Mabalozi Wapya - Utamaduni wa kuzungusha viongozi!

Members
Ukweli ni kwamba uwezo wa JK ni mdogo. Awe mdini au sio, cha muhimu ni uwezo wa kuona athari kwa yale uyafanyayo. Ni hilo ndilo JK hana.

Kazi tunayo!
 
Choveki umeongea kweli, huyu rais hana maono ya mbele na sidhani kama ana uwezo wa kuwa rais. I am seeing kuwa Lowasa ndiyo sasa hivi anafanya hii serikali ya awamu ya nne ionekane afadhali. Otherwise, think this government without Lowasa ingekuwaje? Naona muda wote na suti na tabasamu kama actor wa hollywood!!
 
Observer,
Ni actor wa Hollywood. Alipokuja Marekani alitaka kuonana " among others," na Shaquille O'Neal na Michael Jordan. Nasikia alionana na Shaquille New York lakini Jordan alikataa kwamba hakuwa na time. Huyu ndiye rais mpya wa Bongo.
 
Jasusi said:
Observer,
Ni actor wa Hollywood. Alipokuja Marekani alitaka kuonana " among others," na Shaquille O'Neal na Michael Jordan. Nasikia alionana na Shaquille New York lakini Jordan alikataa kwamba hakuwa na time. Huyu ndiye rais mpya wa Bongo.

Please tell me you are kidding....
 
Mwanakijiji,
Unadhani hawa watu wameteuliwa kwa sifa gani walizonazo? Mimi nadhani udini.

1.Omar Ramadhan Mapuri (China)
2.Adadi Rajabu (Zimbabwe)
3.Mwanaidi Sinare Maajar (London-Uingereza)
4.Ahamada Ngemera (Berlin-Ujerumani)
5.Hussein Said Khatib (Muscat-Oman)



hizi ndio CHEAP POLITICS

kwa sababu inabidi ufanye mahesabu

Jumla kuna mabalozi wangapi

waisla wako wangapi

wakristo wako wangapi

then tutajua kama kuna udini au la
 
Ila hivi karibuni naona kidogo tumempiga breki! Binafsi kama nilivyosema mwanzoni sijali kama anayeteuliwa anaitwa Hamisi, John, au Sitaki! tatizo ni suala la hisia na mitazamo. Kama kiongozi huwezi kusababisha watu wako wahisi kuna ka upendeleo ka aina fulani, ndiyo mwanzo wa manung'uniko na minong'ono isiyo ya lazima! Sifurahi kuona watu wenye majina ya kikristu wakitangazwa kwenye uteuzi fulani bila watu wenye majina ya kiislamu! Hili ni suala la mantiki huitaji kuwa mwanafizikia kuweza kugundua hilo.

Kubwa zaidi ni kuwa watu wale wanaoteuliwa wawe na sababu ya kuteuliwa huko. Kama katika Wizara, Idara, au Kitengo fulani mtu anayekaimu nafasi fulani ya uongozi ana sifa, muda, na uwezo wa kushikilia nafasi hiyo na badala yake akarukwa na kuchukuliwa mtu mwingine ambaye hana sifa hizo ili mradi tu ni dini moja na Rais basi hapo kuna tatizo sana!! anayestahili kuongoza apewe hata kama anaabudu mianzi na mitete!!!
 
Kweli Udini ndio Umetumika na si ufanisi wao kiutendaji. Shame on them.
Mwanakijiji,
Unadhani hawa watu wameteuliwa kwa sifa gani walizonazo? Mimi nadhani udini.

1.Omar Ramadhan Mapuri (China)
2.Adadi Rajabu (Zimbabwe)
3.Mwanaidi Sinare Maajar (London-Uingereza)
4.Ahamada Ngemera (Berlin-Ujerumani)
5.Hussein Said Khatib (Muscat-Oman)
 
Kuna rafiki yangu mmoja sana mara baada ya JK kuapishwa aliweka mawaziri wake mimi baada ya kupitia majina nilisema huyu JK ni mdini sasa tena wa wazi .Akanibishia sana sana akasema yeye kaangalia uwezo na utendaji wa kazi wa mtu .Lakini mimi nika kataa .

