Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 18,046
- 25,061
...........................pumba tena.Kama kichwani mwako badala ya akili mna mchwa na nguchiro pita uende!
...........................pumba tena.Kama kichwani mwako badala ya akili mna mchwa na nguchiro pita uende!
Marehemu ndo alikuwa mbabe wa CCM. Huyu ndo alikuwa anatoa amri hadi kwa wenyeviti wa tume wabadirishe matokeo na kuwapa ushindi CCM. Alifanya hivyo mwaka 2000 Zanzibar na hata mwaka 2015. Ni busara tu za Maalim za diplomasia za Kikwete ziliepusha ya 2001 kutokea tena 2015 Zanzibar baada ya Jecha kuweka mpira kwapani.Ndo maana alikuwa anaiba kura alijua ccm ikianguka watampeleka jela .
Truly Rip ,Mungu amaptie haki yake.Marehemu ndo alikuwa mbabe wa CCM. Huyu ndo alikuwa anatoa amri hadi kwa wenyeviti wa tume wabadirishe matokeo na kuwapa ushindi CCM. Alifanya hivyo mwaka 2000 Zanzibar na hata mwaka 2015. Ni busara tu za Maalim za diplomasia za Kikwete ziliepusha ya 2001 kutokea tena 2015 Zanzibar baada ya Jecha kuweka mpira kwapani.
Ndo mana mwishoni alikuwa anajutia sana na nafikiri ndo sababu ya kutaka Tume Huru kwenye kitabu chake.
Kwa madhira tuliyopitia Tanzania Mkapa ana asilimia 70 ya mchango kwa sababu hata Magu ni yeye ndo aling’ang’ania awe raisi huku akijua hana uwezo. Matokeo yake ameyaona kabla hajafa maana Magu anapata shida kuanzia kuongoza Chama hadi nchi
Marehemu ndo alikuwa mbabe wa CCM. ..................... Matokeo yake ameyaona kabla hajafa maana Magu anapata shida kuanzia kuongoza Chama hadi nchi
Kama wewe ukifadaahh.. haya manyang'au hayatakiwi kupewa sifa hata kama yamekufa
Na wewe ulitandikwa nini? Ndiyo maana domo lako liko hivyo?Hiyo video imeniuma sana
Zanzibar walikianzisha baada ya mkapa kupoka ushindi wa CUF kwenye uchaguz mkuu wa 2000. Jamaa akapeleka wanajeshi na ffu kutoka bara kwenda kuwakazimisha. Taarifa zinasema zaidi ya wazanzibar 60 waliuawa na polisiShida ilikua nini wazee....
Hata hujui kituZanzibar walikianzisha baada ya mkapa kupoka ushindi wa CUF kwenye uchaguz mkuu wa 2000. Jamaa akapeleka wanajeshi na ffu kutoka bara kwenda kuwakazimisha. Taarifa zinasema zaidi ya wazanzibar 60 waliuawa na polisi
unaonekana huna marinda, wamekuibia nyuma siku mingii...Kama wewe ukifa
eti ndio anasifiwa, aisee bongo tumelogwaZanzibar walikianzisha baada ya mkapa kupoka ushindi wa CUF kwenye uchaguz mkuu wa 2000. Jamaa akapeleka wanajeshi na ffu kutoka bara kwenda kuwakazimisha. Taarifa zinasema zaidi ya wazanzibar 60 waliuawa na polisi