johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,879
Natumia sana usafiri wa mabasi, bado sijaona mbadala wa Scandinavian kwa kweli. Hawa akina Sauli, Shabiby, sijui ABC bado sana aisee.
Scandinavian ilikuwa bora kuanzia kwenye vyuma vyenyewe yaani Scania tupu hakuna Layland hadi kwenye huduma. Ligi ya sasa ni vyuma vya mchina aka kambi popote
Mungu wa mbinguni mbariki mzee Abdullah na Bob Said pale Iringa
Scandinavian ilikuwa bora kuanzia kwenye vyuma vyenyewe yaani Scania tupu hakuna Layland hadi kwenye huduma. Ligi ya sasa ni vyuma vya mchina aka kambi popote
Mungu wa mbinguni mbariki mzee Abdullah na Bob Said pale Iringa