JK amekuwa na tabia ya udini , ukabila , urafiki na si rahisi kujua hili kwa sasa maana yeye anatenda na magazet yanapamba ila sisi wengine tuliyaona haya tangia zamani .Naomba kmuangalie Baraza la mawaziri kwanza .Ok huko naweza kusema ni uwezo wao wa kiuntendaji .

Juzi kampa Makamba , ni urafiki , na Udini pia
Angalieni teuzi za Wakurugenzi wote , angalieni teuzi zake mwenyewe za Tume anapo ziunda juu ya jambo fulani.Na sasa kamaliza na Mabalozi na tungojee sasa Mkuu wa Majeshi anayekuja .

Watanzania hampenzi ukweli na mnapenda hata penye makosa mnapenda kusema uvunguni Nchi inaanza kupatwa na wasi wasi na tabia za udini , urafiki na undugu .Mtu kama mwema sina wasi wasi naye namjua anaweza kazi lakini bado ni shemeji yake hata kama anaweza kazi .

Mimi nasema JK anaanza udini , ukabila na urafiki hii si Tanzania yetu .

Haya ndio yanayotokea leo
 
Nitawaambia kitakachotokea lakini msiniite mtabiri!

Siku moja kwa jiwe fulani karibu na soko au kigenge cha vijana, vijana wawili ambao wamekufa marafiki na washikaji wa siku nyingi watakuwa wanapiga gumzo. Kama unavyojua tena mada za vijiwe zinaanzi mademu, siasa, mpira, n.k na kuishia tena kwenye mademu. Wakati wakijadiliana mara mmoja anasema "JK amewapendelea waislamu kwenye teuzi zake mbalimbali" huyo ni kijana wa kikristu. Yule wa kiislamu atabisha. Yeye (muislamu) atasema "mbona wakati Nyerere anateua wakristu huko nyuma hakuna aliyesema"? Mkristu atabisha, mabishano hayo yataendelea huku kila mmoja akijaribu kutoa mfano wa kuhalalisha maamuzi ya viongozi wetu. Hawa wawili wakiendelea kubishana kiustaarabu ndo jamaa mmoja asiyejua mwanzo wala mwisho wa kinachozungumziwa atakuja na kusema "Waislamu wote ni wapumbavu" au "Wakristu wote ni makafiri" Hapo ndipo yule atakayehisi dini yake imetukanwa atakapovurumusha ngumi...

Ngumi itajibiwa kwa ngumi... mara watu wanaanza kuchagua upande... waislamu wanajaribu kumuokoa muislamu mwenzao.. wakristu wanajaribu kumuokoa mkristu mwenzao... wakiendelea kusukumana, mara mtu anapigwa na ubao.... ndipo gumzo linapogeuka varangati!!!


Wakitawanyika, mtu asiyejua kilichokuwa kinabishaniwa.. anaenda na kusema "wale vijana wa kikristu wa mtaa fulani, wamemtukana Mtume wetu mtukufu"... ndipo shehe na maalim fulani wakati wa swala ya Ijumaa wakahamasisha waumini wao ili kupinga matusi dhidi ya Uislamu... wanaamua kuandamana kuelekea lilipo kanisa fulani... kutokana na hamasa.. vijana waanza kurusha mawe na mwishowe kanisa hilo linachomwa moto...

Vijana wa kikristu nao wanakasirika kwa sababu wanaambiwa vijana wa kiislamu wameenda na kukojoa ndani ya kanisa lao ...

hatimaye hadi mwisho wa mambo yatakapotulia... Watanzania wapata 100 watakuwa wamepoteza maisha yao.... mamia kadhaa kujeruhiwa... makanisa 20 kuchomwa moto na misikiti 39 kuvunjwa ......

tutakapokaa chini na kujiuliza nini kimetokea... jibu halitakuwa gumu....!!!

baada ya kusema hayo.... natema mate kando "Mungu aepushie mbali"..!

