Mabeberu yameanza kutuheshimu sasa

Mabeberu yameanza kutuheshimu sasa

Pompeo siku hizi halali anaiwaza Tanzania

Kila kinachofanyika Tanzania anakifatilia

Anafuatilia kila hotuba za Rais wetu mpendwa pengine wanalazimika kujifunza hadi kiswahili ili wajue atasema nini.

Miaka ya katikati Tanzania tulipoteza ushawishi wetu wa kisiasa duniani ila toka Rais Magufuli ameingia madarakani mambo yamebadilika.

Bahati nzuri Rais wetu hana muda wa kwenda huko anatumikia Watanzania waliomchagua kwa mamilon ya kura.


Ikumbukwe Marikani huingiza Zaidi ya doller bilion tano kila mwaka kutokana na safari za viongozi wa Africa kwenda Marekani.

Ndani ya miaka minne Magufuli kutokwenda kule kinamuumiza kichwa pompeo

Kama Iran wameweza kumthibiti bwanyenye Kwanini sisi tumuogope?

Marais wa Africa wangekuwa kama Magufuli hakika bara la Africa lingeanza kupokea heshima inayostahili

Haiwezekani watu wanaiba raslmali zetu na sisi tunazindikiza huko kwa kutapanya mabilion ya walipa kodi.

Pompeo nenda kwa step,Tanzania ya leo sio ya jana

Rais Magufuli usitishike na hawa Mabeberu sisi Watanzania tunakuunga mkono kwa asilimia mia moja.

Baada ya pompeo kugonga mwamba huko Venezuela na north korea. Sasa anaanza kuleta janja janja kwetu, hatutakubali.

Tena mimi simwogopi kwenye ukurasa wake wa Twitter huwa nampa ukweli wake.
Hii ni thinking cheap kuliko kitu chochote
 
Hahaha! Mkuu hapa ulifikiri unatumia ID yako nyingine kuunga mkono thread uliyoanzisha mwenyewe kumbe bado uko kwenye ID uliyoanzishia thread! Pole sana kwa kuumbuka.

I say nyie watu hamna aibu kwenye propaganda zenu. Yaani Africa iwe na heshima kwa kutokwenda USA? Ndio mawazo ya Magufuli hayo, kwamba Tanzania itakuwa na heshima ikiwa hatafanya ziara za nje?

Na enzi za Nyerere mbona alikuwa akitoka nje na Tanzania ikawa na heshima sana? Utaelezaje hilo?

Tanzania kuwa na heshima ni kuacha kutumia nguvu kukaa madarakani kwa kukandamiza siasa za upinzani na kuteka na kuua kila anaekukosoa. Na pia ni kuwa na sera za nchi za nje (foreign policy) ambazo zinatuondoa kwenye ulimbukeni wa kuomba omba vitu vidogo kama kujengewa viwanja na misikiti, na kujikomba kwa mataifa kwa ajili ya misaada yao badala ya kusimamia misingi ya haki za binadamu. Ndicho Nyerere alichotuachia mfano ila tatizo ni nyie, vichwa na masikio makubwa lakini hamuelewi wala kusikia.
Yuko na mm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM ina hazina ya wapumbavu huyu mtoa mada ni ingizo jipya au lilikuwepo msaada tafadhali
 
Suluhisho ni nini? Au suluhisho ni kubali Mabeberu yaendelee kudhulumu haki zetu na mali zetu
Kuna siku utaelewa ninasema nini. Ilakaa ukijua kuwa ulichoandika sio suluhishola matatizo yetu.
 
Suluhisho ni nini? Au suluhisho ni kubali Mabeberu yaendelee kudhulumu haki zetu na mali zetu

Hakuna anayepinga utetezi wa rasilimali na mali zetu. Shida hiyo kitu inataka kupiganwa kwa maarifa na ujanja sana.Makosa mengi sana yalifanywa huko nyuma kiaasi kwamba kutatua hayo makosa inahitaji busara ya hali ya juu na sio ushabiki. Tujifunze sana kwa makossa ya wenzetu kote duniani ili tuchukua hatua sahihi ambazo hazita tuumiza in the long run. Yapo maeneo serikali imefanya vizuri sana so far lakini pia yapo mapungufu ambayo tusaidiane kuyatatua..
 
