Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,686
- 12,013
- Thread starter
- #81
Nyakati zimebadilika
Mwenye shida ni Tanzania sio Marekani, tanbua hilo kwanza.
Tulisikia lugha sampuli hiyo na tukashiriki kulaani enzi za Raisi Nyerere pammoja na propaganda hizo sikumuona Marekani akisalimu amri,sana sana ni Raisi Nyerere ndie alitembea Marekani akakinga bakuli njaaa njaa.