Mabilioni anayomwaga Lowassa Dodoma, TAKUKURU mko wapi?

Mabilioni anayomwaga Lowassa Dodoma, TAKUKURU mko wapi?

Sasa wewe mleta mada ofisi za takukuru zipo humu JF?
 
Nenda zako mwongo ambaye hajielewi! Nani wa kamati anahongwa kwa elfu kumi kama si unaumwa akili?

Sina hakika na ukweli wa habari hii japo naamini inawezekana kabisa, hasa kwa CCM kuhonga kwa ajili ya kupata ulaji..maana imeshatokea sana

nataka tu kukosoa mnaohoji kuwa nani ahongwe elfu kumi? Sidhani kama ndivyo alivyosema mleta uzi. Yeye amesema huyo Kivuyo anagawa mabulungutu ya elfu kumi kumi...akimaanisha bulungutu la noti za elfu kumi kumi, sasa jumla ya hongo itategemea hilo bulungutu lina noti za elfu kumi kumi ngapi! Likiwa bulungutu la noti 100 maana yake ni milioni moja hiyo!
 
Lowassa anatumia pesa nyingi ikulu kuna nn??
 
Katika hayo mabilioni umepata billion ngap
 
inawezekana ila mimi siamini kwa sababu moja nadhani lowassa na team yake ni smart hata kama wanagawa pesa na inawezekana wanafanya hivyo naamini siasa zetu sasahivi ushawishi pia pesa inahusika hawawezi kugawa kwa staili hiyo unayosema
 
Hivi hayo mahela ambayo Lowasa anadaiwa kuwa nayo ni nani mwenye uthibitisho kuwa kweli anayo?
 
Rainbow si nimesikia imefungwa walifiwa ama???

Imefungwa na hata taarifa waliiweka pamoja na namba za simu, halafu mjumbe wa kuhongwa elfu 10 ni nani na mawazo ya kuhongwa watu ni utumwa wa fikra
 
Sina hakika na ukweli wa habari hii japo naamini inawezekana kabisa, hasa kwa CCM kuhonga kwa ajili ya kupata ulaji..maana imeshatokea sana

nataka tu kukosoa mnaohoji kuwa nani ahongwe elfu kumi? Sidhani kama ndivyo alivyosema mleta uzi. Yeye amesema huyo Kivuyo anagawa mabulungutu ya elfu kumi kumi...akimaanisha bulungutu la noti za elfu kumi kumi, sasa jumla ya hongo itategemea hilo bulungutu lina noti za elfu kumi kumi ngapi! Likiwa bulungutu la noti 100 maana yake ni milioni moja hiyo!

hapohapo mleta mada kasema mabilioni je kwenye bilioni kuna ten ten ngapi na huyo kivuyo kaziweka kwenye boksi au rumbesa wakati anagawa? vilevile wanaogawiwa wanamhakikishia vipi kivuyo kwamba watampigia kura huyo lowassa at the end of the day sipingi kwamba ushawishi wa kutumia pesa haupo lakini tuwe realistic asije mtu kwa utashi wake anaoujua mwenyewe akaamua kupotosha ukweli
 
mi naona ndo unazid kumpa promo tu huyu jamaa na sanasana unafanya watu wazd kwenda kuchukua huo mkwanja maana hata namba ya vibaraka wake umeiweka
 
hapohapo mleta mada kasema mabilioni je kwenye bilioni kuna ten ten ngapi na huyo kivuyo kaziweka kwenye boksi au rumbesa wakati anagawa? vilevile wanaogawiwa wanamhakikishia vipi kivuyo kwamba watampigia kura huyo lowassa at the end of the day sipingi kwamba ushawishi wa kutumia pesa haupo lakini tuwe realistic asije mtu kwa utashi wake anaoujua mwenyewe akaamua kupotosha ukweli

Nilimuuliza huyu jamaa swali dogo tu...aliposema Lowassa katumia zaidi ya billioni 50 kuwa aseme milioni moja ina sifuri ngapi na bilioni moja ina sifuri ngapi..ili tuweze kuelewa kama anaweza tofautisha bilioni na milioni...hajajibu...sasa haya mabulungutu wanayotembea nayo hadharani hao team lowassa...nashindwa pata picha yapo kwenye mabox au wanayabenaje hao jamaa..
 
Nenda zako mwongo ambaye hajielewi! Nani wa kamati anahongwa kwa elfu kumi kama si unaumwa akili?

Umeambiwa maburungutu ya elfu kumi kumi, wewe kwa mahaba yako unataka tuamini kuwa ni elfu kumi moja!! Tangu lini burungutu likawa na elfu kumi moja tu, ebo
 
Mbona mnapenda kumchafua Rais mtarajiwa? Ester hayupo Rainbow pub na Rainbow pub ilishafungwa muda tu.
 
Nawashangaa sana wanaosema Lowasa anatumia pesa nyingi! Hebu niambie aliye tumia pesa kidogo halafu sema hiyo kidogo ni ngapi. Halafu mtu anauliza Ikulu kuna nini!!! Serious? Hujui Ikulu kunanini halafu unasemamtu anatumia pesa nyingi? (Kwenda Ikulu).
 
Back
Top Bottom