evansGREATDeal
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 4,013
- 2,335
TEH TEH anavibrate.........Mkuu mbona unaandika huku unatetemeka
jf kuna mambo......
TEH TEH anavibrate.........Mkuu mbona unaandika huku unatetemeka
Mkuu ni sheeda sana na ikifika tu inavyogawanywa inakosa maanaSiyo Wilaya tu kuna Wizara zimepata OC mara ya mwisho December 2015!!!!!
Tanzania ya Magufuli itakuwa Donor country badala ya kuwa ombaomba. Watupe wasitupe we dont care
Mazamio yako maishani ni nini?Kwani serikali yako siyo tegemezi?
Wengi wenu wa kizazi cha sasa wala hamjui kwamba Tanzania miaka 30 iliyopita ilikuwa na viwanda vingi kuliko ilivyo sasa.Yaani kwa upuuzi huu mnaoandika kwa kuipondea hiyo misaada ya mcc kama hamjui ndio mnawadhalilisha watawala wenu ambao wanakesha wakipiga magoti na kuwaangukia hao wazungu ili kupata hiyo misaada,ama kweli vijana wa ccm ni sawa na ndumilakuwili
Hivyo viwanda vilikuwepo chini ya uongozi dhabiti wa kiongozi mzalendo wa kweli marehemu jk nyerere lkn baaa ya kung'atuka mkavishambulia hivyo viwanda kwa kuviuza kwa bei ya ktupa na vingine kuteketeza maana mlikuwa mnatazama vitu vya kuagiza kutoka nje ya nchi kisa 10%Wengi wenu wa kizazi cha sasa wala hamjui kwamba Tanzania miaka 30 iliyopita ilikuwa na viwanda vingi kuliko ilivyo sasa.
Na tulitumia malighafi yetu katika hivyo viwanda, na ndio dhana kiutekelezaji ya kujitegemea.
Na si kulala kuota fedha za misaada.
Someni historia mjue tulikotoka na makosa ya kufikirua kuna mjomba wa kutusaidi , mawazo yalivyo mufilisi.
Mazamio yako maishani ni nini?
Kama ni kupenda kufugwa kama mtu binafsi, achia serikali,kwani lazima ufugwe na Mmarekani?
Hahahahah daaah ama kweli CCM ina hazinà kubwa ya wafu wanaotembea.Mtu hataishi kwa mkate tu ila kwa kila neno litokalo kwa bwana.
Mwambie Magufuli awaambie hivyo ili wasipoteze hata mda wao kuwakalia vikao.Hatutaki hela za Mashoga sisi
Kwel mzungu sio mweusi nimeamini ata uigize vp uwez kua mzungu eti kumfukuza mkurugenzi na watendaji ufisadi mwisho kwa wizi wa mabilion wazir na serikal yake akuiona basi ngoja tuone mapicha picha ya ccmKigezo muhimu ni cha kupambana na ufisadi ambacho Magufuli amekikidhi kwa asilimia 200!
Suala la Zanzibar si kivile maana hiyo ni nchi! na nasikia wamepiga kura Jana kwa utulivu wa hali ya juu!
Vinginevyo watupe zetu za bara!
hahahahaaaaaa mkuu umeandika UPUMBAFU WA HALI YA JUU!!!Mzee tulia nani kakuambia tuna shida na pesa za MCC
lakini hayo masharti ni kwa manufaa yetu wenyewe!! wanasema tupambane na ufisadi je hii ni kwa manufaa ya nani? wanasema wamalize mgogoro wa zanzibar je hii ni kwa manufaa ya nani?? si yetu?Tukikubali msaada wa masharti basi pia tukubali kuwa sisi ni watumwa wa asili.
Tanzania vichaa mmeongezeka baada kuapishwa jpmMzee tulia nani kakuambia tuna shida na pesa za MCC
Nyavu zatengenezwa kinafik?Huelewi unachocomment, I'm sorry to think aloud.Tumechoka kupewa samaki. Sasa tutengeneze nyavu zetu wenyewe.
Naona kajitahidi kutumbua mafisadi wa chini na baadhi ya wa kati wenye mlengo wa siasa za upinzani,wale mafisadi wa juu na ambao wajificha kwenye kivuli cha CCM bado saana na hathubut...mikataba feki ya resources za nchi,resources zimilikiwazo na vigogo wa CCM mfano makaa ya mawe nk.Kigezo muhimu ni cha kupambana na ufisadi ambacho Magufuli amekikidhi kwa asilimia 200!
Suala la Zanzibar si kivile maana hiyo ni nchi! na nasikia wamepiga kura Jana kwa utulivu wa hali ya juu!
Vinginevyo watupe zetu za bara!
Umesahau huo ndio ulokuwa mfumo wa nyerere uliofeli vibaya wachambuzi wanasema ilipelekea kustaafu kwa mzee mapema apishe mabadiliko kama ndivyo hivyo #mabadiliko yanakujaHakuna aliyedharau fedha za MCC..Zimesaidia miradi mbalimbali na bado zinasaidia...
Wengi wanataka tujiongeze kwenye ukusanyaji wa mapato kupitia vyanzo vyetu vya ndani mfano kodi kupitia TRA..Bandari..Utalii n.k...
Tuondokane na utumwa wa kutegemea fedha za wafadhili zenye masharti ya hovyohovyo...Kama suala ni kupambana na ufisadi tupambane kwa dhamira na si tupambane na ufisadi kwa shinikizo la Wamarekani..Na hata hilo la Zanzibar si lazima walitumie kama kigezo cha sharti la kutoa msaada...
Ingawa bado ufisadi upo lakini kwa kiwango kikubwa serikali ya awamu ya 5 imeonesha dhamira ya kupambana nao..
Kuna nchi zinalazimishwa kupitisha sheria ya kubariki ushoga kwa sababu tu ya fedha za misaada kama hizo za MCC..Huu ni utumwa ambao hatutakiwi tuuendekeze..
Bahati nzuri Rais wetu ameonekana kutotetereka na hao wafadhili...Hajasafiri kwenda kuwapigia magoti kuomba watupe fedha za MCC ama kuomba msaada wowote..Zaidi anaonekana kuwa na ndoto ya kuongoza nchi inayojitegemea...Ndoto ambayo ni nzuri kwa mustakabali wa Taifa letu...
It can be done, play your part...
You can't believe,but most of them are.I never thought that there were incredibly stupid people existing in TZ