Mabasi aina ya Scania na Mercedes Benz vs Yutong na Zongtong: Mchina ameuza ramani ya vita kwa adui

Huu mjadala wa daf niliukwepa hapo juu baada ya kugundua mnajadili daf za kwenye makaratasi.

Daf CF 85 yenye 9l ina 360hp, wewe hiyo ya 8500cc with 410hp umeitoa wapi? Au ukiona pale mlangoni imeandikwa 85.410 unafikiri 85 ndiyo 8500cc?

Hiyo CF 85.410 ina 13l engine displacement. Lazima ujue 65,75,85,95,105 &106 ain't indicate engine displacement

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Mkuu hapo kwenye cabin hizo figure nilidhani ni engine displacement kisha inafuata horsepower kumbe sikuwa sahihi.

Miaka 4 iliyopita nilipokuwa Morogoro nilikuwa na rafiki yangu fundi wa Maroli pale Msamvu karibu na Midland Hotel yeye ana gereji yake pale na nje kuna Daf kama mbili zimepaki.

Alikuwa akisifia sana uwezo wa Daf na yeye alikuwa na msemo wake anasema Daf hata ikipewa mzigo mzito itafika popote na Kwa spidi.

Kama ni mkongwe utakuwa unamjua alikuwa anapiga sana ishu za kuset nozzle za diesel engine maarufu kama Mzee wa 0.5 km
 
Mkuu hapo kwenye cabin hizo figure nilidhani ni engine displacement kisha inafuata horsepower kumbe sikuwa sahihi.

Miaka 4 iliyopita nilipokuwa Morogoro nilikuwa na rafiki yangu fundi wa Maroli pale Msamvu karibu na Midland Hotel yeye ana gereji yake pale na nje kuna Daf kama mbili zimepaki.

Alikuwa akisifia sana uwezo wa Daf na yeye alikuwa na msemo wake anasema Daf hata ikipewa mzigo mzito itafika popote na Kwa spidi.

Kama ni mkongwe utakuwa unamjua alikuwa anapiga sana ishu za kuset nozzle za diesel engine maarufu kama Mzee wa 0.5 km
Hahaha namfahamu vizuri kabisa mkuu! Mimi nimeishi Moro pia.

Mzee ana mapenzi tu na daf.. ni sawa na wakinga wanaoamini hakuna gari kama 113 duniani



Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Hahaha namfahamu vizuri kabisa mkuu! Mimi nimeishi Moro pia.

Mzee ana mapenzi tu na daf.. ni sawa na wakinga wanaoamini hakuna gari kama 113 duniani



Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Kaka mkubwa anazikubali sana DAF, na Mimi nilikaa sana hapo Moro Town nilikuwa napiga TTPL.

Nilikuwa nikitoka maskani ya Kwanza hapo BM garage nje kisha naenda mitaa ya mzee wa 0.5km kutanua ubongo na kuongeza maarifa ya diesel engines.
 
Miaka kumi kidogo , my testimony tunalo la mwaka 2000 halijawahi guswa chochote kwenye engine zaidi ya fuel filters na water pump na kwa Sasa lina km 2700000 Kila Siku lina run heavy as we speak lipo kasese Uganda na tunategemea lirudi salama dar then liende kigoma huko, the monster ni double manned kwa hiyo huwa halina vituo vya kulala njiani na kulipa mlinzi , kutembea masaa 27 + bila kuzimwa ni kawaida yake .

Kwa Miaka karibu 20 lime serve two owners huko Europe na sisi ni wa tatu hatuna kinyongo nalo!!!
Mkuu nimeamini maneno yako kuhusu shughuli ya R164 480hp V8. Leo asubuhi naingia yard nimekutana nayo moja imetoka Mbinga. Muda ninaoweka mambo yangu sawa nikamuona dereva anafungua shoo za grill ya mbele kumuuliza anasema njia gari ilikuwa inasumbua kwenye cooling ila kafika nayo salama na pale chini ilikuwa inamwaga maji na oil.
 