Based on true story,yametokea haya.
 
Nitawaambia kitakachotokea lakini msiniite mtabiri!

Siku moja kwa jiwe fulani karibu na soko au kigenge cha vijana, vijana wawili ambao wamekufa marafiki na washikaji wa siku nyingi watakuwa wanapiga gumzo. Kama unavyojua tena mada za vijiwe zinaanzi mademu, siasa, mpira, n.k na kuishia tena kwenye mademu. Wakati wakijadiliana mara mmoja anasema "JK amewapendelea waislamu kwenye teuzi zake mbalimbali" huyo ni kijana wa kikristu. Yule wa kiislamu atabisha. Yeye (muislamu) atasema "mbona wakati Nyerere anateua wakristu huko nyuma hakuna aliyesema"? Mkristu atabisha, mabishano hayo yataendelea huku kila mmoja akijaribu kutoa mfano wa kuhalalisha maamuzi ya viongozi wetu. Hawa wawili wakiendelea kubishana kiustaarabu ndo jamaa mmoja asiyejua mwanzo wala mwisho wa kinachozungumziwa atakuja na kusema "Waislamu wote ni wapumbavu" au "Wakristu wote ni makafiri" Hapo ndipo yule atakayehisi dini yake imetukanwa atakapovurumusha ngumi...

Ngumi itajibiwa kwa ngumi... mara watu wanaanza kuchagua upande... waislamu wanajaribu kumuokoa muislamu mwenzao.. wakristu wanajaribu kumuokoa mkristu mwenzao... wakiendelea kusukumana, mara mtu anapigwa na ubao.... ndipo gumzo linapogeuka varangati!!!


Wakitawanyika, mtu asiyejua kilichokuwa kinabishaniwa.. anaenda na kusema "wale vijana wa kikristu wa mtaa fulani, wamemtukana Mtume wetu mtukufu"... ndipo shehe na maalim fulani wakati wa swala ya Ijumaa wakahamasisha waumini wao ili kupinga matusi dhidi ya Uislamu... wanaamua kuandamana kuelekea lilipo kanisa fulani... kutokana na hamasa.. vijana waanza kurusha mawe na mwishowe kanisa hilo linachomwa moto...

Vijana wa kikristu nao wanakasirika kwa sababu wanaambiwa vijana wa kiislamu wameenda na kukojoa ndani ya kanisa lao ...

hatimaye hadi mwisho wa mambo yatakapotulia... Watanzania wapata 100 watakuwa wamepoteza maisha yao.... mamia kadhaa kujeruhiwa... makanisa 20 kuchomwa moto na misikiti 39 kuvunjwa ......

tutakapokaa chini na kujiuliza nini kimetokea... jibu halitakuwa gumu....!!!

baada ya kusema hayo.... natema mate kando "Mungu aepushie mbali"..!

:shut-mouth:***********:confused3:
 
Nitawaambia kitakachotokea lakini msiniite mtabiri!

Siku moja kwa jiwe fulani karibu na soko au kigenge cha vijana, vijana wawili ambao wamekufa marafiki na washikaji wa siku nyingi watakuwa wanapiga gumzo. Kama unavyojua tena mada za vijiwe zinaanzi mademu, siasa, mpira, n.k na kuishia tena kwenye mademu. Wakati wakijadiliana mara mmoja anasema "JK amewapendelea waislamu kwenye teuzi zake mbalimbali" huyo ni kijana wa kikristu. Yule wa kiislamu atabisha. Yeye (muislamu) atasema "mbona wakati Nyerere anateua wakristu huko nyuma hakuna aliyesema"? Mkristu atabisha, mabishano hayo yataendelea huku kila mmoja akijaribu kutoa mfano wa kuhalalisha maamuzi ya viongozi wetu. Hawa wawili wakiendelea kubishana kiustaarabu ndo jamaa mmoja asiyejua mwanzo wala mwisho wa kinachozungumziwa atakuja na kusema "Waislamu wote ni wapumbavu" au "Wakristu wote ni makafiri" Hapo ndipo yule atakayehisi dini yake imetukanwa atakapovurumusha ngumi...

