Hawa wanatafuta nini? Hawana uchungu mpaka afe wa kwao!...Waandishi wa TBC nanyi tokeni.
hongereni wahandishi
Waziri wa habari amefika Jangwani kuongea na waandishi wa habari walioandamana kwa ajili ya kifo cha Mwangosi lakini amezomewa vibaya, na walipoulizwa waandishi ni wangapi wanataka awahutubie wote wamemkataa, ikabidi aondoke kwa aibu kubwa.
Nchimbi kafukuzwa kwa aibu na waandishi wahabari wanasema yeye kaja kuwapokea kama nani wakati hawajamwalika
- yeye amegoma kuondoka, sasa hapa fujo tu angalieni channel 10 laivu
Huyu Nchimbi anaongea nini sasa?
Eti anabwabwaja ya kwmb maisha ya mtanzania inaheshimika!
Jamani maisha yetu yanaheshimika jamani??
Naunga mkono maandamano, kama haki ya msingi ya kila raia kutoa maoni yake. Siungi mkono kitendo cha kuzomea waziri, kwa kuwa tendo la mauaji, si dhamira ya serikali wala chama chochote cha siasa, bali ni utendaji kazi mbovu wa mtu mmoja na wala si jeshi la polisi.