Mabadiliko ya mwonekano JamiiForums - Juni 2022

Pm za browser tunaomba mrudishe kipengele cha ‘kick out’

Zamani ilikuwepo kick out na leave.. ila mmeondoa kick out mkabakiza leave. Tunaomba kick out irudi….
Tofauti zake ni nini? Nataka nikuPM
 
Tofauti zake ni nini? Nataka nikuPM
Once I kick you out‘utapata notification kuwa nimekukick out na pia ile convo niliyokukick out kwako utafutika automatically.

Leave yenyewe nikileave hapo bado kwako we utaendelea kuwa na zile chats.
 
Wakuu,

Tupo kwenye hatua za mwisho kuja na JF yenye mwonekano mpya ambayo inaendana na mabadiliko ya teknolojia. Kwa wanaohitaji kuwa sehemu ya majaribio, mnakaribishwa...

Katika mabadiliko haya, huenda ukakutana na kitu kikakufurahisha, kikakuchanganya, kikakufanya uone kuna haja ya kuongeza au kupunguza n.k - usisite kutujulisha kupitia uzi huu.

Thread hii itatumika kukusanya maoni yenu na yatazingatiwa ajili ya kujenga sehemu bora na salama zaidi kwa ajili ya kila mmoja wetu.

Kwa wale watumiaji wa App, tunashauri kujaribu App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi kwani itaendana vema zaidi na kinachokuja.

Tunawashukuru kwa ushirikiano mnaotupa kila mara kwani hadi toleo hili ni tokana na maoni yenu.

Kutakuwa na features kadhaa hazitakuwa released mapema hadi zikamilike kufanyiwa testing ndipo ziwe applied.

Tunawapenda, tunawajali na tunaahidi kuendelea kutoa huduma bora.

Asanteni sana!
Sawa na hongera.Endeleeni kuzingatia faragha za watu ni muhimu.
 
Once I kick you out‘utapata notification kuwa nimekukick out na pia ile convo niliyokukick out kwako utafutika automatically.

Leave yenyewe nikileave hapo bado kwako we utaendelea kuwa na zile chats.
Aisee... Inaelekea uko vizuri sana kwenye PM. Nimefeli wapi mimi? Ngoja nimPM Ashura
 
Maxence Melo Maoni yangu napendekeza

1) uwekwe kwamba ukisoma thread ukiishia njiani ukiitaka tena basi ikupeleke moja kwa moja hadi ulipo ishia hadi utakapoimaliza.

2) kwenye thread nikitaka kusoma maoni ya member fulani basi niweze kusearch tu na inakuwa inanipeleka kwenye maoni ya huyo mtu kwenye hiyo thread

Niwatakie maboresho mema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi binafsi nashukuru kwa imani ya JF juu ya uhuru wa habari na haki ya watu kupashana habari.wewe melo umeishi imani hii kwa vitendo na kujipambanua hadhararani haswa kwenye nyakati zile za giza.jamii forum imekuwa mwaminfu kwetu kuliko michepuko yetu.
 
Wakuu,

Tupo kwenye hatua za mwisho kuja na JF yenye mwonekano mpya ambayo inaendana na mabadiliko ya teknolojia. Kwa wanaohitaji kuwa sehemu ya majaribio, mnakaribishwa...

Katika mabadiliko haya, huenda ukakutana na kitu kikakufurahisha, kikakuchanganya, kikakufanya uone kuna haja ya kuongeza au kupunguza n.k - usisite kutujulisha kupitia uzi huu.

Thread hii itatumika kukusanya maoni yenu na yatazingatiwa ajili ya kujenga sehemu bora na salama zaidi kwa ajili ya kila mmoja wetu.

Kwa wale watumiaji wa App, tunashauri kujaribu App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi kwani itaendana vema zaidi na kinachokuja.

Tunawashukuru kwa ushirikiano mnaotupa kila mara kwani hadi toleo hili ni tokana na maoni yenu.

Kutakuwa na features kadhaa hazitakuwa released mapema hadi zikamilike kufanyiwa testing ndipo ziwe applied.

Tunawapenda, tunawajali na tunaahidi kuendelea kutoa huduma bora.

Asanteni sana!

Ipo na iphone ?
 
Mimi binafsi nashukuru kwa imani ya JF juu ya uhuru wa habari na haki ya watu kupashana habari.wewe melo umeishi imani hii kwa vitendo na kujipambanua hadhararani haswa kwenye nyakati zile za giza.jamii forum imekuwa mwaminfu kwetu kuliko michepuko yetu.
Ameen mkuu, JF kipindi cha Giza ndio ilikua media pekee huru ,keep it up
 
Ushauri wangu,

Kwenye kila uzi, mods wapandishe juu zile top comments haijalishi zina likes au reaction ngapi.

Point yangu ni ili msomaji aliyevutiwa na heading ya uzi akutane na comments za maana tu zinazohusiana na uzi kwanza.

Zile cheap comments ambazo hazihusiani na mada husika kama kusalimiana na kutaniana ziwe chini. Kwaiyo msomaji akifungua uzi anakua na uwezo wa kuona machangio yanayohusiana na mada kwa mtitiriko mzuri!

Shukrani!
 
Chonde chonde Boss ,wekeni option ya kuedit na kudelete message PM.
Kwa sisi wa App.


Pia rekebisheni system ya kuquote comments.
App sasahivi haiwezi kuquote comments zaidi
Yaonyesha utotoni ulikuwa kiherehere we dada!😀
Tunayasubiri kwa hamu kubwa hayo maboresho.

Kingine mjitahidi kuzingatia maadili. Lugha za matusi na zisizo za kistaarabu zimeshamiri sana. Watu wanatukana matusi mazito sana humu. Lifanyieni kazi.
Mfano wa wanaotoa lugha za matusi..?
we jamaa komedi sana
Tulia
 
Back
Top Bottom