Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Saa zingine unaweza cheka tu...Lissu anatoa taarifa za kufuatiliwa na gari isiyojulikana 2017
"hatufanyii kazi taarifa za kishabiki za mitandaoni sisi"
Lissu anatangaza kurejea 2020
"hata Hivyo tumeona katika mitandao ya kijamii baadhi ya viongozi wa Chadema wakihamasisha wananchi kukusanyika.
Kuna watumishi wana akili mbovu sana