Mabere Marando awania Uspika kupitia CHADEMA

Mabere Marando awania Uspika kupitia CHADEMA

CCM si vichaa mkuu!!! Athari ya kumpa u-spika Marando wanaijua, kwa ufupi ni hatari kuliko unavyodhani!!!

Tusubiri tuone!!:tape:
 
Kuna mchangiaji hapa amesema CCM wajifunze kusoma alama za nyakati.Very impossible, Sitta mwenyewe alishindwa kusoma alama za nyakati. Mkakati wa kumngoa ulianzia mbali, toka wamtupe Malecela aliyesimama kidete kusema kuwa atamrudisha Sita kama spika, alitakiwa ajue kuwa kuna maji tak ayanakuja kumzoa. Akasimama akingojea maji hayo yamfike, akaingia kichwa kichwa, sasa amepata aibu. Ili kummaliza moja kwa moja huenda wamemuahidi uwziri mkuu etc, hawampi, nadhani ataambulia ukuu wa mkoa ili kumtoa kabisa kwenye anga za kibunge.

Anne Makinda anayo nafasi, but nadhani Anna Abdala ndio target, Kate Kamba pia anaweza kupat akwa sababu ya hao wawili kuonekana wana madoa mengi. and this will be a suprise. Hayo majina 3 yanakwenda Halmashauri Kuu ili watoe jina moja, Msekwa kuwa makamu mwenyekti anao watu wengi ndani ya halmashauri kuu ambao watampatia kura mkewe. Msekwa is just coming back easily. Bifu lake limepata tiba loh
 
Chenge alikuwa anamfunga tu paka kengere. Mbinu inajulikana ni Sitta aondoke na hilo wamefaulu. Sasa hao kina mama watatu, wengi wangependelea Anna Makinda, lakini usishangae utakapoona Anna Abdallah akiingia kuwalinda watu wake
 
kusema ukweli kwa wagomgea uspika ambao ni Mabere Nyaucho Marando na mtu mmoja wa ccm kati ya anna makinda, anna abdala msekwa na kate kamba. Marando ni mgombea pekee ambaye anakubalika kwenye umma wa watanzania na wapenda maendeleo na wapenda demokrasia ndani ya bunge.
Tatizo ni kwamba wabunge wa ccm watapiga kula kichama na si kwa kidemokrasia kuchagua wamtakae, wanaogopa kama wabunge wa ccm watagundulika kumpigia marando basi watakuwa na hali mbali. Hivyo votes will be on party line hasa ccm, then wapinzani watampigia marando lakini kura za cuf sina hakika kama zote zitanda kwa marando.
Kama kweli ccm itapata kiti cha uspika siku moja ngumi zinaweza rushwa bungeni maana spika atakuwa dikiteta wa hali ya juu kuwafurahisha mafisadi, ccm chama tawala na serikali yake.

Wabunge wa CCM have nothing to loose kwa kumchagua Marando. Kwanini nasema hivi. Nadhani huu si wakati wa kuogopa tena, ukifukuzwa bado una chance kubwa ya kushinda ubunge ukiwa upinzani.

Hilo wabunge wa CCM lazima walielewe, just be there for the interest of your people and not chama. Zamani ilikuwa ukitoka CCM thats the end of it, sio leo bana.
 
Endeleeni kujidanganya....Hivi ni mbunge yupi wa CUF unayemjua? Hivi ni lini uliona kuna kiongozi ama mbunge wa CUF anaside tofauti na maamuzi ya Chama? Hivi unajua feelings za CUF dhidi ya Chadema katika masuala ya Ushirikiano na uhusiano wake na siasa na hisia za udini kama ilivyo kwa upande wa Chadema? Hivi chini ya uenyekiti wa Mbowe ambaye aliwahi kusema hadharani kuwa hawezi kushirikiana na CUf kwa kuwa ni chama cha udini kweli unategemea any collaboration kutoka kwa CUF? Na vipi propaganda za uchaguzi ambapo Chadema walishikilia kuwa CUF wanandoa ya kubaka demokrasia na CCM na hata kukebehi mafanikio ya CUF Zanzibar? Hivi unajua ni watu wangapi ndani ya CUF ambao walikuwa wazito serikalini na wanamjua vilivyo Mabere Marando ambao hawatakuwa tayari kuona akifanikiwa kupata nafasi hiyo?

