Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,133
- 2,986
Nimekuwa mtumiaji wa huu mtandao kwa zaidi ya miaka 18 (nikibadirisha chip mara moja tu kuendana na mahitaji ya mabadiriko ya teknolojia) sasa enzi hizo buzzy ni bomba na ile longa longa ukikesha huku ukihangaika kupata laini… enzi hizo mabibo hostel vijana usiku ndo ulikuwa muda wa story
Ndi ndi ndi aaaa , e bwana eee.
Lakini kwa takribani zaidi ya wiki sasa mawasiliano ya tigo yamekuwa hafifu sana, scratch nyingi, mikoromo ya kutosha, hata kupiga simu hadi itoke ni kujitafuta sana.
Kama ndiyo maboresho mnayofanya baada ya kubadirisha jina la MIC, huu mtandao sasa tunaenda kuuhama.
Nimejaribu kuwatafuta kupitia namba yao ya huduma kwa wateja bila mafanikio yeyote ile.
Sisi kama wateja hamuwezi kuwa mnatufanyia haya mambo ya huduma za hovyo, bando likiwa juu tuendelee kuwachukulia poa.
Ndi ndi ndi aaaa , e bwana eee.
Lakini kwa takribani zaidi ya wiki sasa mawasiliano ya tigo yamekuwa hafifu sana, scratch nyingi, mikoromo ya kutosha, hata kupiga simu hadi itoke ni kujitafuta sana.
Kama ndiyo maboresho mnayofanya baada ya kubadirisha jina la MIC, huu mtandao sasa tunaenda kuuhama.
Nimejaribu kuwatafuta kupitia namba yao ya huduma kwa wateja bila mafanikio yeyote ile.
Sisi kama wateja hamuwezi kuwa mnatufanyia haya mambo ya huduma za hovyo, bando likiwa juu tuendelee kuwachukulia poa.