Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,907
- 1,080
teh teh teh teh teh tehhhhhImbecile
teh teh teh teh teh tehhhhhImbecile
Asante Rutashubanyuma, nina swali dogo.....ni kwa nini CCM wanaruhusiwa kuchagua watu watatu kugombea na upinzani wanatoa mmoja tu?
Clarification kidogo itasaidia sana kuelewa hili suala kwani nilitegemea CCM wasimamishe mtu mmoja.
Acheni kujidanganya.
Kwanza majina hayo matatu yakitoka hapo yanakwenda katika caucas ya CCM ambapo watachangua mtu mmoja tu na ni wazi atakuwa Anna Makinda. Ukweli ni kuwa kati ya wote hao ni Anna Makinda tu mwenye uwezo, ukomavu na uhusiano mzuri na wabunge walio wengi kiasi cha kumuwezesha kushinda katika party caucus na pia bungeni
Pili, baada ya kuwatukana, kuwakejeli na kuwakashifu CUF kwa miezi yote hii na sasa mnalazimisha bingwa wa utengano katika upinzani Mbowe kuwa kiongozi wa upinzani bado mnajidanganya kuwa CUF hao hao ndio watakaowabebea mgombea wa wenu..Marando?
Acheni siasa za kujidanganya...
Na wewe endelea na siasa zako za udini hazitakufikisha kokote maana tulishakung'amua. Ndio sababu unajikomba jikomba kwa Zitto......Shukurani na endeleeni kujidanganya na siasa zenu za ndoto.......
Acheni kujidanganya.
Kwanza majina hayo matatu yakitoka hapo yanakwenda katika caucas ya CCM ambapo watachangua mtu mmoja tu na ni wazi atakuwa Anna Makinda. Ukweli ni kuwa kati ya wote hao ni Anna Makinda tu mwenye uwezo, ukomavu na uhusiano mzuri na wabunge walio wengi kiasi cha kumuwezesha kushinda katika party caucus na pia bungeni
Pili, baada ya kuwatukana, kuwakejeli na kuwakashifu CUF kwa miezi yote hii na sasa mnalazimisha bingwa wa utengano katika upinzani Mbowe kuwa kiongozi wa upinzani bado mnajidanganya kuwa CUF hao hao ndio watakaowabebea mgombea wa wenu..Marando?
Acheni siasa za kujidanganya...
Marando ni ccm na mtu wa usalama, kwa hiyo atawapoteza chadema. Wawe waangalifu, wangempa muda wa kumchunguza kwanza.
Acha utoto!Shukurani na endeleeni kujidanganya na siasa zenu za ndoto.......
Ushabiki ni kitu hatari sana. Watu wanaacha kutumia akili zao walizopewa na Allah kwa sababu ya ushabiki. Mabere Marando of all the people mnataka awe speaker. Dude's client is Jitu Patel for effin sake. He destroyed NCCR Mageuzi. He has no spine, whose political affiliations changes with the current upepo wa siasa.
Also, unafiki wenu utawasuta. CCM used kura za maoni kuchukua wagombea wa ubunge, you guys went behind closed doors. CCM used central committee kuchuja maspika, nyie mmetuletea jina tu la Mabere Marando hata hatujui kapitaje. CCM is more democratic than chama chenu cha kizushi. Ila kwa ushabiki wenu mmekuwa vipofu wa kujadili and you just hate, hate, and hate.
You used to hate on CUF, and now you want their votes. wtf? mmeshatuona sie waTanzania wapumbavu eeh?
Habari hii imenukuliwa na TBC sasa hivi kuwa ni kwa mujibu wa naibu katibu mkuu Mh. Zitto Kabwe