Ngumi itajibiwa kwa ngumi... mara watu wanaanza kuchagua upande... waislamu wanajaribu kumuokoa muislamu mwenzao.. wakristu wanajaribu kumuokoa mkristu mwenzao... wakiendelea kusukumana, mara mtu anapigwa na ubao.... ndipo gumzo linapogeuka varangati!!!


Wakitawanyika, mtu asiyejua kilichokuwa kinabishaniwa.. anaenda na kusema "wale vijana wa kikristu wa mtaa fulani, wamemtukana Mtume wetu mtukufu"... ndipo shehe na maalim fulani wakati wa swala ya Ijumaa wakahamasisha waumini wao ili kupinga matusi dhidi ya Uislamu... wanaamua kuandamana kuelekea lilipo kanisa fulani... kutokana na hamasa.. vijana waanza kurusha mawe na mwishowe kanisa hilo linachomwa moto...

Vijana wa kikristu nao wanakasirika kwa sababu wanaambiwa vijana wa kiislamu wameenda na kukojoa ndani ya kanisa lao ...

hatimaye hadi mwisho wa mambo yatakapotulia... Watanzania wapata 100 watakuwa wamepoteza maisha yao.... mamia kadhaa kujeruhiwa... makanisa 20 kuchomwa moto na misikiti 39 kuvunjwa ......

tutakapokaa chini na kujiuliza nini kimetokea... jibu halitakuwa gumu....!!!

baada ya kusema hayo.... natema mate kando "Mungu aepushie mbali"..!
Exclusive its 4 Great Thinkers only!!!!!
Imagine vision vision hii inatolewa na mmoja wa panelist ya Think Tank,na maamuzi yatakayo tolewa kwenye panel hiyo yafanyiwe kazi kama mnyambulisho wa VISION ya kuiona kesho ukizingatia REALITYya LEO!!!Leo hii tusingekuwa hapa tulipo bila sababu!!!.
Nikiwa kijana mdogo nasoma Secondary School miaka ya mwishoni na tisini!!As young boy anaepevuka niliwai kuwaambia watu wazima haswa!!! kuwa chama dume kwa kukaribisha MATAJIRI kuwa ndio washika dau wa maamuzi makuu kiutendaji basi future yake imewekwa rehani na mbele ya safari!!Hakika nilionekana kijana huyu HANA ADABU HATA KIDOGO!!!.

Sio kuwa TAIFA halina hazina za watu wenye vision na mission,bali alichosema Msigwa ndio JANGA!!!!!!!!!
 
hiki kitu ulipost 2006 kimeanza kutokea Unadhani tatizo ni nini?
Nitawaambia kitakachotokea lakini msiniite mtabiri!

Siku moja kwa jiwe fulani karibu na soko au kigenge cha vijana, vijana wawili ambao wamekufa marafiki na washikaji wa siku nyingi watakuwa wanapiga gumzo. Kama unavyojua tena mada za vijiwe zinaanzi mademu, siasa, mpira, n.k na kuishia tena kwenye mademu. Wakati wakijadiliana mara mmoja anasema "JK amewapendelea waislamu kwenye teuzi zake mbalimbali" huyo ni kijana wa kikristu. Yule wa kiislamu atabisha. Yeye (muislamu) atasema "mbona wakati Nyerere anateua wakristu huko nyuma hakuna aliyesema"? Mkristu atabisha, mabishano hayo yataendelea huku kila mmoja akijaribu kutoa mfano wa kuhalalisha maamuzi ya viongozi wetu. Hawa wawili wakiendelea kubishana kiustaarabu ndo jamaa mmoja asiyejua mwanzo wala mwisho wa kinachozungumziwa atakuja na kusema "Waislamu wote ni wapumbavu" au "Wakristu wote ni makafiri" Hapo ndipo yule atakayehisi dini yake imetukanwa atakapovurumusha ngumi...