Kwa V8 hata ikipita miaka 10 mtu achukue tu. Scania wanatengeza engine. Kwa horsepower ya 770 hiyo sio boat, hiyo ni ka-meli fulani hivi. Whatsup with Scania naona wao hawajafanya diversification sana ukilinganisha na Volvo. Hata kwenye marine sioni akiuza sana. Huko ni Volvo, Wartsilla, Mjapan na hata Wachina nao wana tu-marine engines and shipping is a big big business.
Scania kwenye marine engines wamedili sana kutengeneza injini za saizi ya kati na majenereta(Auxiliary engines). Injini zao nyingi ni kwenye boti za kati,,meli ndogo na tug boat.

Wakati Volvo wao wamewekeza sana nguvu kwenye injini zenye spidi Kwa luxury boat na meli ndogo. Volvo wana injini za Volvo Penta Series zimefanya vizuri sana kwenye luxury boat na yatch. Na Volvo miaka ya karibuni injini zao za Volvo Penta wameboresha na kuchukua tuzo ya kuwa injini isiyoleta kelele na yenye utulivu ikifungwa katika boat. Maana manufacturers wengi walikuwa wanapata malalamiko ya kelele kutoka kwenye injini na vibrations.

Mjapani yeye alikuwa na kampuni kubwa mbili zinazozalisha injini za meli Mitsubishi na Yanmar. Mitsubishi walikuwa wababe wa kuzalisha injini kubwa na saizi ya kati, 2 stroke na 4 stroke injini pia slow,medium na high speed injini. Yanmar wao wanatengeza injini ndogo mpaka kubwa za meli ila soko lao kubwa ni Asia na Afrika.

Mchina yeye saizi anatengeneza injini za boti ndogo na meli ndogo injini za Weichai Cummins.

Kwenye shipping industry mambo yapo tofauti kidogo, watengenezaji meli wao suala la injini huwa ni mapendekezo ya mteja au mtengenezaji.

Kampuni kubwa kama Cummins, Mitsubishi,Caterpillar,MTU, Wartsilla na Man&Bm wao wamejijengea legacy kutokana na injini zao kufanya vizuri kwenye soko la meli. Kwa sasa imefika kipindi wanapambana nani aweke technology ya kisasa,fuel consumption, mambo ya emissions na more power.

Scania kutoingia kwenye utengenezaji wa injini za meli kubwa na kutengeneza injini za kati na majenereta wameangalia vitu vingi, wazungu huwa wanafanya research kabla na kuangalia investment hiyo italipa au la. Maana unaweza tengeneza injini ya meli kubwa na baada ya kuingia sokoni, watumiaji wakaleta complain kitu ambacho kitaharibu taswira ya kampuni iliyowekwa kitambo na watu walioumiza vichwa na kuvuja jasho na damu.
 
Scania kwenye marine engines wamedili sana kutengeneza injini za saizi ya kati na majenereta(Auxiliary engines). Injini zao nyingi ni kwenye boti za kati,,meli ndogo na tug boat.

Wakati Volvo wao wamewekeza sana nguvu kwenye injini zenye spidi Kwa luxury boat na meli ndogo. Volvo wana injini za Volvo Penta Series zimefanya vizuri sana kwenye luxury boat na yatch. Na Volvo miaka ya karibuni injini zao za Volvo Penta wameboresha na kuchukua tuzo ya kuwa injini isiyoleta kelele na yenye utulivu ikifungwa katika boat. Maana manufacturers wengi walikuwa wanapata malalamiko ya kelele kutoka kwenye injini na vibrations.

Mjapani yeye alikuwa na kampuni kubwa mbili zinazozalisha injini za meli Mitsubishi na Yanmar. Mitsubishi walikuwa wababe wa kuzalisha injini kubwa na saizi ya kati, 2 stroke na 4 stroke injini pia slow,medium na high speed injini. Yanmar wao wanatengeza injini ndogo mpaka kubwa za meli ila soko lao kubwa ni Asia na Afrika.

Mchina yeye saizi anatengeneza injini za boti ndogo na meli ndogo injini za Weichai Cummins.

Kwenye shipping industry mambo yapo tofauti kidogo, watengenezaji meli wao suala la injini huwa ni mapendekezo ya mteja au mtengenezaji.

Kampuni kubwa kama Cummins, Mitsubishi,Caterpillar,MTU, Wartsilla na Man&Bm wao wamejijengea legacy kutokana na injini zao kufanya vizuri kwenye soko la meli. Kwa sasa imefika kipindi wanapambana nani aweke technology ya kisasa,fuel consumption, mambo ya emissions na more power.

Scania kutoingia kwenye utengenezaji wa injini za meli kubwa na kutengeneza injini za kati na majenereta wameangalia vitu vingi, wazungu huwa wanafanya research kabla na kuangalia investment hiyo italipa au la. Maana unaweza tengeneza injini ya meli kubwa na baada ya kuingia sokoni, watumiaji wakaleta complain kitu ambacho kitaharibu taswira ya kampuni iliyowekwa kitambo na watu walioumiza vichwa na kuvuja jasho na damu.
Kingine cha kuongezea kiongozi shipping ni labour-intensive, hiyo wanaachiwa wachina, korea, japanese na other asians. Naona umeshusha utaalamu kwny tasnia hii. Ma-engine ya meli ni makubwa mno na shipping ni industry complicated ukilinganisha na trucking ingawa zote zina-fall kwny logistics. Kwenye mining naona Volvo wapo pia, but Scania naona wameamua kujizatiti zaidi ktk sector wanayoijua zaidi.
 
Kingine cha kuongezea kiongozi shipping ni labour-intensive, hiyo wanaachiwa wachina, korea, japanese na other asians. Naona umeshusha utaalamu kwny tasnia hii. Ma-engine ya meli ni makubwa mno na shipping ni industry complicated ukilinganisha na trucking ingawa zote zina-fall kwny logistics. Kwenye mining naona Volvo wapo pia, but Scania naona wameamua kujizatiti zaidi ktk sector wanayoijua zaidi.
Kweli ship building industry ni labour intensive haswa ndio maana miaka ya karibuni nchi za Asia ndio zimekuwa kinara Kwa ujenzi wa meli nyingi. Korea kusini,Japan na China ndio wana number kubwa ya meli walizojenga kwenye world fleet ya karibuni.

Ulaya Norway,Greece,Sweden, Germany,Belgium walikuwa wanafanya sana ujenzi wa meli ila sasa wamepunguza. Kutokana na nature ya Industry kutaka vibarua wengi wakati wa ujenzi.

Nchi nyingi za Ulaya na marekani wamebaki kuwa watengenezaji wa Main Engine, Auxiliary Engines (Generators), Marine Gearbox,Navigation Equipment na material mengine yanayotumika kwenye ujenzi wa meli.
Mfano ujerumani wao wamedili sana na injini za MTU, Wartsilla,Man&BM na ZF hawa ZF wao wana injini pia wanatengeneza gearbox nyingi za meli na wametawala sana huku wakishindana na Voith Schedener na Rolls Royce Kwa upande wa luxury boat.
 
Mkuu nimeamini maneno yako kuhusu shughuli ya R164 480hp V8. Leo asubuhi naingia yard nimekutana nayo moja imetoka Mbinga. Muda ninaoweka mambo yangu sawa nikamuona dereva anafungua shoo za grill ya mbele kumuuliza anasema njia gari ilikuwa inasumbua kwenye cooling ila kafika nayo salama na pale chini ilikuwa inamwaga maji na oil.
Hayo madudu achana nayo ni truck porn at its finest, ukianza kulifatilia linavyomaliza missions zake you'll always fall in love with it.
Ni kama Yana viapo vya kumtumikia mmiliki wake
https://youtu.be/MmlD_mcmgCw/URL] Lina Km milioni mbili hapo ni 143
 
Km ilivyo kwa wenye mapenzi na Scania pia wanaamini hakuna
Hayo madudu achana nayo ni truck porn at its finest, ukianza kulifatilia linavyomaliza missions zake you'll always fall in love with it.
Ni kama Yana viapo vya kumtumikia mmiliki wake
] Lina Km milioni mbili hapo ni 143

Ngoma bado mbichi kabisa hiyo, linaonekana linaweza ongeza 2mil kms zingine! Sauti ya V8 pipes!!! dah... unaburudika tu, unajiona unique kabisa.... dunia ya peke ako.
 
