Van persie
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,099
- 720
Tunazitaka post kama hizi,ata kama team lowassa hamzitaki.Mtoa mada tuletee utupu wa hawa maselfishi wakutupwa.
hapohapo mleta mada kasema mabilioni je kwenye bilioni kuna ten ten ngapi na huyo kivuyo kaziweka kwenye boksi au rumbesa wakati anagawa? vilevile wanaogawiwa wanamhakikishia vipi kivuyo kwamba watampigia kura huyo lowassa at the end of the day sipingi kwamba ushawishi wa kutumia pesa haupo lakini tuwe realistic asije mtu kwa utashi wake anaoujua mwenyewe akaamua kupotosha ukweli
Mkuu mda wa kuftari ushafika mtoa mada tafuta maji unywe.
bulungutu la elfu kumi