Mabeberu yameanza kutuheshimu sasa

Mabeberu yameanza kutuheshimu sasa

Nyie wapinzani mnavituko kweli
Kwahiyo na wewe kwa huo ugoro unajiona ni mtu wa kufanya reasoning
Mwenzako nyerere aliwananga sana mabeberu kumbe wanampuuza tu akipewa misaada akatai,alipotaka kufurushwa ikulu akawaomba msaada wakamrudisha,alipopigwa njaa wakamlisha.Hawa jamaa wameumbwa na mioyo tofauti ni sawa na mtoto kumtusi mzazi Na mzazi amtupi mwanae anajua bado ajitambui.Miaka 60 tangu Uhuru tungeonyesha mfano kwamba tumeweza jitegemea hata kujenga vyoo na kufuta nyumba za nyasi tumeshindwa ndio tutaweza kweli.
 
Utanyenyekea vipi unaomba mkopo wakati unaulipia!

Nakukumbusha Marikani Ndio Nchi ina deni kubwa zaidi duniani
Deni ndio hilo linapaa tunaelekea kufisika yaani mwisho wa kukopesheka huku tumeuwa vyanzo vya ndani tutawakwepa vipi
 
Utanyenyekea vipi unaomba mkopo wakati unaulipia!

Nakukumbusha Marikani Ndio Nchi ina deni kubwa zaidi duniani
Acha ujinga dogo! Unamaanisha ushindani usiokuwa na tija! Marekani hakopi kwa ajili ya uchaguzi na hachepushi fedha za mkopo kwenda sehemu isiyohusika! Madeni ya Marekani yanalipika Ila ya kwenu hadi muombewe msamaha wa kufutiwa! Hilo limekukaaje?
 
Private sector ipi iloyokufa?

Diplomacy ipi iliyokufa?

Demokrasia ipi iliyokufa? Au ya Wananchi kuwakataa Wapinzani!
Ukiuwa private sector, ukauwa demokrasia, ukauwa diplomasia,unapaa kuelekea wapi kama sio kuzimu.
 
Kwa hiyo hapo ndio stiglers gorge na tokea lini hao viongozi wakawa Giants hivyo?
 
Nashindwa kuelewa,iweje mtu ahangaike vyote hivyo!Yaani anawahi kujijibu sijui ili iweje?Nafsini kwake anawazaje?Yaani ni kama kujiibia pesa yako mwenyewe!!

Ha ha ha ha.. tatizo hao ndo ajira zao hizo, kushinda kwenye mtandao na kuandika ujinga na kujibu upumbavu.. Ukiwakuta mitaani wanalalamika shida zimezidi..
 
Tangu lini beberu kumuheshimu mbuzi jike? Mkia tu kwenda mbele, mbele za watu!
 
Nakuunga mkono comrade

Pompeo analazimisha watu wafanye ufirauni wasipofanya ati anakataza watu wasiende marikani

Wazungu wameanza kushiwa maarifa

Yan Unajiunga Mkono mwenyewe ? Aisee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, this thread is experiencing some technical difficulties 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom