Maaskofu Katoliki walivyolaani mauaji Pemba 2001

Maaskofu Katoliki walivyolaani mauaji Pemba 2001

Kuwatesa na hadi kufikia kuwaua binadamu wenzako kwa sababu za kisiasa ni utumwa wa fikra usiomithilika. Sio lazima kuwa na madaraka.
 
Marehemu ndo alikuwa mbabe wa CCM. Huyu ndo alikuwa anatoa amri hadi kwa wenyeviti wa tume wabadirishe matokeo na kuwapa ushindi CCM. Alifanya hivyo mwaka 2000 Zanzibar na hata mwaka 2015. Ni busara tu za Maalim za diplomasia za Kikwete ziliepusha ya 2001 kutokea tena 2015 Zanzibar baada ya Jecha kuweka mpira kwapani.

Ndo mana mwishoni alikuwa anajutia sana na nafikiri ndo sababu ya kutaka Tume Huru kwenye kitabu chake.

Kwa madhira tuliyopitia Tanzania Mkapa ana asilimia 70 ya mchango kwa sababu hata Magu ni yeye ndo aling’ang’ania awe raisi huku akijua hana uwezo. Matokeo yake ameyaona kabla hajafa maana Magu anapata shida kuanzia kuongoza Chama hadi nchi

Katuwekea kiongozi ambaye amesababisha ndugu zetu wapendwa hatuwaoni mtaani na mitandaoni. Ben Saanane, Azory Gwanda, watu kibao wameuwawa na kupotea. Nafikiri kutakuwa na kurudisha kisasi hatari huko mbeleni, kuna makaburi yatafumuliwa haki ya Mungu. Sidhani kama utavumilia unyama huu, ndugu yako alipotezwa alafu vita imetokea unakutana na mtoto au ndugu au kaburi ya mtu dharimu, haliwezi kupona. MANINA
 
"Hey wadau njoeni muoneni mzee Ben Mkapa yule pale pachani anahojiwa na Devil". Alisikika mpemba m1 ya waliouawa 2001.
 
Eti bila CCM hakuna muungano..hapo unategemea nini?
Hizo ni akili muflis sana,wangeachia kura ziamue na si kulazimisha.Watu wanabaki na chuki mioyoni mwao.
Ona sasa Mkapa kafa,kuna watu wana hasira naye.
 
Nakumbuka wizi mkubwa sana wa EPA katika uchaguzi wa 2005, nakumbuka wale makaburu toka South Africa walijiita Net Group Solutions walipoingizwa TANESCO na mtutu wa bunduki na kukabidhiwa all management positions na wazawa kuondolewa. Hao walikuwa wakilipwa management fees in forex pamoja na kuwa walikuwa hawajui chochote kuhusu umeme. Waliingizwa na mtutu wa bunduki FFU kwa sababu Watanzania na Wafanyakazi wa TANESCO tulikataa hao makaburu kukabidhiwa TANESCO

Nakumbuka wizi wa Kiwira Coal Mining ambayo ilikuwa na thamani ya bilioni 7 na Mkapa, familia yake na Daniel Yona kujimilikisha kwa kulipa milion 7 tu kisha kuwatumia hao Net Group Solutions “kusaini mkataba” na kampuni yake ya KCM mkataba wa kufua umeme na kuwauzia TANESCO kwa shilingi 152 million kwa siku.

Nakumbuka kuuza NBC kwa shilingi milioni 15 tu kwa makaburu pamoja na kuwa ilikuwa na thamani kubwa sana. Uuzwaji wa NBC Mwalimu aliupinga sana na ulimuuma sana.

eti ndio anasifiwa, aisee bongo tumelogwa
 
Ubishi wao ndiyo ulifanya wapate cha moto!
Kwasababu wazazi wako au wanao au wewe mwenyewe haikuwapata athari? Siku athari mbaya itawakuta kwa dhuluma wapendwa wako wa karibu ndio utajua maana ya kauli yako hii
 
Marehemu ndo alikuwa mbabe wa CCM. Huyu ndo alikuwa anatoa amri hadi kwa wenyeviti wa tume wabadirishe matokeo na kuwapa ushindi CCM. Alifanya hivyo mwaka 2000 Zanzibar na hata mwaka 2015. Ni busara tu za Maalim za diplomasia za Kikwete ziliepusha ya 2001 kutokea tena 2015 Zanzibar baada ya Jecha kuweka mpira kwapani.

Ndo mana mwishoni alikuwa anajutia sana na nafikiri ndo sababu ya kutaka Tume Huru kwenye kitabu chake.

Kwa madhira tuliyopitia Tanzania Mkapa ana asilimia 70 ya mchango kwa sababu hata Magu ni yeye ndo aling’ang’ania awe raisi huku akijua hana uwezo. Matokeo yake ameyaona kabla hajafa maana Magu anapata shida kuanzia kuongoza Chama hadi nchi
1595707556613.png
 
Nakumbuka wizi mkubwa sana wa EPA katika uchaguzi wa 2005, nakumbuka wale makaburu toka South Africa walijiita Net Group Solutions walipoingizwa TANESCO na mtutu wa bunduki na kukabidhiwa all management positions na wazawa kuondolewa. Hao walikuwa wakilipwa management fees in forex pamoja na kuwa walikuwa hawajui chochote kuhusu umeme. Waliingizwa na mtutu wa bunduki FFU kwa sababu Watanzania na Wafanyakazi wa TANESCO tulikataa hao makaburu kukabidhiwa TANESCO

Nakumbuka wizi wa Kiwira Coal Mining ambayo ilikuwa na thamani ya bilioni 7 na Mkapa, familia yake na Daniel Yona kujimilikisha kwa kulipa milion 7 tu kisha kuwatumia hao Net Group Solutions “kusaini mkataba” na kampuni yake ya KCM mkataba wa kufua umeme na kuwauzia TANESCO kwa shilingi 152 million kwa siku.

Nakumbuka kuuza NBC kwa shilingi milioni 15 tu kwa makaburu pamoja na kuwa ilikuwa na thamani kubwa sana. Uuzwaji wa NBC Mwalimu aliupinga sana na ulimuuma sana.
1595707957874.png
 
Shukrani sana Mkuu nakumbuka Wafanyakazi wa TANESCO siku Net Group Solutions wanaingizwa ofisini kwa mtutu wa bunduki waliimba nyimbo nyingi za ukombozi na kumtukuza Mwalimu.
RIP mzee Mkapa
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom