Kumekuwa na taarifa mbalimbali kuhusu tamko la maaskofu kuhusu mauaji ya Arusha, huku wengine wakisema hakukuwa na taarifa kama hiyo kwa mauaji ya pemba mwaka 2001. Kwenye attachment ipo story ya gazeti la Majira Februari 25, 2001 (iko kama picha JPG) , likionesha jinsi Maaskofu Katoliki walivyolaani pamoja na mapendekezo yao, tusome kwa ajili ya kumbukumbu.
Nyongeza
Nomepata story ya Tamko la Viongozi wa Dini (kwa ujumla) la Februari 8, 2001 kuhusu mauaji ya Pemba. Source: Majira
Nyongeza
Nomepata story ya Tamko la Viongozi wa Dini (kwa ujumla) la Februari 8, 2001 kuhusu mauaji ya Pemba. Source: Majira