Mawazo mazuri sana wewe ni vijana wachache wa Upinzani ulio na werevu usiwe km waropokaji wengine
Hakuna anayepinga utetezi wa rasilimali na mali zetu. Shida hiyo kitu inataka kupiganwa kwa maarifa na ujanja sana.Makosa mengi sana yalifanywa huko nyuma kiaasi kwamba kutatua hayo makosa inahitaji busara ya hali ya juu na sio ushabiki. Tujifunze sana kwa makossa ya wenzetu kote duniani ili tuchukua hatua sahihi ambazo hazita tuumiza in the long run. Yapo maeneo serikali imefanya vizuri sana so far lakini pia yapo mapungufu ambayo tusaidiane kuyatatua..
 
Mleta Mada Ulipiga Porojo Kuelekea Uchaguzi Mkuu Wa Chadema Kibaraka Wenu Akapigwa Chini Ukapotea,sasa Umeibuka Et Pompeo Undahani Kila Anayekufatilia Kwa Makini Ni Anakupenda?Na Hizo Bilion Wanazoingza Marekani Kwa Kutembelewa Na Marais Toka Afrika Inakuwaje Au Wao Ni Kivutio Kwa Wamarekani?
 
Behind The Scene tutakuwa tunajuta kuwadharau hao tuliowabatiza mabeberu...
 
EPompeo Undahani Kila Anayekufatilia Kwa Makini Ni Anakupenda?

Na Hizo Bilion Wanazoingza Marekani Kwa Kutembelewa Na Marais Toka Afrika Inakuwaje Au Wao Ni Kivutio Kwa Wamarekani?


Beberu halijawahi kupenda mtu mweusi hata siku moja Ndio maana twamuonywa pompeo ajiangalie Tanzania ya leo sio ya jana

Haiwezekani Rais wetu aende huko Marikani kuwanufaisha watu wanaotunyonya

Nendeni nyie wapinga maendeleo mnaosapoti ufirauni
 
Pompeo siku hizi halali anaiwaza Tanzania

Kila kinachofanyika Tanzania anakifatilia

Anafuatilia kila hotuba za Rais wetu mpendwa pengine wanalazimika kujifunza hadi kiswahili ili wajue atasema nini.

Miaka ya katikati Tanzania tulipoteza ushawishi wetu wa kisiasa duniani ila toka Rais Magufuli ameingia madarakani mambo yamebadilika.

Bahati nzuri Rais wetu hana muda wa kwenda huko anatumikia Watanzania waliomchagua kwa mamilon ya kura.


Ikumbukwe Marikani huingiza Zaidi ya doller bilion tano kila mwaka kutokana na safari za viongozi wa Africa kwenda Marekani.

Ndani ya miaka minne Magufuli kutokwenda kule kinamuumiza kichwa pompeo

Kama Iran wameweza kumthibiti bwanyenye Kwanini sisi tumuogope?

Marais wa Africa wangekuwa kama Magufuli hakika bara la Africa lingeanza kupokea heshima inayostahili

Haiwezekani watu wanaiba raslmali zetu na sisi tunazindikiza huko kwa kutapanya mabilion ya walipa kodi.

Pompeo nenda kwa step,Tanzania ya leo sio ya jana

Rais Magufuli usitishike na hawa Mabeberu sisi Watanzania tunakuunga mkono kwa asilimia mia moja.

Baada ya pompeo kugonga mwamba huko Venezuela na north korea. Sasa anaanza kuleta janja janja kwetu, hatutakubali.

Tena mimi simwogopi kwenye ukurasa wake wa Twitter huwa nampa ukweli wake.
We Pimbi kweli yaani mabeberu yawaheshimu watembeza bakuli?
 
Back
Top Bottom