Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,515
- 42,646
Yeah wanaCCM wengi wa jf akili zao zinaweza kujadili habari za vyupi tu na si vinginevyo.Wewe ni kinyaa tu kama Fisiemu wenzio.
Yeah wanaCCM wengi wa jf akili zao zinaweza kujadili habari za vyupi tu na si vinginevyo.Wewe ni kinyaa tu kama Fisiemu wenzio.
Asante kwa kunisoma.Wewe ni kinyaa tu kama Fisiemu wenzio.
Hapana mkuu siku MCC walipositisha fedha hizo tulifurahia....na ilikuwa "credit" kwa makamanda...kwani tulilalamika kwa mabalozi..nashauri tuendelee kupiga ramli kama kawaida yetu.Mi naombea zitoke maana zina msaada kubwa sana kwa nchi maskini kama hii.
Siwezi piga ramli tusipate wakati zinatusaidia...Hapana mkuu siku MCC walipositisha fedha hizo tulifurahia....na ilikuwa "credit" kwa makamanda...kwani tulilalamika kwa mabalozi..nashauri tuendelee kupiga ramli kama kawaida yetu.
Haters are still at largeUnajiita mbingunikwetu ilihali ni muongo kupingukia? Ufisadi gani anepambana nao kwa kiwango hicho? Huo aliopambana nao ni wizi tuu wa kawaida tena petty theft ambao hata polisi na PCCB wangepewa meno wanaweza kuukabili.
Ufisadi ni mfumo wa ulaji pesa za unma unaoonekana kama halali kwa kutumia mikataba kama ilivyokuwa ESCROW, UDA, DART nk, jee huko amefanya nini?
Mbona mbinu zinafanyika Umeya Dar ili kuzuia ufisadi usiibuliwe na ofisi yake iko kimya kana haihusiki?.
Tusijidanganye bado hatujafikia mahali pa kudharau fedha za MCC, labda tuseme tuna nia ya hapo baadae kutotegenea misaada tukisha jipanga vyema
Mungu wabariki wazungu , Mungu mbariki Trump .Jumatatu ya pasaka ya tarehe 28 mwezi huu,mkutano wa Bodi ya Wakurugenzi wa Millenium Challenge Corporation almaarufu kama MCC inakutana kuijadili Tanzania. Tanzania itajadiliwa kama ipewe au isipewe mabilioni ya MCC.
Nyaraka za shirika hilo zinaonesha kuwa Tanzania ilipewa masharti mawili ili iyapate mabilioni hayo. Kwanza,Tanzania ilitakiwa kupambana na rushwa pamoja na ufisadi. Pili,Tanzania ilitakiwa kuumaliza mgogoro wa kikatiba na kisiasa wa Zanzibar.
Tanzania itapata mabilioni ya MCC? Imetimiza masharti?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Pemba,Zanzibar)
Duu hayo yataingia kwenye maajabu saba ya Dunia ,Tanzania ya Magufuli itakuwa Donor country badala ya kuwa ombaomba. Watupe wasitupe we dont care