Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,251
- 98,250
Hiyo ndoto yako labda baada ya miaka 100 ndio itatimiaTumechoka kupewa samaki. Sasa tutengeneze nyavu zetu wenyewe.
Hiyo ndoto yako labda baada ya miaka 100 ndio itatimiaTumechoka kupewa samaki. Sasa tutengeneze nyavu zetu wenyewe.
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh, kuna wilaya moja sitoitaja jina oc inamaliza hata miezi 3 haijapelekwana ofisi za serikali kwa sasa OC ni za kumwaga.
Nasangaa mlivyo valia njuga kumrudisha matonya kwao wakati wenyewe ndio kina matonya wakubwaaaTanzania ya Magufuli itakuwa Donor country badala ya kuwa ombaomba. Watupe wasitupe we dont care
Yaani kwa upuuzi huu mnaoandika kwa kuipondea hiyo misaada ya mcc kama hamjui ndio mnawadhalilisha watawala wenu ambao wanakesha wakipiga magoti na kuwaangukia hao wazungu ili kupata hiyo misaada,ama kweli vijana wa ccm ni sawa na ndumilakuwiliMkuu unalala mlango wazi na kutazamia neema itaingia mlangoni!!
MCC ni chombo chenye malengo ya maslahi na matakwa ya Marekani.
JPM amefanya vema kujikita katika kuondoa taswira ya kuonekana kujikomba kutekeleza matakwa yao.
Na pale wabunge wa Marekani walipokuja bila itifaki aliwatolea nje.
Ni vizuri kama nchi tukawa na moyo wa kujiamini na kujua kile tunachotaka na si kudhalilishwa kwa vimisaada vyenye masharti ya kuondoa heshima ya nchi.
Kimsingi mimi sitegemei MCC kama watabadili maslahi ya nchi yao ili tu walete misaada Tanzania.
Hiyo hela isahau!!!
Hata mimi naishangilia hiyoWacha watunyooshe
Bendera fuata upepo hao....Yaani kwa upuuzi huu mnaoandika kwa kuipondea hiyo misaada ya mcc kama hamjui ndio mnawadhalilisha watawala wenu ambao wanakesha wakipiga magoti na kuwaangukia hao wazungu ili kupata hiyo misaada,ama kweli vijana wa ccm ni sawa na ndumilakuwili
Unatetemeka wewe uliye lala bila kula huku ukitumiwa kama kandambiliMkuu mbona unaandika huku unatetemeka
Unatetemeka wewe uliye lala bila kula huku ukitumiwa kama kandambiliMkuu mbona unaandika huku unatetemeka
I never thought that there were incredibly stupid people existing in TZMzee tulia nani kakuambia tuna shida na pesa za MCC
Ha ha kamandaView attachment 331439
Unatetemeka wewe uliye lala bila kula huku ukitumiwa kama kandambili
Unatetemeka wewe uliye lala bila kula huku ukitumiwa kama kandambili
Unaweza kuniambia kitu gani tumeisha anza kuuza nje ya nchi? Napenda sana hiyo ndoto ya kua donor itimie but haitawezekana kwa kukusanya kodi tu na nina hakika Magufuli anaweza kuweka misingi mizuri and may be hata kujenga baadhi ya kuta (kama uki relate na mfano wa nyumba) lakini hawezi kumaliz aujenzi in 5-10 years time.Tanzania ya Magufuli itakuwa Donor country badala ya kuwa ombaomba. Watupe wasitupe we dont care
Kamanda ni babako anayeshinda analinda duka la kijiji ilikukupatia wewe kula kulala tongeHa ha kamanda
Vipi mbona unaweweseka sana
mkuu hurumia mbavu zangu aseeKigezo muhimu ni cha kupambana na ufisadi ambacho Magufuli amekikidhi kwa asilimia 200!
Suala la Zanzibar si kivile maana hiyo ni nchi! na nasikia wamepiga kura Jana kwa utulivu wa hali ya juu!
Vinginevyo watupe zetu za bara!
Hiyo ndoto yako labda baada ya miaka 100 ndio itatimia
Huo mfano upo mbali na kilichozungumzwaMtu anayesema hawezi kujenga nyumba, huishi nyumba ya kupanga miaka yote. Si lazima tatizo iwe ni pesa, inaweza kuwa ukosefu wa nia ya kujenga!
hizi ni idea zako, je ni sehemu ya sera zinazotumika kusimamai serikali hii??Siyo idea mpya. Wengine tumeisema sana wakati wa mkwere. Muda mrefu Tanzania imekuwa ni laughing stock wakati tuna rasilimali nyingi na tulikuwa hatukusanyi kodi.
Tunahitaji kukusanya kodi. Tunahitaji kupanua wigo wa kodi. Tunahitaji kuondoa misamaha ya kodi ambayo ilikuwa chaka la rushwa.
Jibu nzuri sana,Kweli kabisa hamna shida maana Magufuli kakusanya mapesa mengi na hivi sasa hakuna mwanafunzi anayekaa chini.. Hospitali zote zimejaa madawa na vifaa tiba hata wazazi wako si mafukara tena.
Siyo Wilaya tu kuna Wizara zimepata OC mara ya mwisho December 2015!!!!!Teeeeeeeeh teeeeeeeeh, kuna wilaya moja sitoitaja jina oc inamaliza hata miezi 3 haijapelekwa
Mkuu, watu kama lizabon, simiyu yetu na faiza fox watakuambia sasa kila kitu swafi, matibabu, elimu bure na watu wamejazwa mapesa angali wao hata 20,000/= mfukoni ni sheedah!Kweli kabisa hamna shida maana Magufuli kakusanya mapesa mengi na hivi sasa hakuna mwanafunzi anayekaa chini.. Hospitali zote zimejaa madawa na vifaa tiba hata wazazi wako si mafukara tena.