Third Eye
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 373
- 210
We unaacha watu wenye jet/chopper unaweka watu wanaomiliki magari ambayo thamani yake haifiki hata billion moja kama Diamond, navyojua Backhresa na Mo pamoja na utajiri wao hawana ndege wala chopper,kwa Dar Gwajima ana Chopper naYusuf Manji ana private jet.Hiyo private jet ya Yusuf Manji 'Citation 650'.