Mazingira ya kushirikiana yanatakiwa yajengwe kabla lakini sio kutegemea sentiments na mahitaji ya muda mfupi......Kuheshimiana na kuthaminiana ni moja ya hatua muhimu ya kujenga mazingira hayo hata kama mnatofautiana lakini kama ambavyo wapambe, wafuasi na baadhi ya viongozi wa Chadema wanavyopenda kufanya.......siasa za chuki, fitina na kebehi sio siasa endelevu zinazohitajika kulikomboa taifa letu kwa maana halisi ya ukombozi (sio our turn to eat kind of Ukombozi ambao tunauona sasa)

Sichukii Chadema lakini nachukia mwenendo wao wa kukosa uthubutu wa kujisahihisha na kuharibu all the potentials walizonazo kuwa Chama Mbadala Makini mradi waweze kufanikisha matamanio ya muda mfupi kisiasa na maslahi ya Mbowe.......

Lakini pia humu ndani kuna watu wanapenda kuongozwa na emmotions zao bila hata kuthubutu kujua undani wa siasa za nchi yetu, na bahati mbaya wapo baadhi ya viongozi wa Chadema wanachukulia jukwaa hili kama uwanja wa ushauri kwao na kujikuta wanaingia mkenge kila wakati............

Kasome Tanzania Daima ya leo uone CUF walisema nini, amka wewe acha kung'ang'ania matabaka, Tanzania ni moja na watu wake ni wamoja, sote jukumu ni kukomboa Tanzania kutoka kwa wakoloni weusi.
 
Piga picha ifuatayo ya safu ya hoja Nzitto kwa maslahi ya taifa:

1. Spika - Marando - (Muunda Kamati)
2. Tindu Lissu - Hoja binafsi ya Katiba
3. Mwakyembe - Mwenyekiti wa Tume Maalumu ya Kuunda Katiba Mpya
4. Zitto Kabwe - Mjumbe wa Kamati
5. Halima Mdee - Mjumbe wa Kamati na Katibu wa Kamati
6. Anne Kilango - Mjumbe wa Kamati
7. Freeman Mbowe - Mjumbe wa Kamati

8. Hamadi Rashidi - Makamu Mwenyekiti wa Kamati
.
.
.

Hebu nimalizieni kamati hii ya watu 10 itakayoleta Tanzania Mpya . . . . Mmmh! Au naota tu?
Kilango na Mbowe.jpg
Na hapa ni wana kamati wanapongezana baada ya Katiba mpya.....
 
What the hell, Hivi Mabere Marando si ndio wakili wa Valambhia ambaye pamoja na yule haramia wa Ireland waliingiza mkenge serikali katika manunuzi ya silaha miaka ya themanini na sasa wanapigania kulipwa zaidi ya bilioni hamsini kutoka katika hazina yetu na yeye Marando anawazuia wanafamilia wa Valambhia kusettle case for 3 Bilion ili yeye na wenzake wa BOT waendelee kula malipo ya uwakili?


This is too much............
huyo ni nimrod mkono mbunge wenu aliyepita bila kupingwa
 
Sasa udini uko wapi? Niambie wewe udini wangu uko wapi? I love Issa Bin Maryam just like everybody else.

I tell the way it is, Chadema wanafki. Mnaongelea utawala bora and only CCM gets to actually do it.

Niambie wewe, how did Mabere Marando nominated as Chadema candidate for speaker? au wenye chama chao wamekaa huko Kilimanjaro wakaamua kwamba Marando (the most obsocure politician in this country) achaguliwe?

And you make noise when CC that represents makada wa CCM, choose their candidate. kama sio unafki huo ni nini?
Wewe ni pumbavu maana masuala yanayohusu Chadema yanakuhusu nini? wewe unadhani mambo yetu lazima yawe photo copy ya ccm?

Hakuna wajinga kama nyie ccm maana watu 37 wanawaamulia watu milioni 5 na nyie mnaingia mkenge na kujivuna eti nyie ndio wenye domokrasia. Kwa nini kama nyie mnajua kuchagua hamkuleta majina yote kwa wabunge wao waangalie yupi anafaa na yupi hafai?

Kaa kimya bwana na udini wako. Nyie ndio mnajifanya kwamba ccm ni mali ya dini yenu!
 
