Mabilioni ya MCC: Tanzania 'kitanzini' March 28

Mabilioni ya MCC: Tanzania 'kitanzini' March 28

Tanzania ya Magufuli itakuwa Donor country badala ya kuwa ombaomba. Watupe wasitupe we dont care
Endeleeni kujidanganya wakati hajaweka hata jiwe la msingi la kiwanda cha toothpicks
 
MIMI NATAKA NIMPE MAMILIONI MTOA HOJA HAPO JUU, ILA NITAMAPA MASHARTI KADHAA IKIWEMO MKE WAKE AWE ANAKUJA KUTEMBEA ULAYA HUKU KILA MARA AKITUMIA SHIRIKA LA NDEGE LA KLM, NA YEYE AWE ANHAKIKISHA KUNAKUWEPO NA WASAGAJI NA MASHOGA WA KUTOSHA HAPO BONGO, HIZI PESA NITAMPA TUU!
 
Toka waanze kutupa hizo pesa tumemaliza matatizo yetu yote? Tufanye kazi tujenge nchi...anayekulisha lazima ataku control tu
MKUU MIE HUWA NAWASHANGAA SANA BAADHI YA WABONGO KAMA HUYU MTOA HOJA KUPENDAPENDA VYA KUPEWA NA KUHONGWA, HII NDIO INAITWA UTUMWA WA AKILI ( MENTAL SLAVERY) ALIOUIMBA BOB MARLEY, HIVI KWA MTU MWENYE DHATI KABISA KABISA YA MOYONI MWAKE ALIEKAA NA WAZUNGU, HAKUNA MZUNGU MWENYE AKILI YAKE TIMAMU KULE ULAYA AU AMERIKA ANEITAKIA MIJITU MEUSI( AFRIKA) MAENDELEO, NEVER ON EARTH! SASA NYIE MNAONG'ANG'ANIA PESA MCC, NENDENI MKAWALAMBE MIGUU WAZUNGU WAWAPE NA MUISHI HUKO HUKO!KWANZA WAO NCHI ZAO HIZO HAZINA TENA RAW MATERIALS, NA MAENDELEO YA MENGI YAMETOKANA NA HIZI RESOURCES ZETU HUKU BARA JEUSI, SASA JITU JEUSI LIMEKAA KABISA LINAWAZA KUNA MJOMBA ANGU MZUNGU( MCC) ATANISAIDIA, ACHENI UPUNGUANI JAMANI!
 
Kweli kabisa hamna shida maana Magufuli kakusanya mapesa mengi na hivi sasa hakuna mwanafunzi anayekaa chini.. Hospitali zote zimejaa madawa na vifaa tiba hata wazazi wako si mafukara tena.
Miaka yote wanatoa hiyo mi fuedha mbona bado watoto wanasoma wakiwa chini??
Hatuzitaki Sasa!!!!
 
Mbona hujaweka ile ya key population ni ruksa mkibisha mnatoswa. Jamaa wametolea jicho kinoma noma uganda walidunda sasa zamu yenu kukubali.
 
Jumatatu ya pasaka ya tarehe 28 mwezi huu,mkutano wa Bodi ya Wakurugenzi wa Millenium Challenge Corporation almaarufu kama MCC inakutana kuijadili Tanzania. Tanzania itajadiliwa kama ipewe au isipewe mabilioni ya MCC.

Nyaraka za shirika hilo zinaonesha kuwa Tanzania ilipewa masharti mawili ili iyapate mabilioni hayo. Kwanza,Tanzania ilitakiwa kupambana na rushwa pamoja na ufisadi. Pili,Tanzania ilitakiwa kuumaliza mgogoro wa kikatiba na kisiasa wa Zanzibar.

Tanzania itapata mabilioni ya MCC? Imetimiza masharti?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Pemba,Zanzibar)
 
Tanzania kua omba omba kuliitimishwa mwaka jana tarehe 25/10/2015 jamaa hana haja na mikopo sasa hivi KODI ZETU NA KUMANAGE VIZURI RASILIMALI ZETU
 
Soma majarida yapo kibao.
MCC haikuanza na JK, bali baada tu ya utawala wa Ben Mkapa alyeweka mazingira ya Utawala Bora
Na tatizo lililopo si kupokea fedha za MCC, bali masharti yaliyowekwa sasa, ya Zanzibar, masharti hayo hayakuwepo wakati MCC ina sainiwa.
Be informed!
Unafikiri wanaposema good governance wanamaanisha nini!?

