CHADEMA wana sababu gani za KIJINGA NA KIPUMBAVU kutumia rasilmali zao (fedha, watu, taaluma, teknolojia, etc.) kutengeneza uchafu huu? Kama ni umaarufu tayari wanao, na ndio unaoitia kiwewe CCM!
Kaka, nadhani unahitaji kuleta ushahidi USIOPINGIKA hapa, kuthibitisha madai yako! What is the motive and benefit for CHADEMA to engage in these sewerage-politics?
mbona siielewi hii video.... wanahamasisha ngono au kampeni!! "ETI LILE FATAKI LAKO VIPI "....
Mbona hukumuuliza huyo aliyoileta kuhusu ushahidi wa alipoipata? :confused2:
Ushapata kusikia kitu kinachoita poisoning the well?
Chakla ya JK hiyo................Hawa wasichana wanafahamika sana katika ile mitaa ya kujiuza usiku hapa jijini Dar. Huyo Dada mwenye mdomo uliorefuka kama samaki chuchunge anaishi Sinza kumekucha. Wapo katika biashara hawana lolote jipya.