Ngumi itajibiwa kwa ngumi... mara watu wanaanza kuchagua upande... waislamu wanajaribu kumuokoa muislamu mwenzao.. wakristu wanajaribu kumuokoa mkristu mwenzao... wakiendelea kusukumana, mara mtu anapigwa na ubao.... ndipo gumzo linapogeuka varangati!!!


Wakitawanyika, mtu asiyejua kilichokuwa kinabishaniwa.. anaenda na kusema "wale vijana wa kikristu wa mtaa fulani, wamemtukana Mtume wetu mtukufu"... ndipo shehe na maalim fulani wakati wa swala ya Ijumaa wakahamasisha waumini wao ili kupinga matusi dhidi ya Uislamu... wanaamua kuandamana kuelekea lilipo kanisa fulani... kutokana na hamasa.. vijana waanza kurusha mawe na mwishowe kanisa hilo linachomwa moto...

Vijana wa kikristu nao wanakasirika kwa sababu wanaambiwa vijana wa kiislamu wameenda na kukojoa ndani ya kanisa lao ...

hatimaye hadi mwisho wa mambo yatakapotulia... Watanzania wapata 100 watakuwa wamepoteza maisha yao.... mamia kadhaa kujeruhiwa... makanisa 20 kuchomwa moto na misikiti 39 kuvunjwa ......

tutakapokaa chini na kujiuliza nini kimetokea... jibu halitakuwa gumu....!!!

baada ya kusema hayo.... natema mate kando "Mungu aepushie mbali"..!
 
Nitawaambia kitakachotokea lakini msiniite mtabiri!

Siku moja kwa jiwe fulani karibu na soko au kigenge cha vijana, vijana wawili ambao wamekufa marafiki na washikaji wa siku nyingi watakuwa wanapiga gumzo. Kama unavyojua tena mada za vijiwe zinaanzi mademu, siasa, mpira, n.k na kuishia tena kwenye mademu. Wakati wakijadiliana mara mmoja anasema "JK amewapendelea waislamu kwenye teuzi zake mbalimbali" huyo ni kijana wa kikristu. Yule wa kiislamu atabisha. Yeye (muislamu) atasema "mbona wakati Nyerere anateua wakristu huko nyuma hakuna aliyesema"? Mkristu atabisha, mabishano hayo yataendelea huku kila mmoja akijaribu kutoa mfano wa kuhalalisha maamuzi ya viongozi wetu. Hawa wawili wakiendelea kubishana kiustaarabu ndo jamaa mmoja asiyejua mwanzo wala mwisho wa kinachozungumziwa atakuja na kusema "Waislamu wote ni wapumbavu" au "Wakristu wote ni makafiri" Hapo ndipo yule atakayehisi dini yake imetukanwa atakapovurumusha ngumi...

Ngumi itajibiwa kwa ngumi... mara watu wanaanza kuchagua upande... waislamu wanajaribu kumuokoa muislamu mwenzao.. wakristu wanajaribu kumuokoa mkristu mwenzao... wakiendelea kusukumana, mara mtu anapigwa na ubao.... ndipo gumzo linapogeuka varangati!!!


Wakitawanyika, mtu asiyejua kilichokuwa kinabishaniwa.. anaenda na kusema "wale vijana wa kikristu wa mtaa fulani, wamemtukana Mtume wetu mtukufu"... ndipo shehe na maalim fulani wakati wa swala ya Ijumaa wakahamasisha waumini wao ili kupinga matusi dhidi ya Uislamu... wanaamua kuandamana kuelekea lilipo kanisa fulani... kutokana na hamasa.. vijana waanza kurusha mawe na mwishowe kanisa hilo linachomwa moto...

