Mabilionea wenye Private Jets Tanzania

Mabilionea wenye Private Jets Tanzania

Tafadhali tufahamishane Matajiri wenye Private Jet/Chopper nchini Tanzania ili kuweka rekodi sawa, mpaka sasa nataarifiwa wapo saba tu nao ni;
1. Mo Dewji
2. Said Bakhressa
3. Diamond Platinumz
4. Prof. Rwegoshora, PhD - huyu yupo Harvard University - USA
5. Dr. Rweikiza, PhD (Oxford University, UK)
6. Mhe. Ndesamburo - Former MP, Moshi Urban
7. Baba Askofu Gwajima.
Mwenye list zaidi ya hii tafadhali tufahamishane;
eti!!
nasibu ana jet????
 
Tafadhali tufahamishane Matajiri wenye Private Jet/Chopper nchini Tanzania ili kuweka rekodi sawa, mpaka sasa nataarifiwa wapo saba tu nao ni;
1. Mo Dewji
2. Said Bakhressa
3. Diamond Platinumz
4. Prof. Rwegoshora, PhD - huyu yupo Harvard University - USA
5. Dr. Rweikiza, PhD (Oxford University, UK)
6. Mhe. Ndesamburo - Former MP, Moshi Urban
7. Baba Askofu Gwajima.
Mwenye list zaidi ya hii tafadhali tufahamishane;
Kuna this guy Mwenye lake oil na gulf cement
 
Tafadhali tufahamishane Matajiri wenye Private Jet/Chopper nchini Tanzania ili kuweka rekodi sawa, mpaka sasa nataarifiwa wapo saba tu nao ni;
1. Mo Dewji
2. Said Bakhressa
3. Diamond Platinumz
4. Prof. Rwegoshora, PhD - huyu yupo Harvard University - USA
5. Dr. Rweikiza, PhD (Oxford University, UK)
6. Mhe. Ndesamburo - Former MP, Moshi Urban
7. Baba Askofu Gwajima.
Mwenye list zaidi ya hii tafadhali tufahamishane;
Acha ujinga ww
Diamond apate wp helicopter?
 
Wafuatao japo si raia wa Tanzania ila wakati ukifika NAPENDEKEZA wapatiwe uraia wa Heshima wa Tanzania.
11. Dangote (japo si mtanzania ila amewekeza Tanzania)
12. TB Joshua (ana wafuasi mamilioni nchini, japo nae si mtanzania)
 
Kuna mtasha yupo uku chugaa anapaki chopa nyekundu kwake
 
eti!!
nasibu ana jet????
Acha ujinga ww
Diamond apate wp helicopter?
Capture.PNG


CHIBU hii inamshinda kweli kwa kusafiri pamoja na familia....???
 
Hapo hakuna mwenye private jets. Ila ndesa, gwajima, msukuma na Baba rz1 ndio wana chopper. Mkono ana Cessina.
 
king kiba tena jana tu nimeona kapga nayo picha
 
Back
Top Bottom