Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Tafadhali wapinzani wote twawaombeni muungane mumpe kura marando, hata nyie wa sisiem wapinga ufisadi piga kura kwa Marando, bila hivyo naliona bunge la sasa kuwa baya sana kama enzi za chama kimoja, mtakuwa kama picha tu mnayesubiri kupewa posho tuu.
Kwani ni nani anayehesabu kura za mshindi wa kiti cha uspika??