Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yafanyike au Baraza livunjwe ateuliwe Waziri Mkuu mpya?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
876
4,101
Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakuja hivi karibuni katika kuongeza ufanisi.

Mabadiliko hayo yanaweza yasiwe na tija au yakawa na tija, ila naamini mabadiliko hayo yakilenga kuvunja Baraza kumwondoa Waziri Mkuu yataleta ufa badala yake aachwe amalize miaka miwili ijayo.

Bado sioni Waziri Mkuu kwa sasa, labda waandaliwe. NI upi mtizamo wako juu ya kumwondoa PM?
 
Hakuna jipya ktk kuvunja Baraza la Mawaziri!

Mama ashauriwe atulie aende na hili Baraza na Waziri Mkuu wake Kassimu Majaliwa hadi 2025!

Akichaguliwa kuwa Rais 2025 atateuwa Waziri Mkuu Mpya otherwise itakuwa wastage of resources kutunza Mawaziri Wakuu wengi wasio na tija kwa Taifa na pia itakuwa ni total distraction kabla ya 2025!
 
PM majaliwa abaki tu!

Hakuna haja ya kumuondoa Ili kukata kiu ya Baba wa Mtoto wa fulani,"wazuri hawafi"

Hii ni jamuhuri ya Tanzania siyo ya huba Hadi turidhishane kihisia eti FULANI Mtoto wake lazima apate coz alimsaidia FULANI kipindi kileeee akashika hatamu Sasa tulipe fadhila!

Huo uwaziri alionao FULANI una mtosha sio lazima awe PM!!

Hii jamuhuri Sio ukoo,ingekuwa ni ukoo KILA Mtoto wa NYERERE angekuwa na haki ya kuwa kiongozi!!

Hata yule wa mambo ya ndani unamtosha pia!

Mungu wabariki wafanya MAAMUZI wa NCHI YETU!!
 
Kama Samia atagombea urais 2025, akishinda naona hapo ndio anaweza kuanza na serikali yake mpya, lakini kwa huu muda uliobaki, simuoni akifanya hivyo, atamaliza na Majaliwa.
 
Leo ni siku ya huzuni mno msaliti wa taifa Lisu mzee wa MIGA anarudi.

Mwambieni asipande ndege zetu maana alishangilia zilipokamatwa
 
Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakuja hivi karibuni katika kuongeza ufanisi.

Mabadiliko hayo yanaweza yasiwe na tija au yakawa na tija, ila naamini mabadiliko hayo yakilenga kuvunja Baraza kumwondoa Waziri Mkuu yataleta ufa badala yake aachwe amalize miaka miwili ijayo.

Bado sioni Waziri Mkuu kwa sasa, labda waandaliwe. NI upi mtizamo wako juu ya kumwondoa PM?
Hizi pia ni ramli chonganishi, nani kakudanganya PM anaondolewa?, PM Kasim Majaliwa Majaliwa is there to stay hadi amalize his full term. Waziri Mkuu ajae ni kutoka kanda ya Ziwa!.
P
 
PM majaliwa abaki tu!

Hakuna haja ya kumuondoa Ili kukata kiu ya Baba wa Mtoto wa fulani,"wazuri hawafi"

Hii ni jamuhuri ya Tanzania siyo ya huba Hadi turidhishane kihisia eti FULANI Mtoto wake lazima apate coz alimsaidia FULANI kipindi kileeee akashika hatamu Sasa tulipe fadhila!

Huo uwaziri alionao FULANI una mtosha sio lazima awe PM!!

Hii jamuhuri Sio ukoo,ingekuwa ni ukoo KILA Mtoto wa NYERERE angekuwa na haki ya kuwa kiongozi!!

Hata yule wa mambo ya ndani unamtosha pia!

Mungu wabariki wafanya MAAMUZI wa NCHI YETU!!
Huu ndio unafiki, na bila kukwepesha maneno, na kwa kupitia vitabu vyote vya dini wewe lazima UENDE MOTONI. Achana unafiki.
 
Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakuja hivi karibuni katika kuongeza ufanisi.

Mabadiliko hayo yanaweza yasiwe na tija au yakawa na tija, ila naamini mabadiliko hayo yakilenga kuvunja Baraza kumwondoa Waziri Mkuu yataleta ufa badala yake aachwe amalize miaka miwili ijayo.

Bado sioni Waziri Mkuu kwa sasa, labda waandaliwe. NI upi mtizamo wako juu ya kumwondoa PM?
Ni vzr tukapewa facts nn tatizo au makosa ya majaliwa?
 
Mtabiri wenu Lema hakuna anachopatia
IMG-20230125-WA0069.jpg
 
Hakuna jipya ktk kuvunja Baraza la Mawaziri!
Mama ashauriwe atulie aende na hili Baraza na Waziri Mkuu wake Kassimu Majaliwa hadi 2025!
Akichaguliwa kuwa Rais 2025 atateuwa Waziri Mkuu Mpya otherwise itakuwa wastage of resources kutunza Mawaziri Wakuu wengi wasio na tija kwa Taifa na pia itakuwa ni total distraction kabla ya 2025!
ni kweli kuwatunza hawa wazee ni mzigo, imagine wakija fika 10 Taifa litakuwa na mzigo mkubwa - cha msingi wakati tunabadilisha katiba tukigeukia na hiki kipengelea cha hawa wazee wastaafu, 80% ya mshahara kwa aliyeko madarakani wanachopata, ulinzi, nyumba, matibabu ni mzigo mzito.

Cha msingi na wao wapate pensheni kama hii hii sisi tunapambana nayo.
 
Huyu waziri mkuu kwanza yupo kinyume na matakwa ya katiba, ibara ya 51 ya
Katiba inasema rais anapoapa kushika madaraka yake, atateua jina la waziri mkuu na ndani ya siku 14 likapigiwe kura bungeni. Sasa tangu Samia aape kuwa rais hajawahi kupeleka jina la waziri mkuu bungeni likathibitishwe
 
Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakuja hivi karibuni katika kuongeza ufanisi.

Mabadiliko hayo yanaweza yasiwe na tija au yakawa na tija, ila naamini mabadiliko hayo yakilenga kuvunja Baraza kumwondoa Waziri Mkuu yataleta ufa badala yake aachwe amalize miaka miwili ijayo.

Bado sioni Waziri Mkuu kwa sasa, labda waandaliwe. NI upi mtizamo wako juu ya kumwondoa PM?
Ww target yako kubwa ni PM ingawa unajaribu kujificha kimaelezo basi tueleze vzr nn shida ya huyu PM ili tuchangie hii mada.Ukweli uwekwe wazi na mizengwe.
 
Back
Top Bottom