Nilianza kuitumia baada ya kupata tour kama 3 months sasa na nilichoipendea na hiyo kuwa confusing. Nilihisi itaconfuse visitors haswaa, ila kwa mtu sharp wa mtandao anaona kila kitu chako within minutes! Mtoa mada, sio tu kuanzia ulipoingia fb bali kama umeweka details za shule manake inaanzia 'born year'.
Umetukumbusha kitu, FB sio private!! You don't need to get personal there. Na tukumbuke chochote unachoandika mtandaoni, however private you think it is, hakitofutika milele amina labda itokee vita ya 3 ya dunia ya teknolojia! Kama huamini gombea urais ama umuulize Sarah Palin khabari yake!
mkuu hamna kitu kinachofutika milele fb.ndiyo account yako umeidelete na itapotea machoni mwa watu ila data zako zote tangu 1st day zitabaki kwa hao wa fb.hakifutiki kitu
mjue kuna privacy options zinazokupa nafasi ya kuchagua nani aone timeline yako
...kwa hiyo ni option yako kutaka nani aone taarifa zako. By the way this is ancient news started using timeline since october
ukijiingiza kwenye hiyo timeline na ukiwa umeshaweka privacy settings zako b4 au baada ya kuingia style mpya unaweza kuzuia mambo yako yasiwe public.
hata unaweza ficha friends etc na kuchagua nani unataka aone mambo yako.
na bado unaweza kuwa na malist
sasa watu msiogope kitu kinachokuwa public na huwezi kuzuia ni ile cover photo zako nadhani ndivyo zinavyoitwa hiyo wamesema kabisa ni public.
kwatika fb unaweza zuia nani asione posts zako mwenyewe na hata watu wengine wasione posts za wengine ( hii wakiingia watadhani tu hakuna aliyeandika on your wall) ila wataona za wao wenyewe.
hata picha mtu unaweza kuzuia nani aone nani asione au uone wewe tu. ujanja wa haya mambo ni kuingia kila kona na kuchokonoa kuona kuna nini.
wewe kama ni muongo basi unaogopa mambo fungua fb ingine uweke ya maisha mapya as najua wengi uko ulaya wamefanya ukimbizi na bado wanaumbuka kwa friends wapya sababu wanakuja jua wapi wametokea kweli. na tabia ya watu kuna kujiunga na wa kazini muache as mnaweza fungua fb kama nilivyosema ikawa nai ya watu wa uko ulaya.
nilimshauri jamaa yangu na ana enjoy sana ana mbili ya wa tz na wa ulaya&other countries.
basi anasema ianenda pouwa kabisa anafungua zote wakati mmoja, moja google chrome, ingine safari au windows explorer.
wengine utaona wanajisahau sie macho. mkiwa mmeenda kwa bila uongo haya hiyo enjoy ku mix ila mnaodanganya jifunzeni acheni kuringishia mnajiaribia tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.