Vijana wa kikristu nao wanakasirika kwa sababu wanaambiwa vijana wa kiislamu wameenda na kukojoa ndani ya kanisa lao ...

hatimaye hadi mwisho wa mambo yatakapotulia... Watanzania wapata 100 watakuwa wamepoteza maisha yao.... mamia kadhaa kujeruhiwa... makanisa 20 kuchomwa moto na misikiti 39 kuvunjwa ......

tutakapokaa chini na kujiuliza nini kimetokea... jibu halitakuwa gumu....!!!

baada ya kusema hayo.... natema mate kando "Mungu aepushie mbali"..!

baeleze
 
Exclusive its 4 Great Thinkers only!!!!!
Imagine vision vision hii inatolewa na mmoja wa panelist ya Think Tank,na maamuzi yatakayo tolewa kwenye panel hiyo yafanyiwe kazi kama mnyambulisho wa VISION ya kuiona kesho ukizingatia REALITYya LEO!!!Leo hii tusingekuwa hapa tulipo bila sababu!!!.
Nikiwa kijana mdogo nasoma Secondary School miaka ya mwishoni na tisini!!As young boy anaepevuka niliwai kuwaambia watu wazima haswa!!! kuwa chama dume kwa kukaribisha MATAJIRI kuwa ndio washika dau wa maamuzi makuu kiutendaji basi future yake imewekwa rehani na mbele ya safari!!Hakika nilionekana kijana huyu HANA ADABU HATA KIDOGO!!!.

Sio kuwa TAIFA halina hazina za watu wenye vision na mission,bali alichosema Msigwa ndio JANGA!!!!!!!!!
Kwamba Akili Ndogo kutawala akili kubwa?Au Mwendewazimu ni yule anayefanya jambo lile lile kwa kufuata njia ile ile huku akitegemea matokeo tofauti.
 
Mwanakijiji,
Unadhani hawa watu wameteuliwa kwa sifa gani walizonazo? Mimi nadhani udini.

1.Omar Ramadhan Mapuri (China)
2.Adadi Rajabu (Zimbabwe)
3.Mwanaidi Sinare Maajar (London-Uingereza)
4.Ahamada Ngemera (Berlin-Ujerumani)
5.Hussein Said Khatib (Muscat-Oman)

alaa kumbe kwahiyo ulitaka awateue akina:-
1. Mchungaji peter (china)
2. Askofu Joshua (zimbabwe)
3.Muimba kwaya Sospeter (london)
4. Paroko samwel (Oman)
Ndio angekuwa ameteua vizuri eee! shen.........!
 
Wanabodi,

Ni muhimu kwa watu kuacha uoga na kuwa free to express their opinions regardless kwamba wataoffend kikundi fulani cha watu, suala la udini katika uchaguzi wa hawa mabalozi ni jambo ambalo hata mimi nilifikiria na wala sioni aibu kusema hivyo !

Tuache unafiki wa kuogopa kulizungumzia hilo , Dini hapa imeplay part yake kwa mtazamo wangu . Katika nchi ambayo imekuwa made 50% wakristo na 50 % waislamu haya ni mambo muhimu ya kuangalia wakati wa kuchagua viongozi kumake sure kwamba tunakuwa na equal representation

Masuala ya dini yapo jamani tuache unafiki let's be realistic .
Kumbe inauma enhe,mbona hamsemi kitu kila idara kujaa wakristo wengi hapa nchini.Unafikiri waislamu haiwaumi enhe
 
Mwanakijiji,
Unadhani hawa watu wameteuliwa kwa sifa gani walizonazo? Mimi nadhani udini.

1.Omar Ramadhan Mapuri (China)
2.Adadi Rajabu (Zimbabwe)
3.Mwanaidi Sinare Maajar (London-Uingereza)
4.Ahamada Ngemera (Berlin-Ujerumani)
5.Hussein Said Khatib (Muscat-Oman)
Wangeteuliwa john, michael, frank ungesema wanasifa stahiki kwani wameenda shule mburula mkubwa wewe chuki zenu dhidi ya majina issa, rajabu zitaisha lini? jaribu kuangalia tanzania ina mabalozi wangapi wa upande wako na wangapi wasio wa upande wako.
 
Back
Top Bottom