Mabilioni anayomwaga Lowassa Dodoma, TAKUKURU mko wapi?

Mabilioni anayomwaga Lowassa Dodoma, TAKUKURU mko wapi?

rajabs

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
384
Reaction score
73
Wakuu Dodoma sasa inatisha Wallahi naapa tangu nizaliwe sijawahi kuona mabilioni ya pesa yakimwagwa kama njugu katika Mji huu wa Dodoma.

Leo nimemshuhudi Mpambe wa Lowassa hapa Rainbow pub Dodoma akigawa mabulungutu ya elfu kumi kumi kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu walioanza kuwasili Mjini hapa.

Huyu Bwana anaitwa Kivuyo almaarufu kwa jina la Baba T. Zamani alikuwa mfanyakazi wa Vodacom. Jamaa ni mpambe wa kutupwa wa Lowassa ndiye aliyepewa jukumu la kumwaga mabulungutu kwa Wajumbe ili kuhakikisha Mzee Lowassa anakamata Ikulu ya Magogoni.

Katika jukumu hilo la kumwaga rushwa, ndugu Kivuyo anasaidiwa kwa karibu na mdada aitwaye Esther Boniface Moshi mwenye simu namba 0652395516 ambaye anaishi Tabata Jijini Dar es Salaam. Jamani jamaa wana hela chafu hawa sijui wanazitoa wapi katika uchumi huu mbovu wa Kibongobongo.

Ntaendelea kuwajuza bila chenga Wakuu.
 
Rainbow si nimesikia imefungwa walifiwa ama?
 
Ccm mna tabu naona Uzi Wa pili huu kazi mnayo kuchafuana tu
 
yetu macho na masikio mtauwana mwaka huu. kama vp mje ukawa!!
 
mungu wa wanadamu atawapigania zidi ya warafi wa madaraka
 
Wewe Endelea kutuhabarisha, sisi za kuambiwa tutachanganya na za Kwetu.
 
dah na wewe jamaa!! Changamka ndio pa kutajirikia hapo! Waweza pata 'bulungutu la efu kumi' na wewe kama vipi unabadilisha nguo na kurudi tena kwenye foleni.
 
si kila mtu anafaa kuwa rais wa nchi. ila kila mtu anaweza akawa rais mfano Tanzania tuna maraisi wengi tu rais wa TFF,rais wa shirikisho la ngumi,rais wa FM ACADEMIA bt leo ccm wamefanya taasisi kubwa kabisa buniani office number moja presidency institution ya Tanzania kuwa cheap kama pombe za offer ukiwa na ela ya kununua form na ela ya kuwaonga watu unaweza kuupata urais . haya ndio madhala ya kuifanya taasisi hii kuwa available kwa mtu yeyote tu wamefanya taasisi hii kuwa pango la wezi na majangili aiwezekani kwa nchi yenye watu milion47.4 kwa chama kimoja kuwa na wagombea 40 wanautaka urais wakati ata marekani yenye watu 322,583,006[FONT=Open Sans, sans-serif] kwa vyama vyote aijawahi kufikisha watangaza nia 40 leo tanzania kwa chama kimoja 40 dah unadhani apo kutakuwa akuna rushwa kweli? ili kukipata cheo number moja Tanzania sio lowassa tu tutasikia wengi tu nipo katika mchakato wa kuwasiliana na Guinness world book of record inawezekana tukawa tanzania tumevunja record ya chama kimoja watu 40 kutaka kuwa marais [/FONT]
 
Back
Top Bottom