Kweli kabisa hamna shida maana Magufuli kakusanya mapesa mengi na hivi sasa hakuna mwanafunzi anayekaa chini.. Hospitali zote zimejaa madawa na vifaa tiba hata wazazi wako si mafukara tena.
Kweli kabisa hamna shida maana Magufuli kakusanya mapesa mengi na hivi sasa hakuna mwanafunzi anayekaa chini.. Hospitali zote zimejaa madawa na vifaa tiba hata wazazi wako si mafukara tena.
Acha kuwa na mawazo ya kikahaba weweSababu inakukera
Unataka ashindwe upate cha kuongea
Unajiita mbingunikwetu ilihali ni muongo kupingukia? Ufisadi gani anepambana nao kwa kiwango hicho? Huo aliopambana nao ni wizi tuu wa kawaida tena petty theft ambao hata polisi na PCCB wangepewa meno wanaweza kuukabili.Kigezo muhimu ni cha kupambana na ufisadi ambacho Magufuli amekikidhi kwa asilimia 200!
Suala la Zanzibar si kivile maana hiyo ni nchi! na nasikia wamepiga kura Jana kwa utulivu wa hali ya juu!
Vinginevyo watupe zetu za bara!
Bado unawazia fedha za MCC??...Jumatatu ya pasaka ya tarehe 28 mwezi huu,mkutano wa Bodi ya Wakurugenzi wa Millenium Challenge Corporation almaarufu kama MCC inakutana kuijadili Tanzania. Tanzania itajadiliwa kama ipewe au isipewe mabilioni ya MCC.
Nyaraka za shirika hilo zinaonesha kuwa Tanzania ilipewa masharti mawili ili iyapate mabilioni hayo. Kwanza,Tanzania ilitakiwa kupambana na rushwa pamoja na ufisadi. Pili,Tanzania ilitakiwa kuumaliza mgogoro wa kikatiba na kisiasa wa Zanzibar.
Tanzania itapata mabilioni ya MCC? Imetimiza masharti?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Pemba,Zanzibar)
kwanini hii idea ya kutengeneza nyavu mnaipata baada ya kuambiwa hamtapewa tena samaki??Tumechoka kupewa samaki. Sasa tutengeneze nyavu zetu wenyewe.
Mleta mada katoa taarifa tu... Ghafla mnaandika ktk mkondo wa kumshambulia yeye as if ndo kaamua....Mkuu unalala mlango wazi na kutazamia neema itaingia mlangoni!!
MCC ni chombo chenye malengo ya maslahi na matakwa ya Marekani.
JPM amefanya vema kujikita katika kuondoa taswira ya kuonekana kujikomba kutekeleza matakwa yao.
Na pale wabunge wa Marekani walipokuja bila itifaki aliwatolea nje.
Ni vizuri kama nchi tukawa na moyo wa kujiamini na kujua kile tunachotaka na si kudhalilishwa kwa vimisaada vyenye masharti ya kuondoa heshima ya nchi.
Kimsingi mimi sitegemei MCC kama watabadili maslahi ya nchi yao ili tu walete misaada Tanzania.
Hiyo hela isahau!!!
Mkuu inaonekana umezoea sana kuishi na makahabaAcha kuwa na mawazo ya kikahaba wewe
Wewe ndio upo kikahaba maana una mawazo ya kihasidi sana... Ungekuwa na tabia njema usingekimbilia kuwaza wenzako kufurahia shida....Mkuu inaonekana umezoea sana kuishi na makahaba
Vipi ESCROW,IPTL,DEEP GREEN,RADAR,MABEHEWA,GAS,BALAL,ATC,AGRECO n.k wameshughulikiwa hasa wanasiasa?Kigezo muhimu ni cha kupambana na ufisadi ambacho Magufuli amekikidhi kwa asilimia 200!
Suala la Zanzibar si kivile maana hiyo ni nchi! na nasikia wamepiga kura Jana kwa utulivu wa hali ya juu!
Vinginevyo watupe zetu za bara!
Ndo kulala mlango wazi yenyewe..... kutegemea neema ikija shoto kulia, weye ule tu!!!Mleta mada katoa taarifa tu... Ghafla mnaandika ktk mkondo wa kumshambulia yeye as if ndo kaamua....
Uchumi au uwezo hauoneshwi kwa maneno... Unakwenda kwa namba na vitendo!
Mzee tulia nani kakuambia tuna shida na pesa za MCC
Mkuu mbona una hasira kama vile umelazimishwa kuzungusha mikonoWewe ndio upo kikahaba maana una mawazo ya kihasidi sana... Ungekuwa na tabia njema usingekimbilia kuwaza wenzako kufurahia shida....
Punguani sana wewe.
Kwani kakwambia yeye binafsi anategemea neema?Ndo kulala mlango wazi yenyewe..... kutegemea neema ikija shoto kulia, weye ule tu!!!
Mkuu maendeleo ya taifa yanapimwa kwa kuomba misaada??Kwlei inaonekana mnashida na ukoloni wa ndani kuliko maendeleo ya taifa!.
Mi siwezi pata hasira kwa wenye tabia za kikahaba!!! Wanaotumia viungo vya uzazi kufikiri badala ya kichwa!Mkuu mbona una hasira kama vile umelazimishwa kuzungusha mikono
Hakuna aliyedharau fedha za MCC..Zimesaidia miradi mbalimbali na bado zinasaidia...Unajiita mbingunikwetu ilihali ni kupingukia? Ufisadi gani anepambana nao kwa kiwango hicho? Huo aliopambana nao ni wizi tuu wa kawaida tena petty theft ambao hata polisi na PCCB wangepewa meno wanaweza kuukabili.
Ufisadi ni mfumo wa ulaji pesa za unma unaoonekana kama halali kwa kutumia mikataba kama ilivyokuwa ESCROW, UDA, DART nk, jee huko amefanya nini?
Mbona mbinu zinafanyika Umeya Dar ili kuzuia ufisadi usiibuliwe na ofisi yake iko kimya kana haihusiki?.
Tusijidanganye bado hatujafikia mahali pa kudharau fedha za MCC, labda tuseme tuna nia ya hapo baadae kutotegenea misaada tukisha jipanga vyema
Kweli Leo nimeamin umelala sinza makaburini na madada poaMi siwezi pata hasira kwa wenye tabia za kikahaba!!! Wanaotumia viungo vya uzazi kufikiri badala ya kichwa!
Suala ni kuonyesha mwelekeo na nia ya dhati ya kupambana na ufisadi! Hilo ndilo linalotakiwa! Ni Mdogo Mdogo hata huko escrow Magufuli atafika! Kwa sasa dunia inashuhudia taratibu mathubuti za kuanzisha mahakama ya mafisadi hapa Tanzania! Mafisadi papa waanze kutia MAJI!Vipi ESCROW,IPTL,DEEP GREEN,RADAR,MABEHEWA,GAS,BALAL,ATC,AGRECO n.k wameshughulikiwa hasa wanasiasa?