Endeleeni kujidanganya....Hivi ni mbunge yupi wa CUF unayemjua? Hivi ni lini uliona kuna kiongozi ama mbunge wa CUF anaside tofauti na maamuzi ya Chama? Hivi unajua feelings za CUF dhidi ya Chadema katika masuala ya Ushirikiano na uhusiano wake na siasa na hisia za udini kama ilivyo kwa upande wa Chadema? Hivi chini ya uenyekiti wa Mbowe ambaye aliwahi kusema hadharani kuwa hawezi kushirikiana na CUf kwa kuwa ni chama cha udini kweli unategemea any collaboration kutoka kwa CUF? Na vipi propaganda za uchaguzi ambapo Chadema walishikilia kuwa CUF wanandoa ya kubaka demokrasia na CCM na hata kukebehi mafanikio ya CUF Zanzibar? Hivi unajua ni watu wangapi ndani ya CUF ambao walikuwa wazito serikalini na wanamjua vilivyo Mabere Marando ambao hawatakuwa tayari kuona akifanikiwa kupata nafasi hiyo?

Mazingira ya kushirikiana yanatakiwa yajengwe kabla lakini sio kutegemea sentiments na mahitaji ya muda mfupi......Kuheshimiana na kuthaminiana ni moja ya hatua muhimu ya kujenga mazingira hayo hata kama mnatofautiana lakini kama ambavyo wapambe, wafuasi na baadhi ya viongozi wa Chadema wanavyopenda kufanya.......siasa za chuki, fitina na kebehi sio siasa endelevu zinazohitajika kulikomboa taifa letu kwa maana halisi ya ukombozi (sio our turn to eat kind of Ukombozi ambao tunauona sasa)

Sichukii Chadema lakini nachukia mwenendo wao wa kukosa uthubutu wa kujisahihisha na kuharibu all the potentials walizonazo kuwa Chama Mbadala Makini mradi waweze kufanikisha matamanio ya muda mfupi kisiasa na maslahi ya Mbowe.......

Lakini pia humu ndani kuna watu wanapenda kuongozwa na emmotions zao bila hata kuthubutu kujua undani wa siasa za nchi yetu, na bahati mbaya wapo baadhi ya viongozi wa Chadema wanachukulia jukwaa hili kama uwanja wa ushauri kwao na kujikuta wanaingia mkenge kila wakati............
Wewe zumbukuku ni mmoja wao maana unaongozwa na chuki za dini tu na beef yako kwa Mbowe baada ya Zitto kutopata uenyekiti. Ulidhani Zitto akipata uenyekiti utatibu njaa zako. Kaa uko uko ccm (Chaka chua matokeo) tuachie Chadema yetu. Umeula wa chuya kaka!
 
Wewe ni pumbavu maana masuala yanayohusu Chadema yanakuhusu nini? wewe unadhani mambo yetu lazima yawe photo copy ya ccm?

Hakuna wajinga kama nyie ccm maana watu 37 wanawaamulia watu milioni 5 na nyie mnaingia mkenge na kujivuna eti nyie ndio wenye domokrasia. Kwa nini kama nyie mnajua kuchagua hakuleta majina yote kwa wabunge wao waangalie yupi anafaa na yupi hafai?

Kaa kimya bwana na udini wako. Nyie ndio mnajifanya kwamba ccm ni mali ya dini yenu!
Udini? kivipi? how do u come to a conclusion kwamba mimi ni mdini? yaani mkizidiwa hoja mnaweka udini. Huu ndio ukweli, if you are for utawala bora, halafu unamfagilia Marando kuwa spika. Ni unafki. Nukta. We are talking about Mabere Nyaucho Marando here. Unamjua huyu jamaa au unafuata upepo tu?

As far as demokrasia. I will let u decide. Wanachama wa CCM wamepiga kura kuchagua wagombea ubunge, niambie wewe wagombea ubunge wa Chadema wamepatikana vipi kama sio kujuana? Bila ukomavu wa demokrasia wa CCM mngechukua Iringa Mjini? Maswa? Bukombe? Kuwa mkweli moyoni mwako.

CCM wametoa form za speaker kwa kila mwanachama, then CC imekaa ikapitisha majina matatu, halafu wabunge wakampitisha Anna Makinda. Transparent and clean process. Nyie Chadema mmekuja na jina la Mabere Marando, hajulikani nani kagombea, nani kachujwa, kivipi? Kumbe Mzee Mtei kasema tu, mpeni Marando, just like he wanted Mkwe wake Mbowe awe Mwenyekiti, mmkampiga chini ZItto.

