Mabeberu yameanza kutuheshimu sasa

Mabeberu yameanza kutuheshimu sasa

Ha ha ha ha ha.. Nahisi kuna mtu hajalipwa vizuri Lumumba leo.. Uzi wa pili huu naona tatizo ya the same id kujijibu..
Nashindwa kuelewa,iweje mtu ahangaike vyote hivyo!Yaani anawahi kujijibu sijui ili iweje?Nafsini kwake anawazaje?Yaani ni kama kujiibia pesa yako mwenyewe!!
 
Wao pia wanategemea madini yetu

Nadhani utaelewa kwa kina comrade
Hakuna nchi yeyeto duniani inayowejitegema yenyewe.Ili uendelee ni lazima uliwe kila nchi duniani inaliwa na nchi zingine ndio maendeleo, wageni wangapi wamewekeza USA na ulaya wanaichuma wanapeleka kwao mfano Asia, Africa,China vivo hivo nao wanaliwa na USA na ulaya ndio maendeleo.
 
Hakuna nchi yeyeto duniani inayowejitegema yenyewe.Ili uendelee ni lazima uliwe kila nchi duniani inaliwa na nchi zingine ndio maendeleo, wageni wangapi wamewekeza USA na ulaya wanaichuma wanapeleka kwao mfano Asia, Africa,China vivo hivo nao wanaliwa na USA na ulaya ndio maendeleo.
hata mheshiwa jk alishakwambia "ukitaka kula lazima uliwe"
 
Mwenye shida ni Tanzania sio Marekani, tanbua hilo kwanza.
Tulisikia lugha sampuli hiyo na tukashiriki kulaani enzi za Raisi Nyerere pammoja na propaganda hizo sikumuona Marekani akisalimu amri,sana sana ni Raisi Nyerere ndie alitembea Marekani akakinga bakuli njaaa njaa.
 
We Pimbi, Safari hii Jiwe wako ananyooshwa na mabeberu, mpaka atakubali mziki.
 
inawezekana nchi za afrika kujitegemea lakini kuna process ngiumu na hatari sana inayohitaji confidence inabidi tuipitie,

dr magu anauthubutu, ni mfano wa kuigwa,

Naam comrade Rais Magufuli ni Mfano bora kwa Viongozi wa Africa

Tuendelee kumuombea na kumpa ushirikiano Rais wetu mpendwa Magufuli

Ana maono makubwa
 
Unadanganyika na GDP ambayo inaandaliwa na Mabeberu ili kuendelea kumvika shuka la ujinga mwafrika?

Export yao ni maua ya Mabeberu kwenye mashamba yao kenya hiyo ni pesa ya beberu Hakuna mkenya ananufaika

Bajeti yao ni hewa nenda kapitie utekelezaji wa bajeti ya mwaka juzi

Awareness ya kuzungumza kingereza Au mauaji ya kikabila?
Linganisha vifuatavo utapata jibu GDP yao na yetu,linganisha export,bajeti yao,awareness,
 
Back
Top Bottom