Marekani hawawezi kukupa msaada bila kuingiza kipengere cha good governance na human rights!!
 
Muanzisha mada ana asili ya ombaomba. Hatutaki hizo hela, wagawie waafrica wengine wenye njaa, sisi tutakusanya za kwetu wenyewe. Hatuwezi kuyumbishwa kisa vijisenti. Na kwa taarifa yako swala la zanzibar tumelimaliza jana.
 
Unafikiri wanaposema good governance wanamaanisha nini!?

Marekani hawawezi kukupa msaada bila kuingiza kipengere cha good governance na human rights!!
Wanaokuhamsisha na god gvernance waulize kule Guantanamo wanatekeleza siasa hizo!!
Unafiki mtupu.
 
Kweli kabisa hamna shida maana Magufuli kakusanya mapesa mengi na hivi sasa hakuna mwanafunzi anayekaa chini.. Hospitali zote zimejaa madawa na vifaa tiba hata wazazi wako si mafukara tena.
Tunakusanya Shs ngapi?Mishahara Bil 500 na madeni Bil 900 je tunachokusanya kitatosha kweli?
 
Kweli kabisa hamna shida maana Magufuli kakusanya mapesa mengi na hivi sasa hakuna mwanafunzi anayekaa chini.. Hospitali zote zimejaa madawa na vifaa tiba hata wazazi wako si mafukara tena.
Kwani wakati hizo pesa tunapwa hao wazzazi wetu vijijini walikuwa matajiri?...kama ni dawa na madawati kwa mtindo wa kubana matumizi, na kuondoa malipo hewa tutaweza jisimamia wenyewe, tukitumia raslimali zetu vyema, tutaweza, tusipopewa itakuwa ni kheri itasaidai viongozi kuumiza kichwa kuweza kutumia raslimali tulizo nazo, lakini sio kupewa pesa za masharti na manyanyaso kwahiyo tukipewa sharti la kupitisha ndoa za jinsia moja ndo tupewa hizo hela itabidi tutekeleze kisa hatuna madawa??? halafu unadai mabadiliko kwa akili hizo za kuomba omba au kutegemea kusaidiwa.
 
hiyo misaada yeneywe hawatoi bure kuna faida wanayopata pia kupitia migongo yetu lol.. wacha wabaki nazo, tuone kama tutakufa. mboan Zimbabwe hawafi.
 
Muanzisha mada ana asili ya ombaomba. Hatutaki hizo hela, wagawie waafrica wengine wenye njaa, sisi tutakusanya za kwetu wenyewe. Hatuwezi kuyumbishwa kisa vijisenti. Na kwa taarifa yako swala la zanzibar tumelimaliza jana.
Hapa ndio unaweza ukaelewa usomi wetu, tunakusanya Shilngi ngapi na matumizi ni shs ngapi?
 
Kwani wakati hizo pesa tunapwa hao wazzazi wetu vijijini walikuwa matajiri?...kama ni dawa na madawati kwa mtindo wa kubana matumizi, na kuondoa malipo hewa tutaweza jisimamia wenyewe, tukitumia raslimali zetu vyema, tutaweza, tusipopewa itakuwa ni kheri itasaidai viongozi kuumiza kichwa kuweza kutumia raslimali tulizo nazo, lakini sio kupewa pesa za masharti na manyanyaso kwahiyo tukipewa sharti la kupitisha ndoa za jinsia moja ndo tupewa hizo hela itabidi tutekeleze kisa hatuna madawa??? halafu unadai mabadiliko kwa akili hizo za kuomba omba au kutegemea kusaidiwa.
Hapa hupawezi, rudi kule mkaendelee kujadili vyupi na mengineyo.
 
Kweli kabisa hamna shida maana Magufuli kakusanya mapesa mengi na hivi sasa hakuna mwanafunzi anayekaa chini.. Hospitali zote zimejaa madawa na vifaa tiba hata wazazi wako si mafukara tena.

Kwa ufupi tu. Kwani wakati tunapokea hiyo misaada hakukuwepo na wanafunzi wanaokaa chini?
 
Back
Top Bottom