Hakimu alishasoma hukumu??kama ulishawahi kuibiwa unaweza kufahamu machungu!
safi sana...nawapongeza an kuwasihi muendelee na moyo huo huo
Kwa hiyo mnahitaji pongezi? HONGERENI NYOTETayari wameua.
Tayari wameua.
Ipo siku hao mapacha watatu nao watapata adhabu kama hiyo...Walau inaonesha kua usomi wao haujafuta traditions dhidi ya mwizi akifumwa...
I wish wangekua na nguvu hio hio dhidi ya mapacha watatu...
Ipo siku hao mapacha watatu nao watapata adhabu kama hiyo...
Kwani hao mafisadi sio wasomi?Namuonea huruma huyo marehem mwizi/mdokozi.Aliiba nini hapo mabibo hostel?Poleni sana wafiwa. Nilitegemea wasomi wangefuata sheria.
Ulivyoandika kichwa cha habari...bado sijelewa."Mabibo wamuuwa mtuhumiwa wa mwizi"Sasa huyo mwiz mwenyewe mbona ameachiwa?Wanafunzi wanaoishi mabibo hostel wanamalizia kumuua mwizi aliyeruka toka gorafa ya 3 block e. daah jamaa hawana hata huruma.