MSAAAAAADA JAMANI....Is there any 1 out there who can help here...tangu walipotoa viongozi wa dini wale tamuko lao huko Arusha, nimekuwa nikijiuliza swali moja, kwa nini HAWAKUWASHIRIKISHA VIONGOZI WA DINI (SIJUI MADHEHEBU) yote katika kutoa tamuko hilo??? Bila shaka tusingekuwa hapa sasa...lakini kama tunakubaliana kuwa viongozi wa dini ni 'walinzi' maadili, kwani hakuna maadili yanayoikukwa katika siasa, ambapo wanapaswa kuelekeza njia sahihi?? Kwani ukishakuwa kiongozi wa dini, automatically unakuwa umeondolewa haki/uhuru wa kutoa maoni katika siasa?? No freedom of expression, let alone opion??
Je walichozungumzia baadae viongozi wengine wa dini, wakiwakemea wale wa Arusha ile ilikuwa ni siasa, uchumi, utamaduni??? Hivi kama mtu hakutoa tamuko wakati wa mwembechai au pemba, kitu ambacho sidhani kama ni kweli saaana, hana haki ya kutoa maoni yake ikitokea 'ajali' ya namna hiyo siku nyingine, sehemu nyingine, kama Arusha?? Mwisho katika tamuko la udini, udini uko sehemu gani vile????????????? Ntashukuru