BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,628
- 19,810
Baada ya kimya cha muda mrefu umerudi.. Nasikia ulipoteza simu na uchumi ulivokaza kupata nyingine imebidi udundulize kama kawaida ya watumishi wa umma ngazi ya kata.. Leo umerudi na mada yako kumuandama Pompeo.. Yaani katibu tarafa kigoma vijijini huko unapata ujasiri wa kumponda Pompeo na serikali yake! Kiukweli marekani wengi hatuipendi ila kuanzisha nao ugomvi bila sababu za msingi ni uendawazimu.. Hivi tunavobwabwaja kuhusu marekani tunajua madhara yake wakiamua kwenda jino kwa jino na sisi? Tuacheni hiki kiburi mavi maana marekani sio uganda ya Idd Amini au M-23 ya Raulent Nkunda.. Ugomvi na marekani tuwaachie Warusi na Wachina wao wana huo ubavu wa kushindana nae sio sisi ambao mpaka karne hii tunakuwa sponsored kutahiriwa na kuchimba vyoo.. Hizi bangi tuvute ila tusizinuwie kwa wamarekani ni hatari wakisema wadeal na sisi


