Mabeberu Waliwalipa Mashabiki Kumzomea Mwana FA

Mabeberu Waliwalipa Mashabiki Kumzomea Mwana FA

Beberu gani? Mmeshaona watanzania hawana akili, mabeberu ndio wana akili kuwapambania madhila yao. Kila kitu ni mabeberu tu, kwani wananchi hawana akili?
Anamaanisha MAMBUZI DUME ndio wamemzomea Hamisi
 
Ndugu zangu kwa masikitiko makubwa jana mabeberu wamewalipa watu wote walioingia kwenye hafla ya miaka 30 ya bongo fleva ili wamzomee, kumbagaza na kumbananga mwana FA.

Inauma sana. Mimi kama abduli aka Ponjoro wa Kinondoni nimesikitika sana. Na bado.
Wee acha use..... yani raia wanapoonesha kuchoka na mienendo ya hii serikali haramu ww unakimbilia kusema ni mabeberu mbn mnawafanya wabongo km wapuuzi wakat wote akati nyie ndo wa.......😤😡
 
Ndugu zangu kwa masikitiko makubwa jana mabeberu wamewalipa watu wote walioingia kwenye hafla ya miaka 30 ya bongo fleva ili wamzomee, kumbagaza na kumbananga mwana FA.

Inauma sana. Mimi kama abduli aka Ponjoro wa Kinondoni nimesikitika sana. Na bado.
Mwana FA hakuzomewa kwa sababu za kisiasa,bali alizomewa kwa kuingiza siasa kwenye burudani za watu,ni ukosefu wa maono,kwa mfano angesema kuwa leo tunashangilia na kucheza mziki hapa lakini miaka ijayo tutacheza kwenye arena ya kisasa ambayo itajengwa hivi karibuni,hakuna mtu angemzomea.Lakini ukichanganya mafuta na maji lazima balaa itatokea
 
Ndugu zangu kwa masikitiko makubwa jana mabeberu wamewalipa watu wote walioingia kwenye hafla ya miaka 30 ya bongo fleva ili wamzomee, kumbagaza na kumbananga mwana FA.

Inauma sana. Mimi kama abduli aka Ponjoro wa Kinondoni nimesikitika sana. Na bado.
Kwa hakika mabeberu sii watu wema!Ila zipo tetesi kuwa tikiti zilinunuliwa wahudhuriaji na bado Ntu kazimewa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom