Mabeberu Waliwalipa Mashabiki Kumzomea Mwana FA

Mabeberu Waliwalipa Mashabiki Kumzomea Mwana FA

Mwana FA hakuzomewa kwa sababu za kisiasa,bali alizomewa kwa kuingiza siasa kwenye burudani za watu,ni ukosefu wa maono,kwa mfano angesema kuwa leo tunashangilia na kucheza mziki hapa lakini miaka ijayo tutacheza kwenye arena ya kisasa ambayo itajengwa hivi karibuni,hakuna mtu angemzomea.Lakini ukichanganya mafuta na maji lazima balaa itatokea
hasafishiki kwa lugha yoyote ile KUZOMEWA KAZOMEWA na MULIRO na maafande wake hawakuwapo KUWAPOTEZA wazomeaji
 
Mwana FA hakuzomewa kwa sababu za kisiasa,bali alizomewa kwa kuingiza siasa kwenye burudani za watu,ni ukosefu wa maono,kwa mfano angesema kuwa leo tunashangilia na kucheza mziki hapa lakini miaka ijayo tutacheza kwenye arena ya kisasa ambayo itajengwa hivi karibuni,hakuna mtu angemzomea.Lakini ukichanganya mafuta na maji lazima balaa itatokea
Hivyo tu?. Halafu asimtaje Boss wake?. Kutumbuliwa kungemuhusu. Yeye alitakiwa akatae uteuzi tangu mwanzo ili kutunza heshima yake!

KAZI ya kupindisha HAKI miaka nenda miaka rudi ni ngumu sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom