3D.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2010
- 1,018
- 284
Ushabiki ni kitu hatari sana. Watu wanaacha kutumia akili zao walizopewa na Allah kwa sababu ya ushabiki. Mabere Marando of all the people mnataka awe speaker. Dude's client is Jitu Patel for effin sake. He destroyed NCCR Mageuzi. He has no spine, whose political affiliations changes with the current upepo wa siasa.
Also, unafiki wenu utawasuta. CCM used kura za maoni kuchukua wagombea wa ubunge, you guys went behind closed doors. CCM used central committee kuchuja maspika, nyie mmetuletea jina tu la Mabere Marando hata hatujui kapitaje. CCM is more democratic than chama chenu cha kizushi. Ila kwa ushabiki wenu mmekuwa vipofu wa kujadili and you just hate, hate, and hate.
You used to hate on CUF, and now you want their votes. wtf? mmeshatuona sie waTanzania wapumbavu eeh?
Mkuu Sele, kwa akili za kawaida tu ni rahisi mtu kuona ulivyozama kwenye chuki na ni wazi chuki hii ni ya kidini. Yanapokuja masuala ya kitaifa ni vizuri ukayaapproach kwa hoja kuliko kuweka ubongo pembeni na kutangaza chuki. Unahitaji kujifunza misingi ya saikolojia na sosholojia, vinginevyo utakufa na chuki na peponi hutoenda. Ukiweza kujifunza jifunze. Tazama approach ya mwenzako Ustaadh hapo juu, safi sana.