Acheni unafki. You should hold yourselves on the same standards that you criticize CCM. That is what I am saying. Otherwise mnakuwa wanafki. Mnasema CCM kuna kujuana, ooh chama cha kisultani. Makambas, Kikwetes, Malecellas, Mwinyis. Sisi tunasema sawa undugu umezidi CCM. Lakini tukiwauliza nyie vipi? Mke wa Slaa, dada yake Tundu Lisu, Mtoto wa Ndesamburo, Mkwe wa Mzee Mtei (Mbowe), mama yake Kabwe? Ni unafiki tu.

Halafu badala ya kujibu hoja, unasema mimi mdini. wtf?
 
CCM wametoa form za speaker kwa kila mwanachama, then CC imekaa ikapitisha majina matatu, halafu wabunge wakampitisha Anna Makinda. Transparent and clean process

Ustaadhi! Sidhani kama unajua ulichokiandika kama kina mantiki wala mashiko hata kidogo! Kigezo cha kuwa mgombea Uspika wa CCM lazima awe anavaa sikieti mbona unajifanya umesahau? Kama issue ni transparency and clean process kwanini Makamba alisema lazima awe mwanamke? Hebu acha kuleta tope hapa. Elewa CHADEMA hakihitaji copy and paste kutoka CCM A ama B (CUF)
 
Yule Mwanasiasa machachari wa mageuzi Mpiganaji Mabere Nyaucho Marando, amechukua form ya kugombea Uspika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano kupitia CHADEMA.

Pamoja na yeye kuna vijana wengine kama watatu waliojitokeza kupitia CHADEMA. (Source: ITV News Bulletin)

Kama muujiza ukitokea na Marando akawa Spika wa Bunge, basi Katiba Mpya iko mbioni kupatikana kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015. Pia itakuwa ni pigo kubwa kwa Mafisadi wote.

spika wa kwanza tz
1.jpg
 
Ustaadhi! Sidhani kama unajua ulichokiandika kama kina mantiki wala mashiko hata kidogo! Kigezo cha kuwa mgombea Uspika wa CCM lazima awe anavaa sikieti mbona unajifanya umesahau? Kama issue ni transparency and clean process kwanini Makamba alisema lazima awe mwanamke? Hebu acha kuleta tope hapa. Elewa CHADEMA hakihitaji copy and paste kutoka CCM A ama B (CUF)

Mchungaji--
The largest voting block in our electorate is women. You go ahead and patronize them. They will make you pay. 2015 sio mbali. Kauli Mbiu "CCM inawawezesha kina mama" they win them by 70% and they have another 5 years.

This is politics kaka, its not a pulpit.
 
Ustaadhi! Sidhani kama unajua ulichokiandika kama kina mantiki wala mashiko hata kidogo! Kigezo cha kuwa mgombea Uspika wa CCM lazima awe anavaa sikieti mbona unajifanya umesahau? Kama issue ni transparency and clean process kwanini Makamba alisema lazima awe mwanamke? Hebu acha kuleta tope hapa. Elewa CHADEMA hakihitaji copy and paste kutoka CCM A ama B (CUF)
Asante kwa kumsaidia huyu maana nadhani hana kichwa ila bakuli la uji maana haya hayahitaji kwenda chekechea kuyaelewa. Bado anaendeleza nyimbo za ccm ilitupatia majimbo. Sijui majimbo hayo ni ya babake?
 
Mchungaji--
The largest voting block in our electorate is women. You go ahead and patronize them. They will make you pay. 2015 sio mbali. Kauli Mbiu "CCM inawawezesha kina mama" they win them by 70% and they have another 5 years.

This is politics kaka, its not a pulpit.
So, hamkuwa na wanawake Arusha? na hamkuwa na wanawake Mwanza? au hamkuwa na wanawake Kigoma? Hamkuwa na wanawake Iringa? na vipi Mbulu, Musoma and the like? Hizi nyimbo tulishazichoka!
 
So, hamkuwa na wanawake Arusha? na hamkuwa na wanawake Mwanza? au hamkuwa na wanawake Kigoma? Hamkuwa na wanawake Iringa? na vipi Mbulu, Musoma and the like? Hizi nyimbo tulishazichoka!

Kwani kaka? how many wabunge does CCM have? You speak with impunity like 22 seats all over the sudden makes you a majority? Just come back to the real world every once in a while.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom