fortuner
Member
- Jul 9, 2013
- 75
- 97
Ta
Tatizo uchumi mkuu,Hebu angalia 900 kwa 250.Hiyo 900 tu pana michina minne.
900 ni gari gani iyo mzee nitajie 1 pale ubungo
Ta
Tatizo uchumi mkuu,Hebu angalia 900 kwa 250.Hiyo 900 tu pana michina minne.
Milion 900 hizo scania,au nmesoma vibaya900 ni gari gani iyo mzee nitajie 1 pale ubungo
Milion 900 hizo scania,au nmesoma vibaya
Hayo maneno ya vijiweni bus za 900 haipo labda School bus za Kaizerege kdg alikaribia
Zile Sauli mkuu inaweza fika ngapi?
Maana kuna wadosi humu waliwahi sema 600M+
I can imagine!!! Zile horse zilizokufa ni aina gani?[/QUOTE]Daf xf euro 5 na Man tga 440 with all the bells and whistles, halafu zikawa outsmarted na Gari ya 10+years of service[QUOTE="t blj, post: 37035693, member: 6
Kuna mwaka flan tulipat kazi ya kusafirisha mtambo wa mzungu mmoja kutoka dar kwenda Rwanda , ilikuwa ni njia yenye milima sana ukitokea Kigali mtambo ulikuwa ni heat echanger ambayo ilikuwa imekuwa disassembled kwenye trailer 13, kwa Bahati mbaya gari yetu ndio ilionekana ni nzee Kati ya gari zote na supervisor wa mzigo Ali I rule out kwamba kwa thamani ya mzigo na terrain unapokwenda mzigo isingefaa kubebwa na gari yetu , ni 164 480 ya mwaka 2000 na wakati huo na ilikuwa ina Kama Miaka 15 , plus 2 millions km on the clock, bas baada ya vikao vya hapa na pale , tukamjenga transport officer akakubali tupakie kwa masharti ya rate pungufu ili apate pesa ya Maji...!! Kiukweli kazi ilikuwa inalipwa vzr . Kilichotokea huko rwanda gari mbili Kati ya zile pamba zilishindwa kufika eneo la tukio , moja ilikufa Engine km 110 nyuma na nyingine ikauwa gearbox layshaft km 90 kabla ya site , site manager akatoa offer ya kwenda kuvuta zile trailers , wote wakakataa , ikabidi tujitoe muhanga maana bila trela zote kutimia delivery note ilikuwa haisainiwi kwa yoyote hivyo tungepoteza muda sana pale tukaenda kuchukua trela ya kwanza tukaileta site , tukafata ya pili tukaleta site , then tukaenda kupakia horse zote mbili , kurudi dar , Sasa Ile feeling nilisikia wakati narudi nyumbani huku tumezibeba gari mbili ambazo zilitumika Kama kielelezo cha kutunyima kazi ,.. I'll just never forget that, , V8 zina sauti flan ya mamlaka , very sweet , and deep pound to pound note . Tulipo fika dar ndio tulikuwa gumzo kwenye Ile ofisi na tukalipwa rate Ile Ile ya wenzetu plus gharama ya kuzibeba horse na kuifikisha site zile trela ,
Daf xf euro 5 na Man tga 440 with all the bells and whistles, halafu zikawa outsmarted na Gari ya 10+years of service[/QUOTE]I can imagine!!! Zile horse zilizokufa ni aina gani?
Irrizar I seriesHvi wadau kuna basi naziona zinapga route ya Lusaka to Jo'berg , kimuonekano hizi basi ni nzuri sana na nimezpenda bt hapa bongo sijawahi kuziona licha ya kuwa wabongo tunapenda sana basi nzuri swali ni kwamba hizi basi zikiwa mpya zinauzwa kiasi gani na used bei gani na vip uimara wa hizi basi lakin pia kwanin hapa kwetu hatuna hizi pamba?View attachment 1629051View attachment 1629054View attachment 1629055
Mkuu t blj kuna basi za Volvo B10M hapa Tanzania kuna kampuni ya Secret Coach inazo zinapiga Dar-Mtwara.
Hizi basi injini imewekwa katikati au nyuma ya ekseli ya mbele, vipi uimara wake na Kwa mazingira ya huku zinaweza kuhimili. Maana daily hizi naziona zinapigwa spana Kibonde Maji.
Itakuwa mikono ya mafundi imefanya iwe mdebwedo. Ukiisogelea pembeni kila eneo imeandikwa precautions kuanzia sehemu za kuweka mafuta, coolants na betri.Ile basi mbona mdebwedo hivi mkuu au naona vibaya.
Ingia https://autoline.info utaona Bei ya hizi bas used sio kubwa kivile tatzo lipo kwenye urefu tu ndio sheria za bongo zinapo wabania watuHvi wadau kuna basi naziona zinapga route ya Lusaka to Jo'berg , kimuonekano hizi basi ni nzuri sana na nimezpenda bt hapa bongo sijawahi kuziona licha ya kuwa wabongo tunapenda sana basi nzuri swali ni kwamba hizi basi zikiwa mpya zinauzwa kiasi gani na used bei gani na vip uimara wa hizi basi lakin pia kwanin hapa kwetu hatuna hizi pamba?
Volvo ikiwa mpya sawa,Ila katika maisha yake ya mwisho zinasumbua sana , Kama hizo za dar mtwaraMkuu t blj kuna basi za Volvo B10M hapa Tanzania kuna kampuni ya Secret Coach inazo zinapiga Dar-Mtwara.
Hizi basi injini imewekwa katikati au nyuma ya ekseli ya mbele, vipi uimara wake na Kwa mazingira ya huku zinaweza kuhimili. Maana daily hizi naziona zinapigwa spana Kibonde Maji.
Ingia https://autoline.info utaona Bei ya hizi bas used sio kubwa kivile tatzo lipo kwenye urefu tu ndio sheria za bongo zinapo wabania watu
Volvo ikiwa mpya sawa,Ila katika maisha yake ya mwisho zinasumbua sana , Kama hizo za dar mtwara
Miaka ya 90 ilikuwepo moja chiku express Volvo B7, ilikuwa inaingia mnazi mmoja saa 9 ikitokea songea , baadaye zainab buss service nao wakanunua B7
Naisi hvyoAsante kwa link bt Kwahyo hizi basi ni ndefu kuliko Yale ya mwendo kasi au zile semi ?