Mkuu nimeamini maneno yako kuhusu shughuli ya R164 480hp V8. Leo asubuhi naingia yard nimekutana nayo moja imetoka Mbinga. Muda ninaoweka mambo yangu sawa nikamuona dereva anafungua shoo za grill ya mbele kumuuliza anasema njia gari ilikuwa inasumbua kwenye cooling ila kafika nayo salama na pale chini ilikuwa inamwaga maji na oil.
Roho ya paka!...Jiwe
 
Ngoma bado mbichi kabisa hiyo, linaonekana linaweza ongeza 2mil kms zingine! Sauti ya V8 pipes!!! dah... unaburudika tu, unajiona unique kabisa.... dunia ya peke ako.
Reputation ya kutembea km million hizo ni kama copyright kwa Scania, truck brand nyingine ni za kutafuta Sana na usually ukiikuta utaipata iliyo kuwa inafanya kazi nyepesi
Kuna mtu ametembeza 4.2 million km kwa Scania 142 lake in its original bore.
 
Reputation ya kutembea km million hizo ni kama copyright kwa Scania, truck brand nyingine ni za kutafuta Sana na usually ukiikuta utaipata iliyo kuwa inafanya kazi nyepesi
Kuna mtu ametembeza 4.2 million km kwa Scania 142 lake in its original bore.

Ngoma inacheua vizuri kabisa na bado inadai. Mswahili akinunua hilo anaenda kutoa na ushuhuda kanisani ije iwekewe mikono ya baraka..🤣🤣 na chuma ina more than 30yrs in service.
Kapo kachuma ketu hapa, (not V8) tunaitafutia namna ya kuibadilishia tipper imeisha, and mind you ni mwaka wa 7 huu na kila day kunako majaliwa chuma ipo barabarani inachuma rizki inatustiri mjini hapa kwny jua kali! Truly hatujawai gusa engine, tunabidilishiaga matairi tu na service ndogondogo. Other brands doododoo!! God knows. Swedes are a serious no nonsense people in this business segment.
 
Reputation ya kutembea km million hizo ni kama copyright kwa Scania, truck brand nyingine ni za kutafuta Sana na usually ukiikuta utaipata iliyo kuwa inafanya kazi nyepesi
Kuna mtu ametembeza 4.2 million km kwa Scania 142 lake in its original bore.

4++ million kms seriously. I see a true companion of a capitalist in Scania.
 
Ngoma inacheua vizuri kabisa na bado inadai. Mswahili akinunua hilo anaenda kutoa na ushuhuda kanisani ije iwekewe mikono ya baraka.. na chuma ina more than 30yrs in service.
Kapo kachuma ketu hapa, (not V8) tunaitafutia namna ya kuibadilishia tipper imeisha, and mind you ni mwaka wa 7 huu na kila day kunako majaliwa chuma ipo barabarani inachuma rizki inatustiri mjini hapa kwny jua kali! Truly hatujawai gusa engine, tunabidilishiaga matairi tu na service ndogondogo. Other brands doododoo!! God knows. Swedes are a serious no nonsense people in this business segment.
Na ndo maana ya productivity kwenye industry hii, Moja ya principle ni Gari ihudumu kwa muda mrefu at very minimal costs.
 
Ta
Gari ya kichina Ni gari ya mapito Sana kwa watu wenye quick cash, kwa watu wenye kuijua hii biashara hawezi kuhangaika na gari ya kichina kwa sababu service life zake no kidogo sana, na mind you gari za kichina sio rahisi kivile .

Kwenye industry ya transportation chombo kuhudumu kwa muda mrefu Ni moja ya faida, majinja hajanunua basi mpya lakini anakwrnda Mbeya kiuhakika zaidi na kwa miaka mingi zaidi, kwa kutumia mtaji kidogo na inawezekana akawa na base kubwa ya wateja , kuliko basi nyingi za kichina kwa huko mbeya na sumbawanga,

Kukipambazuka watu watajua ni kiasi gani cha pesa na muda walipoteza kumiliki magari ya kichina


Sent
Tatizo uchumi mkuu,Hebu angalia 900 kwa 250.Hiyo 900 tu pana michina minne.
 
Back
Top Bottom