama vile dala dala inaposimama kati kati ya barabara, ikishusha na kupandisha abiria. Ni CCM pekee yenye wapiga debe... vyama vingine havina haja ya kupigiwa debe, kwa kuwa wanajua wanachokifanya. Kama CCM wangekuwa wanajua wanachokifanya wasingetengeneza tangazo la kipuuzi kama hilo!