Negotiator
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 303
- 44
wakuu naomba uchambuzi wa kina Juu ya mwanasheria huyu.
1. Alisomea sheria wapi na kuhitimu mwaka gani?
2. Yeye kutamka hadharani kua ni mwanausalama na athari zake kisiasa ndani ya chadema
3. Amewahi kufikia rank gani ndani ya usalama na operesheni alizoshiriki.
4. Mchango wake katika kuinusuru au kuisambaratisha NCCR mageuzi.
5. Uwepo wake CHADEMA na uwezekano wa kuisambaratisha au kuiimarisha.
6. Mafunzo ya ujasusi aliyapatia wapi?
7. kama bado ni agent wa TISS mpaka sasa.
1. Alisomea sheria wapi na kuhitimu mwaka gani?
2. Yeye kutamka hadharani kua ni mwanausalama na athari zake kisiasa ndani ya chadema
3. Amewahi kufikia rank gani ndani ya usalama na operesheni alizoshiriki.
4. Mchango wake katika kuinusuru au kuisambaratisha NCCR mageuzi.
5. Uwepo wake CHADEMA na uwezekano wa kuisambaratisha au kuiimarisha.
6. Mafunzo ya ujasusi aliyapatia wapi?
7. kama bado ni agent wa TISS mpaka sasa.